Kasuku kanionesha tabia halisi ya huyu Jamaa. Kumbe mnafiki sana

Kasuku kanionesha tabia halisi ya huyu Jamaa. Kumbe mnafiki sana

Kuna kipindi nlitaka kufuga Kasuku Mimi nawapenda. But demu wangu wa kipindi hicho alinikataza kabisa. Akisema hawa ndege wana imani imani flani pia.

Tulikuwa tukibishana sana. Na anadai wangesababisha hata mimi na yeye tusioane. Hivyo hakutaka kabisa kusikia hizo habari. Kwa kipindi hicho sikutaka kumpoteza kwa sababu ya Kasuku.

Anyway .... Sikufuga na bado yeye sikumuoa. So nadhani haikuwa kigezo.

Ila leo nimegundua kuna watu wanafiq sana. Na wanaharibu hata imani za dini. Jamaa yangu huyu yeye yupo na mkewe na mtoto mdogo wa mwaka mmoja.

Nimekuja mtembelea. Nimekaa sebuleni kwake sasa nikamwita ili aje niondoke. Maana naona hiki kibaridi sijui kaenda kupasha moto msuli. Kamwita mkewe wameenda chumbani kisha kimya. Mimi huku walijisahau wakawa wamewasha TV hivi vipindi vyao tamthiliya za Kiswahili.

Binafsi ukitaka nikimbiza haraka nyumbani kwako niwekee hayo makitu. Basi nikaona muda umeenda. Nikajaribu piga simu inaita ipo hapa hapa mezani.

Basi nikaita baba xxxxxx. Nikaita tena.

Kasuku si akajibu " nakuja acha usengeh wewe" nikashtuka. Sina mazoea hayo na huyu jamaa. Kabisa. So nikaita tena. Akajibu tena "nakuja acha usengeh wewe" akaanza rudia rudia hayo maneno. Nikaamua kunyamaza.

Nimejifunza jamaa siyo swala tano wala nini. Mhuni tu na anatumia dini vibaya. Mi nlikuwa namheshimu sana lakini kitendo cha kumwambia Kasuku wake anitukane kimenifikirisha sana. Why lakini? Mimi nilimkosea nini? Je ningekaa tu sebuleni kumsubiri mtu anamla mkewe? Si heshima. Na ni yeye kaniomba nimpitishe kwake leo hakuwa na gari. Kaniambia nisubiri tutoke wote. Then naambulia matusi? Siyo haki. Nimeumia sana. Sijapenda kwa kweli
Polesan bwanmkubwa akunachaswala5 saiv labd swalayakushonea viatu 2
 
hiyo mifano miwili haina uhusiano wowote. Kasuku ni ndege na kama unamjua tabia yake ukimfundisha kitu atajibu kwa yeyote habagui hachagui.
The point is why afundishwe matusi? Huo mfano una uhusiano. Sababu mbakaji ni mhuni habagu hachagui.
 
Unatembelea yote kwa wakati mmoja? Haya tushajua yapo matatu kipi kingine tukijue
Yes. Huwa yanaunga yanavutana. Na enjoy sana. Kingine nina mademu wanne wakali sana. Wakali balaa...
 
Kasuku hanaga ujinga wa maneno ya kizushi anapotezea
Kuna jamaa alikuwa akidodosha chombo anatukana, iwe kijiko sahani au chochote ili mradi kimetoa mlio au kuvunjika.

Sasa tabu ilikuwa kwa wageni hata mlio utokee jikoni nyinyi mliopo sebuleni mtaambulia matusi.

Alipenda sana kutumia "kum@m@£"
 
Kuna kipindi nlitaka kufuga Kasuku Mimi nawapenda. But demu wangu wa kipindi hicho alinikataza kabisa. Akisema hawa ndege wana imani imani flani pia.

Tulikuwa tukibishana sana. Na anadai wangesababisha hata mimi na yeye tusioane. Hivyo hakutaka kabisa kusikia hizo habari. Kwa kipindi hicho sikutaka kumpoteza kwa sababu ya Kasuku.

Anyway .... Sikufuga na bado yeye sikumuoa. So nadhani haikuwa kigezo.

Ila leo nimegundua kuna watu wanafiq sana. Na wanaharibu hata imani za dini. Jamaa yangu huyu yeye yupo na mkewe na mtoto mdogo wa mwaka mmoja.

Nimekuja mtembelea. Nimekaa sebuleni kwake sasa nikamwita ili aje niondoke. Maana naona hiki kibaridi sijui kaenda kupasha moto msuli. Kamwita mkewe wameenda chumbani kisha kimya. Mimi huku walijisahau wakawa wamewasha TV hivi vipindi vyao tamthiliya za Kiswahili.

Binafsi ukitaka nikimbiza haraka nyumbani kwako niwekee hayo makitu. Basi nikaona muda umeenda. Nikajaribu piga simu inaita ipo hapa hapa mezani.

Basi nikaita baba xxxxxx. Nikaita tena.

Kasuku si akajibu " nakuja acha usengeh wewe" nikashtuka. Sina mazoea hayo na huyu jamaa. Kabisa. So nikaita tena. Akajibu tena "nakuja acha usengeh wewe" akaanza rudia rudia hayo maneno. Nikaamua kunyamaza.

Nimejifunza jamaa siyo swala tano wala nini. Mhuni tu na anatumia dini vibaya. Mi nlikuwa namheshimu sana lakini kitendo cha kumwambia Kasuku wake anitukane kimenifikirisha sana. Why lakini? Mimi nilimkosea nini? Je ningekaa tu sebuleni kumsubiri mtu anamla mkewe? Si heshima. Na ni yeye kaniomba nimpitishe kwake leo hakuwa na gari. Kaniambia nisubiri tutoke wote. Then naambulia matusi? Siyo haki. Nimeumia sana. Sijapenda kwa kweli
Kibaridi
Kamwita mkewe chumbani

Ok so
 
Yes. Huwa yanaunga yanavutana. Na enjoy sana. Kingine nina mademu wanne wakali sana. Wakali balaa...
Tuambie na ile stori yako walivyokufanya vibaya mbona u atunyima uhondo hivi ilikuaje yule jamaa akaanza kukupapasa trakoooo na ukawa kimya aseee😂😂😂
 
Tuambie na ile stori yako walivyokufanya vibaya mbona u atunyima uhondo hivi ilikuaje yule jamaa akaanza kukupapasa trakoooo na ukawa kimya aseee😂😂😂
Tuambie na ile stori yako walivyokufanya vibaya mbona u atunyima uhondo hivi ilikuaje yule jamaa akaanza kukupapasa trakoooo na ukawa unafurahi aseee😂😂😂
 
,
ukitafsiri sana kwa sisi tuliofanya bandarini hili wala sio tusi ila ni taadhari unapewa kuwa uache huenda kwa mazingira walionao unatakiwa uelewe nini kinafanyika na kisha ujiongeze kumwita mwanaume mwenzio tena kwa jina la baba fulani sio mwito sahihi kwa mwanaume ulitakiwa umwite jina lake.

Baba fulani wanaita wanawake mwanaume huwezi mwita mwanaume mwenzio baba fulani si kawaida yetu.
tena akiwa na mkewe chumbani!
🤣🤣🤣Alimwita baba jumaa 🤣kasuku akajua ni mke wa Ustadh akajibu alivyoelekezwa na Ustadh🤔
 
Kuna kipindi nlitaka kufuga Kasuku Mimi nawapenda. But demu wangu wa kipindi hicho alinikataza kabisa. Akisema hawa ndege wana imani imani flani pia.

Tulikuwa tukibishana sana. Na anadai wangesababisha hata mimi na yeye tusioane. Hivyo hakutaka kabisa kusikia hizo habari. Kwa kipindi hicho sikutaka kumpoteza kwa sababu ya Kasuku.

Anyway .... Sikufuga na bado yeye sikumuoa. So nadhani haikuwa kigezo.

Ila leo nimegundua kuna watu wanafiq sana. Na wanaharibu hata imani za dini. Jamaa yangu huyu yeye yupo na mkewe na mtoto mdogo wa mwaka mmoja.

Nimekuja mtembelea. Nimekaa sebuleni kwake sasa nikamwita ili aje niondoke. Maana naona hiki kibaridi sijui kaenda kupasha moto msuli. Kamwita mkewe wameenda chumbani kisha kimya. Mimi huku walijisahau wakawa wamewasha TV hivi vipindi vyao tamthiliya za Kiswahili.

Binafsi ukitaka nikimbiza haraka nyumbani kwako niwekee hayo makitu. Basi nikaona muda umeenda. Nikajaribu piga simu inaita ipo hapa hapa mezani.

Basi nikaita baba xxxxxx. Nikaita tena.

Kasuku si akajibu " nakuja acha usengeh wewe" nikashtuka. Sina mazoea hayo na huyu jamaa. Kabisa. So nikaita tena. Akajibu tena "nakuja acha usengeh wewe" akaanza rudia rudia hayo maneno. Nikaamua kunyamaza.

