Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Urais siyo vitumbua au maandazi ya hitma ambayo hugawiwa Kwa Kila aliyehudhuria! Urais haujaribiwi na kuwa PM Haina maana kuwa anatoshea kuwa rais! Hana sifa.
Mwambie atosheke na nafasi aliyonayo na muda wake ukiisha abaki nyumbani na wajukuu.
Sawa mkuu
 
Waziri mkuu muongo mno kuwahi kutokea, viwanda 4000 vya Magufuli kwanza, viko wapi. Kizazi cha hovyo acheni kuongozwa na njaa.
Na utuambie kwamba rais aliyemuacha madarakan mtu muongo analitakia nini taifa hili?
 
Mkuu wewe hujawahi pitiwa na kudanganya ?
Km ni kosa la kibinadam basi msikatae kuwa PM anastahili kuwa rais. Hata haya matrilion tunayoambiwa hatujui yapo au la.
 
Kwanini mkuu
Ni mwiko wa kamati inayochagua rais wa tanzania hii nch never kua na rais kutoka kabila kubwa kama wachaga wahaya na nk au kua na wazir mkuu atakaekuja kua rais huo ni mwiko haina sababu lakin iko hivyo
 
I'll nae katelephoni kazid matamko na kinda tume za ovyo ovyo bila kuwa na majibu Ni biti tu anachimba
 
Ni mwiko wa kamati inayochagua rais wa tanzania hii nch never kua na rais kutoka kabila kubwa kama wachaga wahaya na nk au kua na wazir mkuu atakaekuja kua rais huo ni mwiko haina sababu lakin iko hivyo



Mbona hujataja wasukuma ambao ndio kabila kubwa zaidi kuliko hao wachaga ?

Wachaga wanaukubwa gani kwa mfano?

Au ukubwa unauongelea interms of nini Kwa mfano?
 
Ukimtoa nyerere hakuna wazir mkuu atakaekua rais wa tanzania



Ni kweli,

Na Nyerere ilikuwa sababu ya Mwanzo kuwa mgumu,

Nchi ilikuwa imetoka mara tu kupata Uhuru toka Kwa wakoloni,

Lakini sasa hatuna sababu ya kufanya hivyo kwamba PM aje kuwa President.
 
Ukijua una ndoto za kuwa Rais basi ukianza kuteuliwa uPM afadhali ukatae usubiri Urais.
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?

Mama ndio rais wako hakuna namna,,na tunamuombea aliongoze taifa hadi 2035 na kwendelea
 
Tangia aliposema JpM anachapa kazi ilhari anajua yuko mortuary sina hamu naye tena!!
Mkuu we ulitaka aseme nin kwa wakati ule hata huku kijijn kwetu wazee wakitutoka watu wanakaa kujadili kabla ya kutangaza bt japo kipnd hko fununu znakuwa kwa majiran na watu wa karibu

Sent from my LG-H910 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom