Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 579
- 367
Yaende tu. Wameenda twiga itakuwa makontena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True.Enzi za dikteta asingetoa hiyo kauli
Wamesema wameyapima na kuchukua kodiKwenye hili la kusafirisha mchanga bila kujua kilichomo, take it from me, tunaendelea kupigwa!.
PKulinda rasilimali kwa Export Ban on Concentrate: Kama tuliuzuia ili tusiibiwe kwa kutokujua kilichomo, tunawezaje kuruhusu bila kujua kilichomo?
Wanabodi, Kila nipatapo fursa ya kujadili maendeleo yetu na nchi yetu, kupitia makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye maswali fikirishi kuhusu mustakabali wa taifa letu Tanzania, leo nimepata fursa na naulizia kuhusu lifting export ban on copper concentrate, kuruhusu mchanga wa makinikia...www.jamiiforums.com
Watasha wanawaaminisha watu kuwa kuchenjua ni gharama sana na wanahitaji tech ya juu ili tuendelee kupigwa.
Hatari sana Mwana wa kwetu.
PM jiandae kuachia ngazi tu hakuna namna.
Tunayo yajua ni zaidi ya hilo jibu.
tatizo wanataka viongozi wajibu kama wanavyotaka waoKubalini majibu hayo si mmekataa rais aliyejitoa mhanga kutetea maslahi yenu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kiwanda cha kuchenjulia makinikia ya madini kinajengwa Kahama mkuu na mkataba ushasainiwa mapema mwaka huu.Suala la makinikia kuchenjuliwa bongo land kwamba watajenga kiwanda cha kuchenjulia ilikuwa ni ndoto ya mchana, tatzo siasa na propaganda zilikuwa nyingi sana
Kwanini wewe hukutangaza? Kiwanda ya kuchenjua makinikia kinajengwa Kahama na mkataba ulishasainiwa mapema mwaka huu na wakati wakusainiwa ilionyeshwa live na TBC1. Wewe hukuona kwa kuwa ulikuwa zamu ya uljnzi pale mtaa wa ufipa.Weka hapa hilo unalolijua maana kama ni kusafirishwa yameanzwa kusafirishwa toka wakati wa Magu, japo ilikuwa haitangazwi ili kuhadaa umma kuwa yamedhibitiwa, na vyombo vya habari viliogopa kutangaza, kwani dhalimu angeweza kuvifungia.
Kiwanda cha kuchenjua kinajengwa Kahama mkuu.Mkuu yalikua maneno tu ya mwendazake , Sasa kiko wapi
weweJamaa gani?
Mnasubiri majaliwa kutolewa?Hana maana yoyote acha wang'oe bora apewe hata mzee Mkuchika
Kwanini wewe hukutangaza? Kiwanda ya kuchenjua makinikia kinajengwa Kahama na mkataba ulishasainiwa mapema mwaka huu na wakati wakusainiwa ilionyeshwa live na TBC1. Wewe hukuona kwa kuwa ulikuwa zamu ya uljnzi pale mtaa wa ufipa.
Mimi siwezi kulingana na wewe fala mkubwa. Mimi exposure yangu ni zaidi ya wazazi wako. Wewe kula kulala.Ww uliona igizo la kusaini huo mkataba, lakini hujui lolote lililo ndani ya huo mkataba uliosainiwa. Zile live za dhalimu zilikuwa za kupumbaza wajinga wa aina yako.
Mimi siwezi kulingana na wewe fala mkubwa. Mimi exposure yangu ni zaidi ya wazazi wako. Wewe kula kulala.
Hawajaanza leo ni miaka sasa so hakuna jipya.Wameanza, jamaa hata hajatulia kule aliko.
Sasa mbona msafirisha,mkuuKiwanda cha kuchenjua kinajengwa Kahama mkuu.