Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Anafaa kuwa Rais wa Wasafi, Rais wa Simba SC, Rais wa Tandale, Rais.....!
 
Huo uongo umekuathuli nini wewe kama mtanzania sana sana aliwapunguzia machungu vipenzi vya Maghufuli
Uongo haukuathiri wewe lofa kweli. Kwanza kajifunze kiswahili hakuna neno " Umekuathuli" pia umeshindwa hata kutamka neno Magufuli unasema "Maghufuli" huyo ni nani unayemsema wewe. Una dini wewe lofa? Hukumbuki dini zote zinakataza uongo.
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Wewe hufai kuwa Rais?.
 
Mwaka 2025 wakituletea Majaliwa mbona atashinda asubuhi kabisa. Kwanza hawatapata taabu hata kupiga Kampeni.

Lakini wakituletea huyu mwingine, watapa taabu sana kupiga Kampeni na watatumia gharama kubwa sana.
 
Mtukufu Jiwe anachapa kazi hawezi kwenda kuzurura Kariakoo au Magomeni. - Diblo Dibala, Machi 15, 2021
 
nmmh huyo hapana, hafai, ukithink vizuri na kuthink again and again utaona hata kua waziri mkuu hafai, angefaa aachie ngazi, sema kipi kizuri amekifanya kama msimamizi mkuu wa shughuli za serikali?
 
Nchi hii kuna bias...nchi hii if u want to Map prevalence of Presidence...utagundua kuna watu wamebaguliwa. Je ni kwasabb hawana akili au vip....?Kanda ya kati,nyanda za juu kusini ,kanda ya magharibi, kanda ya kaskazini... humu mumejaa mada za Wale wale kila siku kwanin? Nchii hii ni kubwa sana. Nyerere kanda ya Ziwa, Mwiny pwani na zanzibar, Mkapa kusini ,Kikwete Pwani.Magufuli kanda ya Ziwa ,Samia Zanzibar, Mumeleta uzi kizunguzungu mnataka tena Kusini Why? Bora Tundu Lisu atabalance kanda ya kati!! Ukweli Mchungu maweeee!!
 
Unafikiri kasimu atawaruhusu mupange biashara barabarani muzuie magari na mazingira mengine na huko vyuoni nadhani mupo asilimia 70 ya tz
Uta mpa wewe na familia yako, sisi tulio hitumu vyuoni na wamachinga hatwezi kumpa
 
Mbona hujataja wasukuma ambao ndio kabila kubwa zaidi kuliko hao wachaga ?

Wachaga wanaukubwa gani kwa mfano?

Au ukubwa unauongelea interms of nini Kwa mfano?
Hahaa msukuma mshamba mshamba na sio mjuaj hana tamaa na hawajasoma siku jichanganyen mumpe mchaga mtajuta au mhaya
 
Mbona hujataja wasukuma ambao ndio kabila kubwa zaidi kuliko hao wachaga ?

Wachaga wanaukubwa gani kwa mfano?

Au ukubwa unauongelea interms of nini Kwa mfano?
Ukubwa kwa maana linalongoza kwa kusambaaa na kujikita katika shughul flan za kiuchumi yaan country wide wachaga ndio kabila la kwanza kutoka kwao na kwenda kwa wengine kusaka ridhik kwa ukubwa yaan walianza kufungua maduka kila kona ya nch kama wahind walivyotoka kwao au wazungu walivyotoka kwao kuja kuchuma mali kwetu ndio mchaga alivyotoka kwao kwenda kuchuma mali kweingine kwa ukubwa huo ndio ukubwa wakurya walitoka ila sema mkurya na msukuma the same sema shule tu inawaangusha na sio wajanja wajnja kama wahaya wachaga
 
Aende Zanzibar akapumzike ila majaliwa uhakika yupo serious na kazi
Waziri Mkuu to Rais 😅😅😅😅 kazi sanaaa hapo , Meja alishakosea timing ingawa ana haiba ya kuwa Rais ila haiwezekani.. Hesabu zinakataa kata kataaa
 
Back
Top Bottom