Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kuna kipindi nlitaka kufuga Kasuku Mimi nawapenda. But demu wangu wa kipindi hicho alinikataza kabisa. Akisema hawa ndege wana imani imani flani pia.
Tulikuwa tukibishana sana. Na anadai wangesababisha hata mimi na yeye tusioane. Hivyo hakutaka kabisa kusikia hizo habari. Kwa kipindi hicho sikutaka kumpoteza kwa sababu ya Kasuku.
Anyway .... Sikufuga na bado yeye sikumuoa. So nadhani haikuwa kigezo.
Ila leo nimegundua kuna watu wanafiq sana. Na wanaharibu hata imani za dini. Jamaa yangu huyu yeye yupo na mkewe na mtoto mdogo wa mwaka mmoja.
Nimekuja mtembelea. Nimekaa sebuleni kwake sasa nikamwita ili aje niondoke. Maana naona hiki kibaridi sijui kaenda kupasha moto msuli. Kamwita mkewe wameenda chumbani kisha kimya. Mimi huku walijisahau wakawa wamewasha TV hivi vipindi vyao tamthiliya za Kiswahili.
Binafsi ukitaka nikimbiza haraka nyumbani kwako niwekee hayo makitu. Basi nikaona muda umeenda. Nikajaribu piga simu inaita ipo hapa hapa mezani.
Basi nikaita baba xxxxxx. Nikaita tena.
Kasuku si akajibu " nakuja acha usengeh wewe" nikashtuka. Sina mazoea hayo na huyu jamaa. Kabisa. So nikaita tena. Akajibu tena "nakuja acha usengeh wewe" akaanza rudia rudia hayo maneno. Nikaamua kunyamaza.
Nimejifunza jamaa siyo swala tano wala nini. Mhuni tu na anatumia dini vibaya. Mi nlikuwa namheshimu sana lakini kitendo cha kumwambia Kasuku wake anitukane kimenifikirisha sana. Why lakini? Mimi nilimkosea nini? Je ningekaa tu sebuleni kumsubiri mtu anamla mkewe? Si heshima. Na ni yeye kaniomba nimpitishe kwake leo hakuwa na gari. Kaniambia nisubiri tutoke wote. Then naambulia matusi? Siyo haki. Nimeumia sana. Sijapenda kwa kweli
Tulikuwa tukibishana sana. Na anadai wangesababisha hata mimi na yeye tusioane. Hivyo hakutaka kabisa kusikia hizo habari. Kwa kipindi hicho sikutaka kumpoteza kwa sababu ya Kasuku.
Anyway .... Sikufuga na bado yeye sikumuoa. So nadhani haikuwa kigezo.
Ila leo nimegundua kuna watu wanafiq sana. Na wanaharibu hata imani za dini. Jamaa yangu huyu yeye yupo na mkewe na mtoto mdogo wa mwaka mmoja.
Nimekuja mtembelea. Nimekaa sebuleni kwake sasa nikamwita ili aje niondoke. Maana naona hiki kibaridi sijui kaenda kupasha moto msuli. Kamwita mkewe wameenda chumbani kisha kimya. Mimi huku walijisahau wakawa wamewasha TV hivi vipindi vyao tamthiliya za Kiswahili.
Binafsi ukitaka nikimbiza haraka nyumbani kwako niwekee hayo makitu. Basi nikaona muda umeenda. Nikajaribu piga simu inaita ipo hapa hapa mezani.
Basi nikaita baba xxxxxx. Nikaita tena.
Kasuku si akajibu " nakuja acha usengeh wewe" nikashtuka. Sina mazoea hayo na huyu jamaa. Kabisa. So nikaita tena. Akajibu tena "nakuja acha usengeh wewe" akaanza rudia rudia hayo maneno. Nikaamua kunyamaza.
Nimejifunza jamaa siyo swala tano wala nini. Mhuni tu na anatumia dini vibaya. Mi nlikuwa namheshimu sana lakini kitendo cha kumwambia Kasuku wake anitukane kimenifikirisha sana. Why lakini? Mimi nilimkosea nini? Je ningekaa tu sebuleni kumsubiri mtu anamla mkewe? Si heshima. Na ni yeye kaniomba nimpitishe kwake leo hakuwa na gari. Kaniambia nisubiri tutoke wote. Then naambulia matusi? Siyo haki. Nimeumia sana. Sijapenda kwa kweli