Kasuku kanionesha tabia halisi ya huyu Jamaa. Kumbe mnafiki sana

Ooooh.... Huwa naambiwa Makuli wana lugha zisizo za kistaarabu. Sawa Chawa nimekuelewa.
sasa hapa ushanitukana! mimi tena nimegeuka kuwa chawa? kwa hiyo wewe unatukana wengine? sasa sijui nikasirike lakini kwakuwa mi wa Mbagala sawa mkuu!
 
Kuwavumilia katika shida zao? Yeaah nawajali sana. Ila kwenye matusi ndo nashangaa.... Wewe unaweza ukawa unavumilia kutukanwa? Why?
 
Sawa gari unalo vipi huyo kasuku kasajiliwa au ni muhamiaji haramu
 
Kwahyo unamuonea wivu mke wa jamaa au? Ndo mume wenu?
 
sasa hapa ushanitukana! mimi tena nimegeuka kuwa chawa? kwa hiyo wewe unatukana wengine? sasa sijui nikasirike lakini kwakuwa mi wa Mbagala sawa mkuu!
Ha ha ha.. hapana. Sijakutukana. Unatakiwa ujifunze kuvumilia wengine. Umetoka kunipa hilo somo. Sisi wa Mbezi na Mbagala hatuna Ugomvi. Au nasema uongo?
 
na kasuku atamjibu ye yote sio yeye tu
Ikija ikatokea unatembea ukapita sehemu flani. Wahuni wakakubaka. Ukaenda kulalamika Polisi wakakuambia siyo wewe tu hao jamaa wanabaka mwanamke yeyote. Utajisikia ahueni?
 
Halafu siwezagi kumwita mwanamme mwenzangu 'Baba flani'
 
Ikija ikatokea unatembea ukapita sehemu flani. Wahuni wakakubaka. Ukaenda kulalamika Polisi wakakuambia siyo wewe tu hao jamaa wanabaka mwanamke yeyote. Utajisikia ahueni?
hiyo mifano miwili haina uhusiano wowote. Kasuku ni ndege na kama unamjua tabia yake ukimfundisha kitu atajibu kwa yeyote habagui hachagui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…