mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Komaeni si hamtaki tozo nyie? Na Hali hii ni kawaida sana Kanda ya Ziwa ambako watu wamerundikana hadi sio vizuri.Wajawazito katika Kata ya Kalela Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wanapeana zamu kupanda kitandani kujifungua na wengine kulazwa chini kutokana na Zahanati ya Kalela kuwa na chumba kimoja cha wodi ya wazazi chenye kitanda kimoja.
Chanzo: Nipashe
View attachment 1916490
View attachment 1916492
Ndege wananunua ni bata mizinga wasioweza hata kutaga licha ya kupaa.Ilisikika Sauti ya mwanaume mmoja pale Dodoma akijinasibu eti 'serikali imeanza kufanya malipo ya ndege mpya Tano, ikiwemo ya mizigo na nyingine za abiria"
Mkuu, Sky Eclat , hayo ndiyo matumizi ya Kodi ya jasho lako!
Ni matatizo madogo eti? Acha ujinga wewe lipa tozo serikali ikomeshe huo umaskini.Ukiona Rais wetu anavyozunguka na Airbus, unaweza kudhani Tanzania haina matatizo madogo kama hayo.
Basi Hamna namna, acha watoto wasomee chini ya miti, akina Mama wajifungue kwa zamu kitanda kimoja zahanat nzima, Tozo ziendelee, na midege inunuliwe ya kutosha!Ndege wananunua ni bata mizinga wasioweza hata kutaga licha ya kupaa.
Kuna mikoa na mikoa. Kuna sehemu za mikoa ya Kigoma, Tabora, Rukwa na Katavi. Kama umezaliwa na kukulia huku DAR, Moro, Kili na Arusha huwezi kuamini kwamba Ni Tanzania.Nchi yetu hali ngumu sana ya uchumi ila watu wanavyotafuna hela kama hawana akili vizuri
Pesa ya kujenga mataa na uwanja wa ndege wa Chato zingeweza kujenga vituo vingi tu vya afya.Basi Hamna namna, acha watoto wasomee chini ya miti, akina Mama wajifungue kwa zamu kitanda kimoja zahanat nzima, Tozo ziendelee, na midege inunuliwe ya kutosha!
Ndege hoyeee!!
Ilisikika Sauti ya kiongozi mmoja aliyependa ndege kuliko chochote!
Viongozi wetu wanaturudisha nyuma sana kwenye maendeleo pesa hazitumiki ipasavyo.Kuna mikoa na mikoa. Kuna sehemu za mikoa ya Kigoma, Tabora, Rukwa na Katavi. Kama umezaliwa na kukulia huku DAR, Moro, Kili na Arusha huwezi kuamini kwamba Ni Tanzania.
Nilifika sehemu kule Rukwa nyumba haina hata kibatari. Lkn stoo kumejaa mahindi na kila sampuli ya maharage.
Viongozi wetu wanaturudisha nyuma sana kwenye maendeleo pesa hazitumiki ipasavyo.
Ujinga wa mwafrika yule Bwana alijaza chumba manoti yetu akidhani ataishi milele kafa kayaacha kaondoka bila hata kumi.Wamegundua watanzania wanachohitaji ni maendeleo ya kuona kwa macho tu: mabarabara, madaraja, maflyover, reli, meli, madege, majengo, n.k. Pesa/gharama zinazotumika ni siri yao. Wananchi hawana shida na hilo; wanajua hela yao inatumika vyema!