Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

Wana chuki tu kama india wamevunja mskiti wamejenga jengo la kuabudia wahindu
Sasa unauliza hoja kuabudu ama hoja kuabudu waislam?
Kila kitu kiwe kwa kiasi, kama walikuwa wanataka kuwasaidia, basi wajitolee ata kuwajengea nyumba za maana
 
sie tuitwae na kuigeuza maghala ya kuhifadhia mazao ya mashambani, nani ataenda kuswali huko? Kuna siku inakuja hiyo misikiti itabaki magofu hakutakuwa na wa kusali watu wamebadilika hawataki tena imani za kimagumashi haziwapi chakula
Kuna misikiti Mingi barabara ya kuanzia Chalinze Hadi Morogoro imeota Hadi majani na vichaka wanaishi nyoka na panya Haina waumini watu walikula pesa za wafadhili wakaijenga wakaingia mitini Haina waumini hata mmoja
 
Viwanda Atajenga Babako,bado Misikiti Haitoshi Inatakiwa Iwe Mingi Zaidi Ili Hata Kama Tuko Kazini Tusitembee Umbal Mrefu
 
Wakiendekeza ibada uzalishaji unakuwa sifuri; ni nani aliishi kwa kula ibada?
mimi Naishi Kwa Kula Ibada Simply Ibada Kwa Mujibu Wa Uislamu Ni Kitu Chochote Kinachompendeza Mungu Hata Kazi Halal Ni Ibada.Kama Unaongelea Kuswal Bas Kuswal Msikitin Hakumalizi Hata Dakika 10 Tunatoka.Kama Kuswal Ni Umaskin Bas Waislamu Weng Wangekuwa Maskini Lakini Ni Vice Versa Hata Kwenye List Ya Matajir Tanzania Waislamu Ndo Wanaongoza Kariakoo,mnazi,oysterbay Kumejaa Matajiri Wengi Waislamu Na Wanaswal
 
Nyie 🌈 mumejenga viwanda vingapi?
 
Kila kitu kiwe kwa kiasi, kama walikuwa wanataka kuwasaidia, basi wajitolee ata kuwajengea nyumba za maana
Wewe umejuaje kama hio walofanya sio kwa kiasi
Au kuna kiasi maalum cha kujenga misikiti ama kusaidia kilichoekwa na sirikali?
Pia mtu anatoa msaada ama anasaidia kwa anachoona kinafaa unatakaje ajenge nyumba wakati yeye kaona ajenge kanisa ama barabara au msikiti
USAID si wanajenga hapa mpaka vyoo tena wanaeka na masharti ya kijinga jinga
 
Naunga mkono hoja.

Kuna mwamba fulani lake zone alijikuta anakuwa tajiri wa kutupwa ghafla tu kwa mchongo huo. Full kuoa na kugawa noti kitaa kama ana kiwanda cha kuzifyatua, Hadi pale mwamba mwendazake alipomminya ndo akastopisha ugawaji hela na kuingia kwenye siasa akawa diwani (sijui jiwe alimminyaje, maana tangu pale hagawi hata mia!)
Jamaa alikuwa akijenga msikiti kwa maximum ya milioni 30 halafu kwa mwarabu kavuta milioni 150! Ma kajenga misikiti mingi mno ukanda huo. Sijui kama huo mchongo ulishakata ama bado anaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakiendekeza ibada uzalishaji unakuwa sifuri; ni nani aliishi kwa kula ibada?
Sijui kwa dini nyengine ila kwa waislam hata kufanya kazi pia ni ibada
Nandio maana hata kwenye qur an tunasisitizwa baada ya kumaliza sala tutawanyike kufanya shughuli nyengine ikiwemo ibada ya kufanya kazi
Kwa lugha nyepesi uzalishaji pia ni ibada kwenye uislam hapa napo unasemaje
 
Ahera ina uhakika.....
Wale wa kuishi duniani milele furahieni ya dunia.
Wanaoitaka ahera waachwe....
 
Hao jamaa wanaojengewa hizo nyumba za ibada wana viwanda vingapi?
 
Wajenge viwanda watu wapate ajira, na sio kuwajengea majengo ili kuwamezesha mawazo ya kusadikika
 
Baadhi ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa wamegoma kuripoti shuleni kwa kigezo kuwa wenzao waliomaliza kidato cha nne, sita na chuo kikuu wapo mitaani bila ajira.

Wanafunzi hao wamesema hali hiyo imewakatisha tamaa ya kuendelea na masomo ya sekondari badala yake kuamua kutafuta shughuli nyingine za kiuchumi ikiwemo mafunzo ya ufundi.

Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe, mmoja wa wazazi wa watoto ambao hawajaripoti shuleni, mkazi wa Kata ya Turwa wilayani Tarime mkoani Mara, Elizabeth Charles amesema binti yake alikataa kuandikishwa na kutaka apelekwe chuo cha ufundi cherehani kutokana na wahitimu wengi kuwa mitaani bila kazi maalum.


Source: Jamii forum
 
Wajenge viwanda watu wapate ajira, na sio kuwajengea majengo ili kuwamezesha mawazo ya kusadikika
Mawazo ya kusadikika kwako ila kwao mawazo halisi
Mawazo ya kusadikika yanajengwa na wanasiasa
Kwani jukumu la kuwajengea viwanda raia husika nila wafadhili ama la sirikali? πŸ€”
 
Dini ni kifubaza fikra
Siku Moja nikiwa na mshikaji mmoja huko mbande nikawa namsindikiza mshikaji anatafuta nyumba ya kupanga no dalali chaka to chaka....

Tukafika nyumba Moja tukakuta wazee wa makamo mume na mke tukasalimia tukaeleza shida yule bibi akasema nyumba tumepata AKAULIZA DINI TUKAJIBU WAISLAMU AKATUAMBIA TUNGEKUA WAKRISTO ASINGE TUPANGISHA MAANA TUTAPIGA KWAYA KWENYE NYUMBA YAKEπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Uswahili, Umaskini na uislamu ni Tatizo hapa ulimwenguni

Hayo mambo nilikuaga nayaona kwenye maigizo ya kaole sanaa group πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Job true true cc. Mjanja M1
 
Hao jamaa wanaojengewa hizo nyumba za ibada wana viwanda vingapi?
Viwanda kazi ya sirikali sio ya hao wajenga miskiti
Kwani idadi ya miskiti hio ni billion ngapi na inajenga viwanda vingapi kwapamoja?
Mwisho utakula wafadhili zaidi ya watano wamejenga hizo nyumba za ibada
 
Elimu nj ya mkoloni ,dini ni ya mkoloni ,una hagua kipi,ukiumwa unaenda msikitoni au hospitalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…