hebu tuwe serious kidogo na mambo ya kitaifa, yaaani eti .... awe rais..... hiiiiiiiiKuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Hakuna waziri mkuu aliyewahi kuulata urais.Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
DaaRais wa chama cha kokoto....?
Maslahi na nchi sio PMWewe utakuwa na maslahi na hili pendekezo lako!
NB: HII NCHI HAIHITAJI KIRANJA MKALI, INAHITAJI MTU MWENYE MAONO SAHIHI!
Huwezi tuhumu moja kwa moja kwa vitu visivyo na ushahidi .Mkuu sawa
Ule ujanja ujanja ambao ulifanyika Baada ya simba wa yuda kulala milele kabla Mama hajaapishwa kuwa ndiye kama alishiriki hata KWA Mbali asahau hilo!!
Kama alihusika!!!!Huwezi tuhumu moja kwa moja kwa vitu visivyo na ushahidi .
Uhuru umezidi..fambaf[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mzee mdee anatosha
Hafai hata kuwa katibu kataKuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Huyo muongo muongoooooi!Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Acha mambo wewe The choice was bashiru Kama hujui, and it was clear stated somewhere! Ila Mungu akafanya yakeKuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Siasa hauko hivyo choice huwa inabadilika Muda muda wowote kama kwa Membe na JPMAcha mambo wewe The choice was bashiru Kama hujui, and it was clear stated somewhere! Ila Mungu akafanya yake
Elections 2015 - Kila uchaguzi unapoteza kura yako, hujachelewa badili maamuzi leo mpe Magufuli kesho
Kuanzia 1995,2000,2005,2010, Kuna Wenye Record Mbaya, Ebu Futa Record Hiyo Mpgie Magufuli Angalau Upate Tick Moja, Na Wale Ambao Ni Uchaguz Wao Wa Kwanza Mpe Magufuli Ili Usianze Na Record Mbaya Ya Kupoteza Kura Huyo Lowassa ana kazi maalumu hapo UKAWA akimaliza Kwa mujibu wa karatasi nazoona...www.jamiiforums.com
Kwani mvi ndy uzee?Kassimu hawezi kuingia madarakani
Kama atavumilia kupaka bleach kichwan Hadi 2040 ili azibe mvi itawezekana
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tuwaachie waislmu mpk 2050 alfu mwnagu mm aje kuwa his excellenciy presidentWakati ule ilikuwa CCM ya JPM na Tanzania ya JPM vivyo hivyo.