Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kila kitu kiwe kwa kiasi, kama walikuwa wanataka kuwasaidia, basi wajitolee ata kuwajengea nyumba za maanaWana chuki tu kama india wamevunja mskiti wamejenga jengo la kuabudia wahindu
Sasa unauliza hoja kuabudu ama hoja kuabudu waislam?
Veta zipo kila kona ....Mambo ya serikali yako hayo.Basi veta wajue hata ufundi kwa vitendo
Kuna misikiti Mingi barabara ya kuanzia Chalinze Hadi Morogoro imeota Hadi majani na vichaka wanaishi nyoka na panya Haina waumini watu walikula pesa za wafadhili wakaijenga wakaingia mitini Haina waumini hata mmojasie tuitwae na kuigeuza maghala ya kuhifadhia mazao ya mashambani, nani ataenda kuswali huko? Kuna siku inakuja hiyo misikiti itabaki magofu hakutakuwa na wa kusali watu wamebadilika hawataki tena imani za kimagumashi haziwapi chakula
mimi Naishi Kwa Kula Ibada Simply Ibada Kwa Mujibu Wa Uislamu Ni Kitu Chochote Kinachompendeza Mungu Hata Kazi Halal Ni Ibada.Kama Unaongelea Kuswal Bas Kuswal Msikitin Hakumalizi Hata Dakika 10 Tunatoka.Kama Kuswal Ni Umaskin Bas Waislamu Weng Wangekuwa Maskini Lakini Ni Vice Versa Hata Kwenye List Ya Matajir Tanzania Waislamu Ndo Wanaongoza Kariakoo,mnazi,oysterbay Kumejaa Matajiri Wengi Waislamu Na WanaswalWakiendekeza ibada uzalishaji unakuwa sifuri; ni nani aliishi kwa kula ibada?
Inakuwa kariakoo part 2Nawaza tu huko Tambani sijui ikifika saa 10 alfajiri hayo makele inakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie π mumejenga viwanda vingapi?habari wadau.
Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.
kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,
kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini
KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?
najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?
kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.
Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.
Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.
Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Wewe umejuaje kama hio walofanya sio kwa kiasiKila kitu kiwe kwa kiasi, kama walikuwa wanataka kuwasaidia, basi wajitolee ata kuwajengea nyumba za maana
Naunga mkono hoja.Hakuna sehemu waaarabu wanaibiwa na waswahili matapeli waislamu kama kwenye ujenzi wa misikiti
Mwarabu tajiri yeyote ukisema unaomba Hela ya ujenzi wa msikiti au madrasa anakuona wewe ndie mwislamu Bora mno anatoa Pesa chapchap
Waswahili wanswapiga kwenye kuanzia gharama za ununuzi wa kiwanja Hadi ujenzi.Msikiti utajengwa ila hizo gharama zake utakaa Chini.Na Kwa kuwa waarabu Wana Pesa nyingi wanachojali madrasa au msikiti umejengwa basi
Sijui kwa dini nyengine ila kwa waislam hata kufanya kazi pia ni ibadaWakiendekeza ibada uzalishaji unakuwa sifuri; ni nani aliishi kwa kula ibada?
Sina uhakika hata na sekunde moja ijayo, ila siko hapa kusubiri kufa piaKwani kuna ambaye ataishi milele, au ww una uhakika na kesho yako.
Ahera ina uhakika.....Hiyo ni jamii ya kiislamu. Hitaji lao ni ahera (kama ipo anyway). Elimu dunia is not a priority to them. Pwani yote priority ni madrasa n misikiti. Tuwaache wapiganie ahera ambayo hawana uhakika usiokuwa na mashaka kama ipo! (mnisamehe najua mtanirukia.
