Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
hebu tuwe serious kidogo na mambo ya kitaifa, yaaani eti .... awe rais..... hiiiiiiii
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Hakuna waziri mkuu aliyewahi kuulata urais.
Waziri mkuu ndiye kiboko ya serikali na kawaida hana ushawisi, yeye ni mtendaji tu.
Majaliwa kuupata urais siyo rahisi.
 
Wewe utakuwa na maslahi na hili pendekezo lako!

NB: HII NCHI HAIHITAJI KIRANJA MKALI, INAHITAJI MTU MWENYE MAONO SAHIHI!
 
Mkuu sawa
Ule ujanja ujanja ambao ulifanyika Baada ya simba wa yuda kulala milele kabla Mama hajaapishwa kuwa ndiye kama alishiriki hata KWA Mbali asahau hilo!!
 
Mkuu sawa
Ule ujanja ujanja ambao ulifanyika Baada ya simba wa yuda kulala milele kabla Mama hajaapishwa kuwa ndiye kama alishiriki hata KWA Mbali asahau hilo!!
Huwezi tuhumu moja kwa moja kwa vitu visivyo na ushahidi .
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Hafai hata kuwa katibu kata
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Huyo muongo muongoooooi!
 
Ingekuwa nchi za wenye kujielewa alipaswa kujiuzuru tangu wakati ule bila shinikizo sasa hivi ingekuwa ni historia!

Sema kwa nchi nyingine sababu ya ukondoo na kutojielewa basi inakuwa ilimradi!
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Acha mambo wewe The choice was bashiru Kama hujui, and it was clear stated somewhere! Ila Mungu akafanya yake

 
Acha mambo wewe The choice was bashiru Kama hujui, and it was clear stated somewhere! Ila Mungu akafanya yake

Siasa hauko hivyo choice huwa inabadilika Muda muda wowote kama kwa Membe na JPM
 
Naona watanzania wote kwa Pamoja wamekubali majaliwa fiksi kibao hatufai.
 
Back
Top Bottom