RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Naona ushashindwa hoja. Siku ingine usilete Stori za vijiwenisasa unabisha nin ng'ombe wewe 🙂......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ushashindwa hoja. Siku ingine usilete Stori za vijiwenisasa unabisha nin ng'ombe wewe 🙂......
Wenzenu Mikoko yetu ni Phoenix, Avon, Swala, Rajja, Simhwa, Gazebo na Peugot. Hahahahaaaa wahenga mmenipatamiaka ya tisini mwishon nimeendesh baiskel y avon..
hata waliozaliwa miaka ya 2000s wamezikutaKulikuwa na baiskel aina hiyo miaka ya 70s
Wengi wanaonunua na BMW baada ya muda wanayapaki juu ya mawe
Gari yoyote ni matunzo tu kuna toyota namba D ukiziona hata hazitamamniki, na kuna bmw namba A ,B bdo mma kbs.Naona ushashindwa hoja. Siku ingine usilete Stori za vijiweni
Tangu nianze kununua magari, mpaka sasa nimeshanunua magari saba. But none of those was from Toyota! Mimi ni anti Toyota...
Ingekuwa hivyo tusingeona BMW namba A,B,C
sasa unabisha nin ng'ombe wewe 🙂......
GazelleWenzenu Mikoko yetu ni Phoenix, Avon, Swala, Rajja, Simhwa, Gazebo na Peugot. Hahahahaaaa wahenga mmenipata
NISSAN XTRAIL NEW MODEL VERY SOON
mifumo yake ya umeme migumu.Kama una zaidi ya miaka 50 chagua RAV4NISSAN XTRAIL NEW MODEL VERY SOON
Hoja haitetewi kwa kusema umeshatumia magari nje na ndani ya nchi......unaweza kuwa umetumia nje lakini Europe ama Tanzania lakini Iringa.....angalia hata kwenye forums za VW tourage utaona ninachosema.......Naona ushashindwa hoja. Siku ingine usilete Stori za vijiweni
There is no value for money kwenye RAV 4 its too expensive wakati kuna magari ambayo yako sawa nayo ama probably capacity inazidi.......angalia Subaru Forester ya 2008 ama 2009 vs RAV 4 ya the same year utaonaa huge difference kwenye beimifumo yake ya umeme migumu.Kama una zaidi ya miaka 50 chagua RAV4
Mkuu umenikumbusha old daysWenzenu Mikoko yetu ni Phoenix, Avon, Swala, Rajja, Simhwa, Gazebo na Peugot. Hahahahaaaa wahenga mmenipata
Anadhani watu hawana sababu ya kupenda toyota na kutopenda aina myingineWengi wanaonunua na BMW baada ya muda wanayapaki juu ya mawe
Haya unayoongelea mkuuIssue kubwa Ni upatikanaji wa mafundi na spare . Toyota kila Kona ya nchi mafundi na spare ziko kibao na Bei za matengenezo ndogo.Nunua Benz,BMW ,RangeLover nk uone mziki wake siku likileta tatizo mafundi taabu kuwapata spare taabu na gharama za kutengeneza za kufa mtu
Sawa "Anti" Toyo.Tangu nianze kununua magari, mpaka sasa nimeshanunua magari saba. But none of those was from Toyota! Mimi ni anti Toyota...