National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mzee kitu ukiona tayari, wahi hospital usichelewe mto daktari hata mawe akutibu. Maana siku hizi wanakomaa uende na alie kupa gonjwa, sasa na wewe unakuta alie kupa mlimalizana nae usiku huna namba hujui anapo ishi. Ingawa Azuma inatibu pia kama ni gono junior ila kama gono senior lazima hadi masindano yahusike na drip ikiwezekanaa..Tajeni dawa basi ambazo mtu akishapata hiyo makitu atumie kwa faida ya wote.
NakaziaShida ya hayo magonjwa, unaonekana mchafu katika upigaji wake, magonjwa ya aibu kabisa, ila ni kwamba hayaonekani kwa watoto wa kike haraka, unaweza kula pisi kali baraa ila kumbe tayari anayo.. Hata hospital utataka utibiwe kimagendo magendo kama una mwenza asijue taabu sana
Usisahau kuwa kuna homa ya ini haionekani kwa macho pia Ata kwa mwanaumeShida ya hayo magonjwa, unaonekana mchafu katika upigaji wake, magonjwa ya aibu kabisa, ila ni kwamba hayaonekani kwa watoto wa kike haraka, unaweza kula pisi kali baraa ila kumbe tayari anayo.. Hata hospital utataka utibiwe kimagendo magendo kama una mwenza asijue taabu sana
Inasadikika wasambazaji wakubwa ni mama lishe wa magengeni na wasaidizi waoMzuka Wanajamvi!
Nadhani Ngoma Cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu.
Tujiepusheni na ngono zembe!
Mwanaume ukipiga usiku asubuhi tayari utapata majibu mzee. Ila mwanamke anaweza kaa nayo hadi anakufa bila kujua, labda kipindi cha ujauzito ndio huwa inaweza leta shida kwa kichaga kikazaliwa hata kipofu
Mzee, ni bora kukaa na manzi yako mmoja, hata gonjwa likiibuka unajua wa kula nae sahani moja.Usisahau kuwa kuna homa ya ini haionekani kwa macho pia Ata kwa mwanaume
Shida ni pale huyo mmoja anapo kuwa sio mwaminifuMzee, ni bora kukaa na manzi yako mmoja, hata gonjwa likiibuka unajua wa kula nae sahani moja.
Vitoto vya chuo kibao vina gono. Na hawa slay queenInasadikika wasambazaji wakubwa ni mama lishe wa magengeni na wasaidizi wao
Dawa ipoMwanaume ukipiga usiku asubuhi tayari utapata majibu mzee. Ila mwanamke anaweza kaa nayo hadi anakufa bila kujua, labda kipindi cha ujauzito ndio huwa inaweza leta shida kwa kichaga kikazaliwa hata kipofu
Vipo kazini kukinukishaVitoto vya chuo kibao vina gono. Na hawa slay queen
Ni bora uwe na mmoja asie mwaminifu utajua chanzo cha tatizo kuliko wengi wasio waaminifu. Ikitokea umepata gono kwakua una uhakika una tomba sehemu moja una mkokota tu hadi hospital, ila kama una wengi kipengele cha kujua umetolea wapiShida ni pale huyo mmoja anapo kuwa sio mwaminifu
Dawa zipo, ila hata ukienda nunua unajishtukia 😂😂
Sasa hivi sitii mtu, nimekaa bench kitambo sana.. Kama kutia nitatia mama mtu mzima, anae ogopa kufa ila hivi vibinti havina hofu ya kufa, na kwanza vinataka kufa na wengiVipo kazini kukinukisha
Mbaya zaidi watu wakijua umeisha [emoji23]Dawa zipo, ila hata ukienda nunua unajishtukia [emoji23][emoji23]
Bora wajue watu, akijua mpenzi wako utaficha wapi sura yako 🤠🤠 atakuacha tu
Wakijua watu na mpenzi wako amejuaBora wajue watu, akijua mpenzi wako utaficha wapi sura yako [emoji1783][emoji1783] atakuacha tu