Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anadhani watu hawana sababu ya kupenda toyota na kutopenda aina myingineWengi wanaonunua na BMW baada ya muda wanayapaki juu ya mawe
Wengi wanaonunua na BMW baada ya muda wanayapaki juu ya mawe
Sijajua ulipo lakini kama upo sehemu yenye joto ile gari inasumbua sana ACNaipenda Sana Volkswagen tuareg!
Sio kweli. Labda mmiliki hana hela au hana mafundi wazuri. Unataka kusema hizi Touareg zinazotembea hazina AC?Sijajua ulipo lakini kama upo sehemu yenye joto ile gari inasumbua sana AC
Ingekuwa hivyo tusingeona BMW namba A,B,CWengi wanaonunua na BMW baada ya muda wanayapaki juu ya mawe
sina mkuu hiyo gari, me nmesema naipenda sana dream carSijajua ulipo lakini kama upo sehemu yenye joto ile gari inasumbua sana AC
Mkuu naongea nikiwa najua ninachosema.......magari mengi yanayotoka Europe yanatengenezwa kwa market ya Europe.....taking into consideration hali ya hewa.....AC nyingi za BMW, VW zinafanya vizuri pale hali ya mazingira inapokuwa ya baridi.....lakini kwa hali ya mazingira yenye joto hazina capacity ya ku cool gari compared na gari zilizotengenezwa kwa market za AsiaSio kweli. Labda mmiliki hana hela au hana mafundi wazuri. Unataka kusema hizi Touareg zinazotembea hazina AC?
miaka ya tisini mwishon nimeendesh baiskel y avon..Kulikuwa na baiskel aina hiyo miaka ya 70s
Wewe unafikiri naongea nisichokijua? Nimetumia hayo magari nje na Tz natumia. Kwanza Toyota nyingi ni used from Japan maanake ni soko la Jp na hizi VW,Audi nyingi uzionazo Tz zinatoka Japan Kwa soko la JapanMkuu naongea nikiwa najua ninachosema.......magari mengi yanayotoka Europe yanatengenezwa kwa market ya Europe.....taking into consideration hali ya hewa.....AC nyingi za BMW, VW zinafanya vizuri pale hali ya mazingira inapokuwa ya baridi.....lakini kwa hali ya mazingira yenye joto hazina capacity ya ku cool gari compared na gari zilizotengenezwa kwa market za Asia
sasa unabisha nin ng'ombe wewe 🙂......Wewe unafikiri naongea nisichokijua? Nimetumia hayo magari nje na Tz natumia