Nimejifunza jamaa siyo swala tano wala nini. Mhuni tu na anatumia dini vibaya. Mi nlikuwa namheshimu sana lakini kitendo cha kumwambia Kasuku wake anitukane kimenifikirisha sana. Why lakini? Mimi nilimkosea nini? Je ningekaa tu sebuleni kumsubiri mtu anamla mkewe? Si heshima. Na ni yeye kaniomba nimpitishe kwake leo hakuwa na gari. Kaniambia nisubiri tutoke wote. Then naambulia matusi? Siyo haki. Nimeumia sana. Sijapenda kwa kweli
Ogopa sana watu wanaojifanya wapenda dini, kuna mengi sana wanayaficha kupitia hizi dini zao za maboti. Mtaani kwetu huku Sinza (sitaji ni Sinza ipi kwa usalama zaidi) kuna alwatani flani mwaka juzi aliumbuka hivi hivi, yeye alikuwa mtu wa swala 5 na aliheshimika sana kwa kuwa mstaarabu kisa tu eti anaswali swala 5 kwa siku. Sikuwahi mkubali yule jama kwani mimi siku zote uwa siwaamini kabisa watu wa namna hii. Basi yule jamaa alipangisha nyumba yake kwa jamaa fulani hivi toka mkoa. Mke wa yule mpangaji kila kukicha alikuwa anaumwa umwa na kuchoka mno huku akisumbuliwa sana na tumbo pamoja na sehemu za siri. Jamaa alimuuguza mkewe bila mafaniko mwishowe akaamua kuleta mtaalam wa kiaisili kutoka kwao (mkoani). Kuja yule mtaalamu na kutibia mkewe huyu jirani yetu, haki ya nani watu hapa mtaani walikimbiza vi-Emoro kama vitatu hivi (majini) havina vichwa kutoka mle ndani ambao ndio walikuwa wanamfila mke wa yule jamaa mpangaji. Toka siku ile (2021) mpaka leo hii yule mwenye nyumba hafiki hapa mtaani na msikitini haendi tena, kahamia msikiti mwingine tena Magomeni. Fikiria anatoka hapa Sinza anakwenda kusali Magomeni wasikomjuwa vizuri.
 
Kuna kipindi nlitaka kufuga Kasuku Mimi nawapenda. But demu wangu wa kipindi hicho alinikataza kabisa. Akisema hawa ndege wana imani imani flani pia.

Tulikuwa tukibishana sana. Na anadai wangesababisha hata mimi na yeye tusioane. Hivyo hakutaka kabisa kusikia hizo habari. Kwa kipindi hicho sikutaka kumpoteza kwa sababu ya Kasuku.

Anyway .... Sikufuga na bado yeye sikumuoa. So nadhani haikuwa kigezo.

Ila leo nimegundua kuna watu wanafiq sana. Na wanaharibu hata imani za dini. Jamaa yangu huyu yeye yupo na mkewe na mtoto mdogo wa mwaka mmoja.

Nimekuja mtembelea. Nimekaa sebuleni kwake sasa nikamwita ili aje niondoke. Maana naona hiki kibaridi sijui kaenda kupasha moto msuli. Kamwita mkewe wameenda chumbani kisha kimya. Mimi huku walijisahau wakawa wamewasha TV hivi vipindi vyao tamthiliya za Kiswahili.

Binafsi ukitaka nikimbiza haraka nyumbani kwako niwekee hayo makitu. Basi nikaona muda umeenda. Nikajaribu piga simu inaita ipo hapa hapa mezani.

Basi nikaita baba xxxxxx. Nikaita tena.

Kasuku si akajibu " nakuja acha usengeh wewe" nikashtuka. Sina mazoea hayo na huyu jamaa. Kabisa. So nikaita tena. Akajibu tena "nakuja acha usengeh wewe" akaanza rudia rudia hayo maneno. Nikaamua kunyamaza.

Nimejifunza jamaa siyo swala tano wala nini. Mhuni tu na anatumia dini vibaya. Mi nlikuwa namheshimu sana lakini kitendo cha kumwambia Kasuku wake anitukane kimenifikirisha sana. Why lakini? Mimi nilimkosea nini? Je ningekaa tu sebuleni kumsubiri mtu anamla mkewe? Si heshima. Na ni yeye kaniomba nimpitishe kwake leo hakuwa na gari. Kaniambia nisubiri tutoke wote. Then naambulia matusi? Siyo haki. Nimeumia sana. Sijapenda kwa kweli
Huyu kasuku ni mstaarab sana hajakuambia kuwa "Oyaaaa, jamaa anamla mkewe, nenda kawachungulie."
 
