Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Mwarabu ni Mkoloni wa hovyo sana
 
Mi huwa
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Najiuliza hiv kwanini hawaend kujenga maeneo yenye uhitaji wa misikiti? Kama kule kwetu kuna waislam mmoja mmoja ila wanapata shida sana. Tuliwah kumsaidia mzee mmoja kumjengea
 
Akili za watanzania wanajua kiwanda unajenga tu ... Operating costs , soko , utaalamu ...Kiwanda sio rahisi misikiti ni simple tu unajenga....Kiwanda narudia sio rahisi pia location za kimazingira angalia Mbagala ....Kama viwanda vya pwani huyo Nyerere aliviuwa kule Tanga mkae kwa kutulia .

Huko kwenu mbona hakuna viwanda zaidi ni mkoa wa pwani ndio una viwanda vingi....Kama shule zipo kibao maana shule moja inachukua wanafunzi wengi huwez kujenga kila kona shule.
Mtoa mada ana hoja ila kakurupuka sana
Anadhani hela iliojenga misikiti 36 tuseme 50 inaweza ikajenga kiwanda kimoja
Yaani kujenga kiwanda sio jambo rahisi
Pia huko tambani kuna taabu ya maji sana tu ila bado anabeza ujengwaji wa visima
Pia mfadhili anafadhili eidha kinachomfaa ama anachoona anakiweza
Ilitakiwa kwanza aihoji sirikali yake kabla ya kuwahoji wafadhili
 
Hakuna sehemu waaarabu wanaibiwa na waswahili matapeli waislamu kama kwenye ujenzi wa misikiti

Mwarabu tajiri yeyote ukisema unaomba Hela ya ujenzi wa msikiti au madrasa anakuona wewe ndie mwislamu Bora mno anatoa Pesa chapchap

Waswahili wanswapiga kwenye kuanzia gharama za ununuzi wa kiwanja Hadi ujenzi.Msikiti utajengwa ila hizo gharama zake utakaa Chini.Na Kwa kuwa waarabu Wana Pesa nyingi wanachojali madrasa au msikiti umejengwa basi
Suala la kupigwa sio kosa lao nikosa la mpigaji
Pia kwenye hii dunia ukiwa unamtuma mtu yaani ujue tu suala la kupigwa haliepukiki yaani sio tu mskiti hata makanisa watu wanapigwa hata majumba yakukaa watu wanapigwa maguest ma bar wanapigwa
Wanapigwa sirikali wanaosema wana mkono mrefu itakua muarabu mmoja tu ambae kashiba zake tende ndio asipigwe?
 
Hiyo ni jamii ya kiislamu. Hitaji lao ni ahera (kama ipo anyway). Elimu dunia is not a priority to them. Pwani yote priority ni madrasa n misikiti. Tuwaache wapiganie ahera ambayo hawana uhakika usiokuwa na mashaka kama ipo! (mnisamehe najua mtanirukia.
Hakuna muislam ama muumin mwenye shaka na akhera
Na akhera ipo bila yashaka yeyote ile yaani
Ila tu ukweli ni kwamba hizo huduma tajwa hapo mnatakiwa ama tunatakiwa tujengewe na sirikali mtu binafsi akijenga ama asijenge iwe sio tatizo ama sio ishu yeyote
Mfadhili unampangiaje cha kujenga?
 
Ww uliosoma una nini...vijana kibao wana degree tena za ualimu na zingenezo wako mtaani wanaendesha bodaboda tu...
Hiyo siyo hoja ya kujenga misikiti kila kona ya barabara na kijiji/mtaa
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Duuh
Msikiti 36 kwenye Kata moja?!!
Wasije tu wakaanzisha Afghanistan mpya hapo
 
Mi huwa

Najiuliza hiv kwanini hawaend kujenga maeneo yenye uhitaji wa misikiti? Kama kule kwetu kuna waislam mmoja mmoja ila wanapata shida sana. Tuliwah kumsaidia mzee mmoja kumjengea
Hakuna sehem ambayo haihitajii mskiti maadam tu kuna waswaliji wakuisalia
Jiulize tu hio miskiti ya tambani haisaliwi?
 
Evidence? Give tangible evidence not revelations
Kwanza ungetoa evidence ya kua una akili halaf tukupe evidence
Hio akili usiichukulie vibaya nithibitishie tu kama una akili halaf tuendelee
 
Hiyo ni jamii ya kiislamu. Hitaji lao ni ahera (kama ipo anyway). Elimu dunia is not a priority to them. Pwani yote priority ni madrasa n misikiti. Tuwaache wapiganie ahera ambayo hawana uhakika usiokuwa na mashaka kama ipo! (mnisamehe najua mtanirukia.
Wazee wa bikra 72 huwa hwapoi.
 
Ni wapuuzi, wanadhani ipo siku wataisilimisha tanzania. Wamekazana kujenga misikiti mpaka porini kando ya barabara kuu. Hiyo misikiti itafika wakati itakosa wa kuswali na kugeuka kuwa makazi ya popo na wadudu wengine
Amka kijana
 
Hakuna sehem ambayo haihitajii mskiti maadam tu kuna waswaliji wakuisalia
Jiulize tu hio miskiti ya tambani haisaliwi?
Ni mingi mno hiyo misikiti 36 kwa Kata moja.
Serikali ya China wameona mbali, wao wanapunguza idadi ya misikiti..
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari

Usiwapangie watu na pesa zao, ipi bora misikiti ya Mwenyezi Mungu au kiwanda?

Aisee kuna watu mnachuki sana na uislamu, pole sana.

Na utambue jiji la Darussalaam ni jiji la Waislamu, so kama unaishi dar hama!
 
Back
Top Bottom