Kaswende na Gono noma

Kaswende na Gono noma

Ila wadada wengi wanaumwa chlamydia wanasema UTI sugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] UTI haiambukizwi kwa njia ya sex jamani. Ecoli bacteria can not live in vigina ni urinary track.

Madr wote wanaojielewa wanajua hii kuwa mtu anaumwa ugonjwa wa zinaa wanamwambia UTI sugu
Hata Staphylococci pia wnweza kuwasababishia UTI hasa wadada wanaoosha tupu zao kwa sabuni zenye kemikali ili ukondoa harufu ukeni hali inayopelekea kuua bacteria walinzi(Normal flora) hivo hupatwa na hilo jambo kila wakati wadada acheni Douch...mtapata kansa.
 
Gono sio ugonjwa mzuri nimewahi pata zaidi ya mara moja na sasa nipo aware sana..Dawa yake ni sindano pamoja na vidonge.Dosage yake ipo hivi
Powercef(Ceftriaxone)au Cefotoxine injection+,Flagil(metronidazole)+Doxy
Matumizi yake...Anza kuchoma sindano wakati unatumia Metro then baada ya sindano kumaliza tumia doxy
NB: #Zipo aina nyingi za kupanga hiyo dose kadir daktar atakavoshauri.
#Usiache kumaliza dose mfano Doxy hata kama utaona umepona maana Gonorhea inaambatana na Chlamydia ambapo hawa bacteria huwa hawafi kwa hiyo sindano ila Doxy
#Usiache kutmia flagyl kwakuwa Gono linawezaingia na ndugu yake anaeitwa Trichomonas vaginalis.
#Tumia dose na mwenza wako hata kama uliupata sehemu nyingine na ulishare nae before dalili hazijaanza maana utakuwa umemwachia so kutibiwa kwa siri haitasaidia maana utalichukua tena kwa mkeo.
Hatari sana
 
Sasa hivi sitii mtu, nimekaa bench kitambo sana.. Kama kutia nitatia mama mtu mzima, anae ogopa kufa ila hivi vibinti havina hofu ya kufa, na kwanza vinataka kufa na wengi
Nyuzi kama hizi ndiyo mahali pako
 
Mbona hamtuambii dalili za gono kwa wanawake ili tuwe aware nao..
Sio rahisi kujua dalili za moja kwa moja za gono kwa mwanamke labda aseme mwenyewe how she feels or see...lakini kwamwamke dalili hizi ni miongoni mwa dalili za magonjwa ya zinaa
1.Kutokwa na uchafu mweupe(Candinda or fungus?) au wa njano wenye hafuru kama ya shombo ya samaki ile kali...kiasi cha kuchafua hadi chupi.
2.Kuwashwa sehemu za siri hasa kwa ndani na kupoteza utulivu kabisa.
3.Kupata maumivu chini ya kitovu/wakati wa kusex au kutokwa damu muda mfupi baada ya sex au wakati wa sex.
4.Kupata Pelvic pain(Maumivu ya nyonga) hasa kwa mabinti ambao bado hawajawahi kuzaa.
Na nyinginezo watajazia ila kuu ndo hizo...Lakini kumtambua huwezi hadi ukuvulie au akwambie mwenyewe
 
Ndio mana mimi bila ndomu sipigi demu..mana inawezskana ukacheki ukimwi yuko poa..ila hbv anazo na hepatitis anayo..balaa hepatitis mana hilo ni kujiandaa kufa tu.

Wajuba chomeni chanjo ya hepatitis b mtakuja kunishukuru badae.

#MaendeleoHayanaChama
Kumbe hii kitu ina chanjo pia
 
Sio kama mafua,yaan hata wao wanaamin ni magonjwa hatar,ila wanaamin kama hujawah kuyaugua ina maana wewe ni mwoga sana na mbususu hujazila vya kutosha
Kwani ni mashindano kula mbususu wakuu?
 
Back
Top Bottom