secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
mzabzabSoon mtakuja na K ya mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzabzabSoon mtakuja na K ya mama
Makonda alisema Mama anarogwa sanaRais wetu samia anakoelea atachanganyikiwa.
🤔🤔🤔 ivi kwan ss vijana tusitengeneze chama chetu na ss tule mema ya nch mpaka watapokuja wengne kushtuka tumetajirka hii wazo vp tuwapge wazee chn?Afrika comedy hazitokuja kuisha! Enewei kampeni zimeshaanza.
View attachment 3258529
Karibu korosho shekheKwenye kofia yupo,khanga yupo TShirt yupo bado kwenye za ndani sasa
Duh! Hii reply ni noma zaidi ya noma yenyeweSoon mtakuja na K ya mama
Nadhani yeye ndiye atakayekuwa wa kwanza kupigiwa promo nyingi kuliko waliopita... Tumuone katika kila bidhaa itapendekeza sana... Kama bidhaa za azamAfrika comedy hazitokuja kuisha! Enewei kampeni zimeshaanza.
View attachment 3258529
Mwenye kiwanda ndio kaamua, mali ni yake..Hii kitu inavuka mipaka. Hii kiroho imekaaje? Si poa kabisa
Kila kona ni mama.Karibu korosho shekhe View attachment 3260271
😂🤣🤣🤣Wameona kitumbua hakikutosha, wameamua kuja na maji ya mama sasa.
Watuletee na condom za mama
Wanamtukana Kiintelijensia.
Next Stop : zigo la Mama.
Dah nimebaki kucheka tuu kmmk