Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Wafanyabiashara Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma leo May 29, 2021, wameanza mgomo wakiwatuhumu baadhi ya Maafisa wa TRA kwa kuwabambikia kodi Wafanyabiashara wasiotoa rushwa kwao.
Kwenye mgomo huu Wafanyabishara hao wamesisitiza kwamba wanayo orodha ya majina ya Maofisa wote wabambikizaji na kuitaka Serikali kuingilia kati.
Tayari Mbunge wa Kasulu Mjini Prof. Joyce Ndalichako pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye wamefika Kasulu kufanya mkutano na Wafanyabiashara hao ili kuweka mambo sawa.
Kwenye mgomo huu Wafanyabishara hao wamesisitiza kwamba wanayo orodha ya majina ya Maofisa wote wabambikizaji na kuitaka Serikali kuingilia kati.
Tayari Mbunge wa Kasulu Mjini Prof. Joyce Ndalichako pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye wamefika Kasulu kufanya mkutano na Wafanyabiashara hao ili kuweka mambo sawa.