SpiderThy
Member
- Dec 12, 2016
- 88
- 72
Itabidi avunje serikali nzima nadhani. Makamu, PM, feb, kigwa, jojo, tuly, nape, ndugA, mwgl, ..... wote awatumbue!!!Ila mm nawaza tofauti, itakuwa vipi kama mzee baba akiungana na mkuu wa Dar.!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi avunje serikali nzima nadhani. Makamu, PM, feb, kigwa, jojo, tuly, nape, ndugA, mwgl, ..... wote awatumbue!!!Ila mm nawaza tofauti, itakuwa vipi kama mzee baba akiungana na mkuu wa Dar.!!!!
Ningekuwa mm PM ningesema wakae siti za karibu karibu halafu Makonda angefanyaje?Je Mwenyekiti wa Saidia Taifa stars ishinde atakubali kuongozana naye!
Ni kweli ,nimefika misri ,pombe hotel kubwa ,zipoKwani pierre anakunywa pombe muda wote! Kwny nchi km hizi pombe huuzwa kwny hotel kubwakubwa na sehemu maalumu.
Engineer, hii imekaaje????Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemhakikishia Pierre Gumbo(Liquid) kuwa kuna tiketi yake kwa ajili ya kuambatana na Taifa Stars kuelekea Misri.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipozungumza na Pierre Liquid katika viwanja vya Bunge.
Kiki za kisiasa hata kwa waleviMpaka waziri mkuu naye amempa promo 'mtu wa hovyo'
Hapa kuna mawili aidha wa hovyo ndiyo wa hovyo au aliyesema wa hovyo ndiyo wa hovyo
Mualike Pierre huko kwa fasi ya Tshisekedi upige mpungaNi kweli ,nimefika misri ,pombe hotel kubwa ,zipo
MTC | 101| [emoji769]
Isokeiiii! Isokeiii!Juu juu mawinguni
Everybody say yeeeeeeee
13SEPTEMBER
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Laana ya kumchapa makofi Mzee Warioba inaanza kumtafuna ukichanganya na ile Albadri iliyosomwa mwezi September 2017 atapata tabu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote sawaMpaka waziri mkuu naye amempa promo 'mtu wa hovyo'
Hapa kuna mawili aidha wa hovyo ndiyo wa hovyo au aliyesema wa hovyo ndiyo wa hovyo
... anaenda kuwa mhamasishaji mkuu kwenye timu ya kampeni huyu. tunaenda kupata ushindi wa kimbunga; na wananchi walivyomkubali mtashangaa na roho zenu. Siasa ni strategy na sio bla blah; mshapigwa 5 za haraka haraka kabla ya mpambano.
Anachekesha sababu ni mywaji au anachekesha sababu ana kipaji ? au unywaji ni kipaji.., ?, na asingekuwa anakunywa asingechekesha ? kuzungusha bahasha ni njia rahisi kuliko ku-force kipaji ambacho hauna..., anyone can learn and educate oneself but talent can not be acquiredpiere ni mtu makini sana.. katumia starehe yake ya unywaji kupata ajira ya uchekeshaji na fursa nyingi nyingi...
graduates tuendelee kuzungusha bahasha tugombee nafasi chache watu maelfu na maelfu
Kabisaauwiiii! kama namwona vile makonda anavyoteseka
Hili nalo neno mwanawaniTatizo Bashite ana back up ya baba mwenye nyumba, na kauli moja tu ya baba mwenye nyumba inatosha kumrudisha Bashite mchezoni
Sent using Jamii Forums mobile app
ngoma inogile....dakika ya tisini dar inarudini mchezoni......tunasubiria matuta....Ila mm nawaza tofauti, itakuwa vipi kama mzee baba akiungana na mkuu wa Dar.!!!!