Kaswende na Gono noma

Tajeni dawa basi ambazo mtu akishapata hiyo makitu atumie kwa faida ya wote.
Mzee kitu ukiona tayari, wahi hospital usichelewe mto daktari hata mawe akutibu. Maana siku hizi wanakomaa uende na alie kupa gonjwa, sasa na wewe unakuta alie kupa mlimalizana nae usiku huna namba hujui anapo ishi. Ingawa Azuma inatibu pia kama ni gono junior ila kama gono senior lazima hadi masindano yahusike na drip ikiwezekanaa..
 
Usisahau kuwa kuna homa ya ini haionekani kwa macho pia Ata kwa mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…