Ogopa sana watu wanaojifanya wapenda dini, kuna mengi sana wanayaficha kupitia hizi dini zao za maboti. Mtaani kwetu huku Sinza (sitaji ni Sinza ipi kwa usalama zaidi) kuna alwatani flani mwaka juzi aliumbuka hivi hivi, yeye alikuwa mtu wa swala 5 na aliheshimika sana kwa kuwa mstaarabu kisa tu eti anaswali swala 5 kwa siku. Sikuwahi mkubali yule jama kwani mimi siku zote uwa siwaamini kabisa watu wa namna hii. Basi yule jamaa alipangisha nyumba yake kwa jamaa fulani hivi toka mkoa. Mke wa yule mpangaji kila kukicha alikuwa anaumwa umwa na kuchoka mno huku akisumbuliwa sana na tumbo pamoja na sehemu za siri. Jamaa alimuuguza mkewe bila mafaniko mwishowe akaamua kuleta mtaalam wa kiaisili kutoka kwao (mkoani). Kuja yule mtaalamu na kutibia mkewe huyu jirani yetu, haki ya nani watu hapa mtaani walikimbiza vi-Emoro kama vitatu hivi (majini) havina vichwa kutoka mle ndani ambao ndio walikuwa wanamfila mke wa yule jamaa mpangaji. Toka siku ile (2021) mpaka leo hii yule mwenye nyumba hafiki hapa mtaani na msikitini haendi tena, kahamia msikiti mwingine tena Magomeni. Fikiria anatoka hapa Sinza anakwenda kusali Magomeni wasikomjuwa vizuri.
Duh hii kali ya mwaka🤔Hawa wenzetu wa dini ya mnyaazii wana mambo sana.
Kuna jamaa aliwahi panga home,enzi hizo nimemaliza chuo,nabazbaz tu home,nikisikilizia michongo.Alikuwa na mke na mtoto mmoja wa kike,huyu dada nikiri kweli alikuwa kisu,msomali flan.Jamaa alikuwa swala 5,alikuwa anauza duka la simu stend kuu ya mabasi ya mkoa,ila ilikuwa kila mchana lazima arudi kula msosi home.
Wale watu walikuwa wanaoga pamoja,iwe usiku au mchana,halafu bafu lenyewe la nje lol.Yule mwanamke alikuwa muda wote amechoka,anaamka saa4 hoi,hawezi hata kupiga deki,jiran kulikuwa na vibinti vilivyoacha shule,ndo walikuwa mashost zake,so muda mwingi wanakuja msaidia,kupika na usafi.Yeye daima alikuwa mchovu na mwenye kusinzia sana mchana,siku moja nikaja vidadis vile vitoto,sababu ya Ile hali ni nn?manake ndo vilikuwa visiri vyake,yalaah walonambia nilichoka🙏jamaa alivyo ustadh swafi usingewedha mdhania.
 
Hapo unamlaumu tu huyo Jamaa,huyo kasuku ndio kaamua kukutolea uvivu,mkuu next time muonyesheee bisu mwambie utamchemsha supu akirudia,uone kama atafanya tena
 
Duh hii kali ya mwaka🤔Hawa wenzetu wa dini ya mnyaazii wana mambo sana.
Kuna jamaa aliwahi panga home,enzi hizo nimemaliza chuo,nabazbaz tu home,nikisikilizia michongo.Alikuwa na mke na mtoto mmoja wa kike,huyu dada nikiri kweli alikuwa kisu,msomali flan.Jamaa alikuwa swala 5,alikuwa anauza duka la simu stend kuu ya mabasi ya mkoa,ila ilikuwa kila mchana lazima arudi kula msosi home.
Wale watu walikuwa wanaoga pamoja,iwe usiku au mchana,halafu bafu lenyewe la nje lol.Yule mwanamke alikuwa muda wote amechoka,anaamka saa4 hoi,hawezi hata kupiga deki,jiran kulikuwa na vibinti vilivyoacha shule,ndo walikuwa mashost zake,so muda mwingi wanakuja msaidia,kupika na usafi.Yeye daima alikuwa mchovu na mwenye kusinzia sana mchana,siku moja nikaja vidadis vile vitoto,sababu ya Ile hali ni nn?manake ndo vilikuwa visiri vyake,yalaah walonambia nilichoka🙏jamaa alivyo ustadh swafi usingewedha mdhania.
Ogopa sana hawa watu wanaokashifu unywaji bia, kula mfalme wa mezani (kitimoto) na kujifanya wanamjuwa Mungu. Fuatilia hata Wakristo wanaojifanya wanamjuwa sana Mungu na kujiita watumishi wake, si watu poa hata kidogo na nakiri HAKUNA hata mmoja wao aliye salama, wachunguzeni tu na mtakuja kupata jibu kwanini wamejiingiza kwenye dini kuzuga watu. Binafsi sipendi kuwa na mahusiano na mwanamke wa namna hii.
 
Back
Top Bottom