Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Uenyeketi safari tunampa full mikoba MO dewji.Je Mwenyekiti wa Saidia Taifa stars ishinde atakubali kuongozana naye!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uenyeketi safari tunampa full mikoba MO dewji.Je Mwenyekiti wa Saidia Taifa stars ishinde atakubali kuongozana naye!
Kweli bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi!! Kuna watu miaka yote huingia na dufi, vigima, vuvuzera na wanaruka uwanjani toka saa sita mpaka mpira unaisha, hata siku moja hawajawahi kuonekana. Kaja mtu mmoja na "Tanzania izzz okay, izzz okay" tayari anakwea pipa😂😂Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemhakikishia Pierre Gumbo(Liquid) kuwa kuna tiketi yake kwa ajili ya kuambatana na Taifa Stars kuelekea Misri.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipozungumza na Pierre Liquid katika viwanja vya Bunge.
Hiyo ticket wampe Bashite ampelekee homeWaziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemhakikishia Pierre Gumbo(Liquid) kuwa kuna tiketi yake kwa ajili ya kuambatana na Taifa Stars kuelekea Misri.
Waziri Mkuu ameyasema hayo alipozungumza na Pierre Liquid katika viwanja vya Bunge.
Issue mbili ambazo mafaili yapo mezani, liquid + CAGngoma inogile....dakika ya tisini dar inarudini mchezoni......tunasubiria matuta....
Dakika 90 ndizo zitakazoamua, Piere & CAG. Hahahaaa, hakuna kuzima dataItabidi avunje serikali nzima nadhani. Makamu, PM, feb, kigwa, jojo, tuly, nape, ndugA, mwgl, ..... wote awatumbue!!!
Juzi Abdel Fattah el-Sisi alifungua kanisa kubwa sana huko Misri, hizi nchi zenye kujifanya wana iman kali za kidini nao wanapinga mivinyo wamejifungia ndani,Misri siyo Jamhuri ya kiislamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ameruhusu Gongo, so Hilo pia ni Design ya Dongo kwa Mtoto. Lets wait and see;Itabidi avunje serikali nzima nadhani. Makamu, PM, feb, kigwa, jojo, tuly, nape, ndugA, mwgl, ..... wote awatumbue!!!