Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Majaliwa kuwa rais?. Huyu mwenye roho mbaya ya kinyama awe rais wa nchi gani?

Akiwa DC wa Urambo aiwafanyia unyama wafugaji waliokuwa kwenye pori la hifadhi.

2020 alipita bila kupingwa kwa kuwateka wapinzani wake jimboni.

Majaliwa hafai. Ni mwongo mwongo Sana. Alitudanganya Magufuli anachapa kazi kumbe kafa.

Ulitaka akudanganye tena na JPM amekufa, Majaliwa ni presidential Material akimaliza mama muda wake ni mmoja kati ya watu watakaotufaa
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Daaah huu sasa utani na mchezo wa hekaya!!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Rais wa nchi gani? Labda wa jamiiforums! Yaani mtadanganywa kupita kiasi, maana jamaa ni muongo wa kupindukia. Na ninyi watanzania kwa kusahau? Yaani mmeshasahau alivyosema Magufuli ni haumwi ana rundo la mafaili wakati keshafariki au hamkumbuki alivyosema kuwa mazishi ya Magufuli yameangaliwa mtandaoni na watu Billioni 3 halafu kesho yake akasema wataongezeka wafikie Billioni 4? Hapo kweli Majaliwa

Huo uongo umekuathuli nini wewe kama mtanzania sana sana aliwapunguzia machungu vipenzi vya Maghufuli
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Nakubaliana na hoja, PM majaliwa Ni mtu simati sana, namkubali sana, he has Presidential traits, Mungu amjalie siku moja iwe hivyo
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Asome ripoti ya moto kariakoo na Ile ya polisi kuua na kuiba pesa kule mtwara na aombe radhi Kwa Ile kauli yake juu ya afya ya Magufuli kuwa yupo ofisini wakati alikuwa kwenye box la ice.
Hafai kuwa hata mjumbe wa mtaa Kwa kushindwa kuisimamia uchafuzi ule wa 2019 na 2020 ambao yeye ni zao la ufedhuli na uwendawazimu Ile!
Hana msaada Kwa rais aliyepo ni kama ana mgomo baridi hivi!
 
Asome ripoti ya moto kariakoo na Ile ya polisi kuua na kuiba pesa kule mtwara na aombe radhi Kwa Ile kauli yake juu ya afya ya Magufuli kuwa yupo ofisini wakati alikuwa kwenye box la ice.
Hafai kuwa hata mjumbe wa mtaa Kwa kushindwa kuisimamia uchafuzi ule wa 2019 na 2020 ambao yeye ni zao la ufedhuli na uwendawazimu Ile!
Hana msaada Kwa rais aliyepo ni kama ana mgomo baridi hivi!
Sawa kila mtu ana mawazo yake .
 
Kuna namna inbidi kuangalia aisee
Naona timu kassim ipo kazini! Product ya Magu haiji kupewa ikulu ya nchi hii asilani! Mbona mna uchoro hivi enyi chawa? Nchi hii inahitaji rais kijana na siyo hiyo jamii ya wapaka piko! Ajenge kiwanda Cha piko Kwa matumizi yake itatosha!
 
Naona timu kassim ipo kazini! Product ya Magu haiji kupewa ikulu ya nchi hii asilani! Mbona mna uchoro hivi enyi chawa? Nchi hii inahitaji rais kijana na siyo hiyo jamii ya wapaka piko! Ajenge kiwanda Cha piko Kwa matumizi yake itatosha!
Puguza hasira mkuu
 
Sawa kila mtu ana mawazo yake .
Urais siyo vitumbua au maandazi ya hitma ambayo hugawiwa Kwa Kila aliyehudhuria! Urais haujaribiwi na kuwa PM Haina maana kuwa anatoshea kuwa rais! Hana sifa.
Mwambie atosheke na nafasi aliyonayo na muda wake ukiisha abaki nyumbani na wajukuu.
 
Back
Top Bottom