Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Acha wajenge mkuu mbona mbeya kila kona kanisa hata la makuti.
Viwanda kafadhili wewe ukipenda
 
Dini hata wewe kuandamana kisa siasi ni upumbavu ...Kunufaisha wajinga wachache wajenge mahekalu.

Halafu wewe njaa kali.
Sijawahi kuwa muumini wa kuamini wanaharakati wa mitandaoni hususani wanaohamasisha maandamano. Huwa najitahidi kadiri iwezekanavyo kujiweka mbali na upumbavu wa namna yeyote ile
 
Ni wapuuzi, wanadhani ipo siku wataisilimisha tanzania. Wamekazana kujenga misikiti mpaka porini kando ya barabara kuu. Hiyo misikiti itafika wakati itakosa wa kuswali na kugeuka kuwa makazi ya popo na wadudu wengine
 
Sijawahi kuwa muumini wa kuamini wanaharakati wa mitandaoni hususani wanaohamasisha maandamano. Huwa najitahidi kadiri iwezekanavyo kujiweka mbali na upumbavu wa namna yeyote ile

Soma hapo china , serikali ndio wapo mstari wa mbele ,usiwe kolo kaa chini usome serikali zote duniani zipo kipaumbele kweny maendeleo ya viwanda kuunga mkono mapinduzi ya viwanda....Hakuna mtu anajenga viwanda kwenu umeme wa kukonyeza ni hasara
.

Kaanza na serikali yako kama unatumia akili
.
Screenshot_20240123-110900.png
 
Waarabu wa mikindani leo watakufunza jambo ngoja wafike ....... huwezi gusa server zao wakuache
 
Soma hapo china , serikali ndio wapo mstari wa mbele ,usiwe kolo kaa chini usome serikali zote duniani zipo kipaumbele kweny maendeleo ya viwanda kuunga mkono mapinduzi ya viwanda....Hakuna mtu anajenga viwanda kwenu umeme wa kukonyeza ni hasara
.

Kaanza na serikali yako kama unatumia akili
.
View attachment 2880301
anyway, sielewi hata unazungumzia nini tena.
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
The same kwa makanisa

We have become a good shamba pa kuvuna utii wa kusadiki na sio maisha yenye ustawi
 
Misikiti kama yote halafu hamna hata chanzo kimoja cha mandeleo au kuwatoa katika umaskini halafu dini nyingine wakijenga utasikia ooh wanapendelewa ilhali mnazingua wenyewe
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Boko haram.
 
Nikusahihishe. Kiwanda siyo kazi ya wafadhili. Ni matokeo ya ukuaji wa uchumi (internal economic growth). Hayo ya kuja kujengewa na wafadhili ni kama yale mliyojengewa na wafadhili miaka ya 70 leo yako wapi? yote yamekufa. Watanzania tuache kutamani uchumi feki, uchumi halisi ni ule wa kwako halisi. Hata katika level ya familia kuna tatizo kubwa snaa tunaishi uchumi wa kuigiza mwishowe tunakufa na madeni
 
Hakuna sehemu waaarabu wanaibiwa na waswahili matapeli waislamu kama kwenye ujenzi wa misikiti

Mwarabu tajiri yeyote ukisema unaomba Hela ya ujenzi wa msikiti au madrasa anakuona wewe ndie mwislamu Bora mno anatoa Pesa chapchap

Waswahili wanswapiga kwenye kuanzia gharama za ununuzi wa kiwanja Hadi ujenzi.Msikiti utajengwa ila hizo gharama zake utakaa Chini.Na Kwa kuwa waarabu Wana Pesa nyingi wanachojali madrasa au msikiti umejengwa basi
Hili hoja kama Ina ukweli wake...waswahili bwana..sio mbaya unakula unapofanyia kazi
 
Nikusahihishe. Kiwanda siyo kazi ya wafadhili. Ni matokeo ya ukuaji wa uchumi (internal economic growth). Hayo ya kuja kujengewa na wafadhili ni kama yale mliyojengewa na wafadhili miaka ya 70 leo yako wapi? yote yamekufa. Watanzania tuache kutamani uchumi feki, uchumi halisi ni ule wa kwako halisi. Hata katika level ya familia kuna tatizo kubwa snaa tunaishi uchumi wa kuigiza mwishowe tunakufa na madeni
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
ndo manake JWTZ limemwambia mama SAMIA kwamba kuna viashiria vya ugaidi!!
 
Sasa hapa utajua kwamba hakuna mtu anachangishwa wanatoa wao ...Kujenga msikitini kwa kujitolea ni jihad ... Waislamu hawawezi kukusanya pesa kutoka kwa maskini wajenge bali kuna ufadhili...Hao wanaojenga msikitini ni kama nyumba yaani hamna utaalamu zaidi ya waumini kwenda kufanya ibada.

Ndoto ya viwanda sio rahisi kama mtoa mada anavyodai ni mawazo ya kushindwa ...Kama viwanda tungeanza kuwalaumu wasomi wale wa elimu ya mzungu wameganda huko serikalin hawana cha maana...

Kujenga kiwanda sio rahisi ,Dangote kajenga kiwanda sio rahisi kama wanavyodhani kama Nyerere aliua viwanda kwa ujinga wake wa elimu ya mchongo .
Nyerere aliuwa viwanda gani?
Una umri gani?
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Tambani sio Mbagala, Tambani ni sehemu ya wilaya ya Mkuranga. Mbagala inaishia Charambe. Chamazi wala Mbande sio Mbagala pia, ila ni sehemu ya wilaya ya Temeke.
 
Back
Top Bottom