Hata Staphylococci pia wnweza kuwasababishia UTI hasa wadada wanaoosha tupu zao kwa sabuni zenye kemikali ili ukondoa harufu ukeni hali inayopelekea kuua bacteria walinzi(Normal flora) hivo hupatwa na hilo jambo kila wakati wadada acheni Douch...mtapata kansa.Ila wadada wengi wanaumwa chlamydia wanasema UTI sugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] UTI haiambukizwi kwa njia ya sex jamani. Ecoli bacteria can not live in vigina ni urinary track.
Madr wote wanaojielewa wanajua hii kuwa mtu anaumwa ugonjwa wa zinaa wanamwambia UTI sugu
Hatari sanaGono sio ugonjwa mzuri nimewahi pata zaidi ya mara moja na sasa nipo aware sana..Dawa yake ni sindano pamoja na vidonge.Dosage yake ipo hivi
Powercef(Ceftriaxone)au Cefotoxine injection+,Flagil(metronidazole)+Doxy
Matumizi yake...Anza kuchoma sindano wakati unatumia Metro then baada ya sindano kumaliza tumia doxy
NB: #Zipo aina nyingi za kupanga hiyo dose kadir daktar atakavoshauri.
#Usiache kumaliza dose mfano Doxy hata kama utaona umepona maana Gonorhea inaambatana na Chlamydia ambapo hawa bacteria huwa hawafi kwa hiyo sindano ila Doxy
#Usiache kutmia flagyl kwakuwa Gono linawezaingia na ndugu yake anaeitwa Trichomonas vaginalis.
#Tumia dose na mwenza wako hata kama uliupata sehemu nyingine na ulishare nae before dalili hazijaanza maana utakuwa umemwachia so kutibiwa kwa siri haitasaidia maana utalichukua tena kwa mkeo.
Anapangusa mb@@ huyo
Nyuzi kama hizi ndiyo mahali pakoSasa hivi sitii mtu, nimekaa bench kitambo sana.. Kama kutia nitatia mama mtu mzima, anae ogopa kufa ila hivi vibinti havina hofu ya kufa, na kwanza vinataka kufa na wengi
Kila nyuzi inanifaa, kila nyuzi naweza changia.. Akili kubwa hii. Sio akili kisoda.. Huwezi nielewa hata siku moja kupitia jfNyuzi kama hizi ndiyo mahali pako
[emoji16][emoji16]kuishi nae namaanisha kuendelea kuwa nae kimahusiano(slang za mtaani).. Kupona bado anatumia madawa Hadi anachoka sema nampa moyo kiaina asichoke japo tushaachanaKwan alikuwa hana pa kuishi mpaka uishi nae?alipona
Pamoja sanaKila nyuzi inanifaa, kila nyuzi naweza changia.. Akili kubwa hii. Sio akili kisoda.. Huwezi nielewa hata siku moja kupitia jf
Sio rahisi kujua dalili za moja kwa moja za gono kwa mwanamke labda aseme mwenyewe how she feels or see...lakini kwamwamke dalili hizi ni miongoni mwa dalili za magonjwa ya zinaaMbona hamtuambii dalili za gono kwa wanawake ili tuwe aware nao..
Mkaldayo unafakamia mamama ya kitasha ambayo yameshaungua bablai?Mzuka Wanajamvi!
Nadhani Ngoma cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu.
Tujiepusheni na ngono zembe!
My wenu, maana huyo jamaa nawajua mamanzi wake wengine na wewe pia ni manzi wangu ila tu hapa JF hunijui.Duh! Ngoja niendelee kumkumbatia my wangu
Kumbe hii kitu ina chanjo piaNdio mana mimi bila ndomu sipigi demu..mana inawezskana ukacheki ukimwi yuko poa..ila hbv anazo na hepatitis anayo..balaa hepatitis mana hilo ni kujiandaa kufa tu.
Wajuba chomeni chanjo ya hepatitis b mtakuja kunishukuru badae.
#MaendeleoHayanaChama
HahahahahaKumbe hii kitu ina chanjo pia
Kwa sababu naila kila sikuKwanin umeichoka
Kwani ni mashindano kula mbususu wakuu?Sio kama mafua,yaan hata wao wanaamin ni magonjwa hatar,ila wanaamin kama hujawah kuyaugua ina maana wewe ni mwoga sana na mbususu hujazila vya kutosha
Kuna baadhi wanaona ni sifa,kama una miaka 40 na hujala mbususu zaidi ya 40 huo ni uzembe wa hali ya juu mnoKwani ni mashindano kula mbususu wakuu?
Yaah..chanjo ya hepatitis b ipo..ni dose tatu tu unachoma bega la kushoto.Kumbe hii kitu ina chanjo pia