Hao jamaa wanaojengewa hizo nyumba za ibada wana viwanda vingapi?Sijui kwa dini nyengine ila kwa waislam hata kufanya kazi pia ni ibada
Nandio maana hata kwenye qur an tunasisitizwa baada ya kumaliza sala tutawanyike kufanya shughuli nyengine ikiwemo ibada ya kufanya kazi
Kwa lugha nyepesi uzalishaji pia ni ibada kwenye uislam hapa napo unasemaje
Wajenge viwanda watu wapate ajira, na sio kuwajengea majengo ili kuwamezesha mawazo ya kusadikikaWewe umejuaje kama hio walofanya sio kwa kiasi
Au kuna kiasi maalum cha kujenga misikiti ama kusaidia kilichoekwa na sirikali?
Pia mtu anatoa msaada ama anasaidia kwa anachoona kinafaa unatakaje ajenge nyumba wakati yeye kaona ajenge kanisa ama barabara au msikiti
USAID si wanajenga hapa mpaka vyoo tena wanaeka na masharti ya kijinga jinga
Baadhi ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa wamegoma kuripoti shuleni kwa kigezo kuwa wenzao waliomaliza kidato cha nne, sita na chuo kikuu wapo mitaani bila ajira.habari wadau.
Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine.
kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu wasome vizuri wazalishe Ma engineer, Madaktari na wataalamu wa fani mbali mbali,
kinachonishangaza pia kwa nini wafadhili hao hawajajenga kiwanda hata kimoja ili waislamu ama raia wa TAMBANI wapate ajira waache kushinda vijiweni bila kazi waondokane na umaskini
KWA NINI MSAADA UWE KUONGEZA NYUMBA ZA IBADA TU ?
najiuliza wafadhili hao kwa nini wasijenge hata chuo cha ufundi ama cha teknolojia hata kimoja ili watu wa TAMBANI wapate mafunzo ya kitaalamu wajikomboe kiuchumi ?
kujenga misikiti sio jambo baya , ni jambo zuri kufadhili kuwajengea wananchi sehemu za kuabudia. ila nimeshangaa sana why msaada uwe kujenga misikiti tu na kuchimba visima vya kutawazia.
Tunapaswa tuwaambie wafadhili adui wetu mkubwa ni Ujinga, Maradhi na Umaskini. Vitu vya kupambana ma hawa maadui watatu ndio wanapaswa kutujengea kwa wingi.
Kutujengea Shule, zahanati na viwanda ndio ufadhili wa kweli.
Kiwanda kimoja kinafuta umaskini wa watu wengi.. kuliko kujenga nyumba za ibada kila mtaa huku waumini wanazo sehemu za kusali tayari
Mawazo ya kusadikika kwako ila kwao mawazo halisiWajenge viwanda watu wapate ajira, na sio kuwajengea majengo ili kuwamezesha mawazo ya kusadikika
Siku Moja nikiwa na mshikaji mmoja huko mbande nikawa namsindikiza mshikaji anatafuta nyumba ya kupanga no dalali chaka to chaka....Dini ni kifubaza fikra
Viwanda kazi ya sirikali sio ya hao wajenga miskitiHao jamaa wanaojengewa hizo nyumba za ibada wana viwanda vingapi?
Elimu nj ya mkoloni ,dini ni ya mkoloni ,una hagua kipi,ukiumwa unaenda msikitoni au hospitaliniPesa ni zako [emoji38][emoji38][emoji38]? Jenga wewe mweny elimu ...Elimu ya mkoloni mpaka leo watu ni maprofessor hawajui hata kubuni viwanda wamebaki siasa tu.
Kuchangisha watu kujeng shule ambazo faida wanakula wao..kununua magari ya bei mbaya huku watoa sadaka wanatoa pesa kupata huduma ...
Serikali haina dini itajenga hii sio nchi ya kiislamu.
Ila wa madrasa wote ni marubani ma mainjiniaWw uliosoma una nini...vijana kibao wana degree tena za ualimu na zingenezo wako mtaani wanaendesha bodaboda tu...