Kassim Majaliwa enzi za Magufuli alikuwa akiogopwa kama radi, wa sasa anapuyanga tu

Kassim Majaliwa enzi za Magufuli alikuwa akiogopwa kama radi, wa sasa anapuyanga tu

Hivi ndivyo ninavyoweza kusema, naona unapiga makelele tu na impact ni sufuri bin sufuri.

Lugha rahisi ninavyoweza kutumia ni kwamba unapuyanga tu, watendaji wa serikali hawakuogopi hata kidogo.

Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa Maji, tatizo ni serikali unayoisimamia haina makucha hata kidogo ndo maana watu wanaendelea kupiga tu.

Kasim Majaliwa wa Magufuli siyo wa Samia, Kasim Majaliwa wa Magufuli alikuwa naogopwa kama RADI.

Watendaji walikuwa hawalali siku mbili mfululizo kabla ya ujio wako walikesha wakiandaa makablasha na kuweka taarifa sawa.

Nikiwa simiyu mwaka 2016 mkurugenzi wa wilaya ya maswa Trasias Kagenzi alikufa Kwa presha siku moja kabla hujafika wilayani hapo.

Enzi hizo defender zilikuwa tayari kubeba watuhumiwa baada ya kikao mda huo hizo, Leo hii nashangaa unawapa watu mda waandae taarifa za uongo na kujipanga.

Ulikuwa unaheshimika sana na nidhamu ilikuwepo Katika matumizi ya Mali za umma. Inakuwaje Leo takukuru hawaoni ufisadi hadi waambiwe?

Mama Samia anakuchoresha tu lakini unachofanya sasa ni kazi bure kwani yeye mwenyewe kakumbatia mafisadi.

Haya muheshimiwa endelee kupuyanga ila hatuachi kuiba huna meno wala effect.
Mpaka hapo pm anawalaza na viatu!
 
Kwa taarifa yako hivi sasa Kuna watendaji wana nguvu kuliko pm kwa sasa. Kwasabb magod father wao ni wazito mno..

Lkn sifa ya kiongozi siyo kuogopwa wala kutisha watu.

uongozi ni mamlaka,ukiona hata mwanao ukifoka hashtukia anacheka ushatiwa kidole tayari dear.
 
Hivi ndivyo ninavyoweza kusema, naona unapiga makelele tu na impact ni sufuri bin sufuri.

Lugha rahisi ninavyoweza kutumia ni kwamba unapuyanga tu, watendaji wa serikali hawakuogopi hata kidogo.

Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa Maji, tatizo ni serikali unayoisimamia haina makucha hata kidogo ndo maana watu wanaendelea kupiga tu.

Kasim Majaliwa wa Magufuli siyo wa Samia, Kasim Majaliwa wa Magufuli alikuwa naogopwa kama RADI.

Watendaji walikuwa hawalali siku mbili mfululizo kabla ya ujio wako walikesha wakiandaa makablasha na kuweka taarifa sawa.

Nikiwa simiyu mwaka 2016 mkurugenzi wa wilaya ya maswa Trasias Kagenzi alikufa Kwa presha siku moja kabla hujafika wilayani hapo.

Enzi hizo defender zilikuwa tayari kubeba watuhumiwa baada ya kikao mda huo hizo, Leo hii nashangaa unawapa watu mda waandae taarifa za uongo na kujipanga.

Ulikuwa unaheshimika sana na nidhamu ilikuwepo Katika matumizi ya Mali za umma. Inakuwaje Leo takukuru hawaoni ufisadi hadi waambiwe?

Mama Samia anakuchoresha tu lakini unachofanya sasa ni kazi bure kwani yeye mwenyewe kakumbatia mafisadi.

Haya muheshimiwa endelee kupuyanga ila hatuachi kuiba huna meno wala effect.
Ili twende sawa naomba clip Moja tuu ya Majaliwa chini ya Mwendazake akiibua Ufisadi,ukiipata nafunga acc jf na hapo ndio utaelewa PM anafanya Nini na wewe.umeandika Nini.
 
Kwa taarifa yako hivi sasa Kuna watendaji wana nguvu kuliko pm kwa sasa. Kwasabb magod father wao ni wazito mno..

Lkn sifa ya kiongozi siyo kuogopwa wala kutisha watu.
Pamoja na kwamba umeandika upuuzi Ila nakukumbusha tuu Makonda alikuwa na nguvu sio tuu kuliko PM Bali kuliko Spika na VP.

Kana kwamba haitoshi Wateule wa Jiwe wakiwemo Ma DED nk walikuwa wanamdharau huyo PM wako walau Sasa anaweza wang'oa ndio maana kawasimamisha kadhaa..

Mwisho mtaje mteule hata mmja unaedhani anaweza mvimbia PM maana nimekutajia waliokuwa wanamvimbia huyo PM wako enzi za Jiwe.
 
Ili twende sawa naomba clip Moja tuu ya Majaliwa chini ya Mwendazake akiibua Ufisadi,ukiipata nafunga acc jf na hapo ndio utaelewa PM anafanya Nini na wewe.umeandika Nini.

Haya funga sasa Account, enzi zile nakwambia hapakuwa na lelemama alikua anafukuza hapo hapo na hatua zingine juu
 
Ndio Africa walivyo
980dd751-00-corruption-rife-throughout-our-civil-service-696x445.jpg
 
Toka huyu mzee aseme, "Jiwe yupo bukheri wa afya anaendelea na majukumu yake" wakati kauma shuka nilimuona boya sana.
 
Nakumbuka alipita morogoro akakuta kituo Cha afya milango mibovu akawa mkali kwelikweli ,kesho yake asubui watu wametumbuliwa jpm alikuwa ana masiala ,
 
Nilitaka uingie kwenye mtego,kumbe Mwendazake alikuwa analea ufisadi na alipokuwa anajigamba ilikuwa bortion kwa wajinga 😆😆
 
Back
Top Bottom