Kata kiu na Maji ya Mama

Kata kiu na Maji ya Mama

Trump azuie misaada kuja kwetu.
We have the ability to live without their aid because we possess valuable resources. The real challenge lies in transforming those resources into meaningful and beneficial products. However, they won’t allow this to happen. They prevent us from utilizing our raw materials to create valuable products, as they rely on us as a marketplace for their finished goods made from our own resources.
 
Screenshot_20250305-135905.png
 
We have the ability to live without their aid because we possess valuable resources. The real challenge lies in transforming those resources into meaningful and beneficial products. However, they won’t allow this to happen. They prevent us from utilizing our raw materials to create valuable products, as they rely on us as a marketplace for their finished goods made from our own resources.
Nyoo
 
MKURUGENZI WA MANISPAA YA MOSHI KINARA WA MAKUNDI YA KISIASA MOSHI MJINI
Kama tunavyotambua kuwa watumishi wa UMMA hawapaswi kwa namna yoyote ile kujihusisha na siasa hasa zenye malengo ya kuigawa jamii wanayoiongoza ( rejea kanuni za maadili za viongozi wa UMMA)
Ndugu wana Moshi Mtakumbuka kulikuwa na maswali mengi juu ya uwepo wa Group la Whatsapp la Moshi ya Moto ambalo limekuwa na kazi kubwa ya kutukana na kudhalilisha viongozi na watu mbalimbali kupitia maneno, picha na sauti.

Swali lilikuwa je nani anawapa kiburi vijana hawa, nani yuko nyuma yao ambaye anawafanya kujiona wao ni bora kuliko vijana wote wa Moshi?

Katika kutafuta ukweli wa mambo hayo, uchunguzi ulianza kufanyika kuanzia August 2024 hadi feb 24 2025 ambapo pasipo na shaka majibu ya uhakika na kweli yamepatikana ambayo niko tayari kutoa ushahidi kwa mamlaka yeyote juu ya ukweli wa mambo haya ya hovyo ambayo yanaendelea kwenye mji wetu.

Vijana hawa Idirisa Makishe mwenye namba 3 kwenye group na Iddi Chaku mwenye namba 3 kwenye group la moshi ya moto, wanasimamiwa na Priscus Tarimo Mbunge wa jimbo la Moshi Mjini na Mwajuma Nasombe Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi ambao mbali na kuendesha genge la matusi kupitia hawa vijana wamekuwa ni watoa maelekezo na ushauri juu ya namna ya uendeshaji wa program yao ( rejea kielelezo na. 011.

Watu hawa wamefika mbali hadi kuanzisha group la siri ambalo ndio hutumika kujadili na kupanga mipango yao hatarishi huku wakijadili mambo mazito ambayo ukichunguza ndani yake yana sifa za uharifu (ujinai) ( rejea kielelezo 012)

Japo ni haki kwa kila mtu kuwa na group la whatsapp lakini muungano wa Mbunge, Makishe, Chaku, Mwajuma katika group moja na kujadili na kupanga mambo ya kisiasa, kampeni chafu na kutoa maelekezo ni kosa kubwa sana la kimaadili kwa wao ambao ni viongozi wa Umma.

Sote tunatambua wakurugenzi ni watendaji wa kuu kwenye uchaguzi mkuu, vitendo vinavyofanywa na Mkurugenzi kwa kuunda makundi na kushiriki kuhujumu watia nia na kuwagawa wanachama kupitia group la Moshi ya Moto vinaichafua serikali na kuondoa imani kwa wananchi juu ya upatikanaji wa haki katika uchaguzi huu.

Watu wengi wanajiuliza kwa nini kumekuwa na malalamiko mengi juu ya Mkurugenzi huyu kwenye masuala ya kisiasa na upendeleo kwa baadhi ya vijana? Ukichunguza kwa kina utagundua uwepo wa vijana hawa na group lao la Moshi ya Moto ni kinga kwake na baadhi ya watendaji wachache wazembe. Imeshakuwa kawaida kwa mtu yeyote atakaye thubutu kuhoji jambo lolote linalohusu halmashauri mfano Uchafu wa mji, ujenzi usiofata mpango miji, rushwa, matumizi na ugawaji wa maeneo ya wazi, mikopo ya 10%nk wamekuwa wakishambuliwa, kudhalilishwa kwa matusi na maneno makali ikiwa ni mbinu ya kuwanyamazisha wasihoji.

Vijana hawa wamekuwa wakimtukana na Kumdhalilisha Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Mhe. Zuberi Kidumo na viongozi wengine akiwemo Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Moshi mjini kwa nyakati tofauti hali inayozidi kushangaza watu kuona Mkurugenzi ambaye ni katibu wa Meya kwenye baraza anakuwa na vijana ambao wana mdhalilisha Mwenyekiti wake huku wakimshangaa Mhe. Mbunge kwa kufadhili group ambalo lina mtukana mwenyekiti wake wa CCM wilaya mzee FARAJI SWAI.

Kwa namna yoyote ile wanamoshi kwa ujumla hatuko tayari kuona watumishi wa UMMA wakiunda makundi na kuwagawa wana Moshi kwa misingi ya kisiasa ,kidini au kiukabila..
Tunatoa rai kwa Viongozi wa Umma kuzingatia sheria na kanuni za utumishi na kujiepusha na kuingilia siasa.

Tunaomba mamlaka zifanyie kazi taarifa hii na kuchukua hatua za haraka ili kurejesha imani kwa wananchi iliyopotea kutokana na watendaji wasio waadilifu.
Chama cha Mapinduzi kinapaswa kumuita Mbunge na kumuonya juu ya ufadhili wake wa viongozi wa moshi ya moto na kumwagiza kuwaelekeza vijana wake kuacha mara moja tabia ya kumtukana mwenyekiti wa CCM Wilaya ya moshi mjini.

Tunaomba ofisi ya RCO kuchunguza kwa kina juu ya group hili la siri kwani miongoni mwa mazungumzo. yanahusiana na matukio kwani ukisoma kwa kina utagundua kuna siri inaificha.

Mwisho tuna Muomba Mkurugenzi Mwajuma ikiwa anataka kugombea Ubunge wa Moshi mjini ajiuzuru nafasi yake ili afanye siasa..maana hiki anachofanya ni kuidhalilisha mamlaka iliyomteua.
 

Attachments

  • IMG-20250305-WA0065.jpg
    IMG-20250305-WA0065.jpg
    63.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom