Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

Wanataka watu wengi wajue utamu wa mabikra 72 ile wawe tayari kwenda kwenye mikusanyiko na kupayuka ALLA AKBARU na kujilipua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]allah amewaumba mabikra pro 2024 acha misikiti na madrasa nyingi zijengwe vijana walinganiwe kisha wapelekwe msumbiji kongo na somalia tayari kwenda kwa mabikira na kwenye mito ya pombe !!
 
Na ndio maana vitabu vya dini vinatafisiriwa hadi lugha zetu za kiasili. Nimewahi kutana na biblia ya kisukuma nilishangaa aisee.

Lakini hawa jamaa kututafsiria vitabu vya ufundi, fizikia, uchumi, etc kwa lugha zetu hawataki kabisa kwa sababu tutajipata na faida yao ni sis kuendelea kulala.

Serikali sasa ifikiwe wakati iweke udhibiti kwenye misaada. Ukijenga msikiti au kanisa hapo pembeni weka na zahanati na shule, serikali italeta watumishi na kuwalipa.​
 
Serikali itoe jicho huko before it's too late!!

Kwa mwenye kuwaza beyond the box tu! Atakubaliana na Mimi ya kwamba lengo lao hasa ni kuchochea ukuaji wa dini ya kiislamu(hasa Ile ya jihad-itikadi Kali!)

Wanaelewa ukisha-mfunganisha binadamu angali mdogo na dini hasa hiyo ya itikadi Kali....

na ukamyima elimu Dunia...

Basi unaweza kumtawala kwa kupitia mafundisho ya dini!..

Wengi wa watu hawa waliofungamanishwa na dini angali wadogo... Huwa makatili sana! ( Ndio hawa tunaowaita magaidi!)

Hiyo ni njia mbadala ya kuuingiza ugaidi ambayo inaachwa tu na serikali... Bila kutupiwa jicho la kiuchunguzi!

Serikali ianze mapema uchunguzi kinachoendelea kwenye hiyo misikiti...!

Isijekuwa ni gateway tu ya kurecruit vijana kwenye magenge ya itikadi Kali(kigaidi)
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Waache baadae waje kulia lia nchi hii inamfumo kristo.
 
20231025_082432.jpg
 
sasa wewe roho inakuuma nini tukijenga misikiti? sisi ndio tumeridhika nayo wewe hayakuhusu fata yako

kwani tumekwambia tuna shida ya viwanda? au wewe umekuwa msemaji wetu?

hebu kaeni na wachungaji wenu feki wanaowapiga hela kila siku msituingile mambo yetu hayawahusu
 
Waarabu hawawezi kufadhili kitu cha maana.

Enzi tu za ukoloni hawakujenga shule hata moja.

Waarabu huwa wanajenga misikiti tu na kutoa tende na nyama ya ngamia.

Wanapenda waislamu wawe wengi duniani ili iwe rahisi kwao kutawala dunia kwa kupitia dini yao.

Pia waislamu wakiwa wengi waarabu wanapata maokoto. Maana wanajua kuna kipengele cha kwenda kuhiji makka kwenye dini yao kinawaletea mahela mengi.

Ndio maana wanajenga sana misikiti na madrassa.

pia waarabu kwa kupenda kutawala watu Ndio maana wafalme wa nchi zao wamejipa umuhimu zaidi kwa kujifanya wanatokea ukoo wa Mtume muhammad.
Haha na wakawadanganya wafuasi wao eti ikitokea bahati mbaya mtu akafia kwenye ile misongamano kule kwenye kuhiji basi moja kwa moja anaenda peponi, asee dini zote zililishwa uongo ila hawa ndugu zetu uongo wao sijui uliwekwa nini hadi wanakuwa mambumbumbu kiasi hiki ila uzuri kadiri miaka inavyozidi kuenda dini zinaanza kupoteza ushawishi, kwahiyo hata wakija kutawala watatawala kipindi ambacho dini hazitakuwa na nguvu tena kwa sababu vizazi vya sasa na vijavyo taratibu vimeanza kuzikataa hizi dini
 
sasa wewe roho inakuuma nini tukijenga misikiti? sisi ndio tumeridhika nayo wewe hayakuhusu fata yako

kwani tumekwambia tuna shida ya viwanda? au wewe umekuwa msemaji wetu?

hebu kaeni na wachungaji wenu feki wanaowapiga hela kila siku msituingile mambo yetu hayawahusu
misikiti ni sunaa shehee si ndioooo...ijengwee mingiii!
 
habari wadau.

Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.

kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,

kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini

KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?

najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?

kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.

Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.

Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.

Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Vituo vya ugaidi na biashara haramu kupitia misikiti hiyo. Code.
 
Hakuna sehem ambayo haihitajii mskiti maadam tu kuna waswaliji wakuisalia
Jiulize tu hio miskiti ya tambani haisaliwi?
Mi hoja yangu ni kuwa kama mtu anaweza kutoa msaada wa kujenga msikiti sehem ambayo mita 300 upo mwingine kwanini asiende kuwajengea watu huko mkoan watu hao hao wanasali Zaid ya kilometre 10 mpaka 20.
 
Unafikri waliotoa vibali mazumbukuku kwamba hawawez kufikiri au kuchanganua mpka kufikia uamuzi wakutoa vibali?
Binadamu kuna kupitiwa; ulimwengu wa sasa ni wa sayansi na teknolojia na si kujikita kwenye mambo ya kusadikika; kwa nini China wanavunja hayo majengo?
 
Wakafanye kazi za kiufundi, kilimo n.k ili tuweze kuuza bidhaa nje na kupata fedha za kigeni
Acheni watu wafanye ibada mzee ibada zipo dunia nzima na watu wanaendelea na kufanya kazi
Sijawahi kuona duniani ama mskiti au kanisa waumini wake wanafanya kazi 24/7
Sasa ibada ya dakika 15 kila baada ya muda fulani ndio zinazuia watu kufanya kazi
Tafteni vyengine ila ibada sio sababu
 
Mi hoja yangu ni kuwa kama mtu anaweza kutoa msaada wa kujenga msikiti sehem ambayo mita 300 upo mwingine kwanini asiende kuwajengea watu huko mkoan watu hao hao wanasali Zaid ya kilometre 10 mpaka 20.
Sasa unajuaje kama huyo mtu anajua kuhusu hio shida wanayopitia hao watu huko walipo?
Huja yako nimeielewa na ina mashiko pia
 
Binadamu kuna kupitiwa; ulimwengu wa sasa ni wa sayansi na teknolojia na si kujikita kwenye mambo ya kusadikika; kwa nini China wanavunja hayo majengo?
Wana chuki tu kama india wamevunja mskiti wamejenga jengo la kuabudia wahindu
Sasa unauliza hoja kuabudu ama hoja kuabudu waislam?
 
Back
Top Bottom