Kataa katakata mkeo kutoa jina la mtoto wenu wa kiume

Kataa katakata mkeo kutoa jina la mtoto wenu wa kiume

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Sio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.

Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.

Chukua tahadhari.
 
Sio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.

Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.

Chukua tahadhari.
Kuna binti alinipenda sana, mtoto wake wa kwanza alimpa jina langu.

Hili sikupendezwa nalo hata kidogo.
 
Sio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.

Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.

Chukua tahadhari.
Huu sio ushauri ni sheria
 
Sio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.

Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.

Chukua tahadhari.
Mke wangu kampa mwanagu jina la baba ake mzazi ila yule baba mkwe ni mswahili sana nafikiri kumbadili jina mwanangu asije kupata tabia za huyu babu wake.
 
Siku hizi kuna wasagaji pia. Unaweza kuta binti yako anapewa jina la mtu wake anaemsaga. Mwanaume toa majina wewe mwenyewe tu.

Japo na sisi huwa tunatoa majina ya mademu zetu. Binti yangu wa pekee nimempa jina la demu wangu wa kwanza wa primary japo mama yake hajui chimbuko la jina.
 
Mke wangu kampa mwanagu jina la baba ake mzazi ila yule baba mkwe ni mswahili sana nafikiri kumbadili jina mwanangu asije kupata tabia za huyu babu wake.
Unahangaika bure hitobadili kitu, jina la kwanza ndio litasimama huwezi kulifuta.
Siku zote mkeo atamwita mwanao baba.
Mama ana muunganiko mkubwa sana na mtoto kuliko sisi wanaume, kumbuka wamefahamiana mieziv9 kabla wewe na mtoto hamjafahamiana
 
Unahangaika bure hitobadili kitu, jina la kwanza ndio litasimama huwezi kulifuta.
Siku zote mkeo atamwita mwanao baba.
Mama ana muunganiko mkubwa sana na mtoto kuliko sisi wanaume, kumbuka wamefahamiana mieziv9 kabla wewe na mtoto hamjafahamiana
Akianza shule na cheti chake zakuzaliwa taweka jina langu jipya, huyu mama kabeba tu mtoto kama kabati, mbegu ilikua yangu......kwahiyo ndani ni mimi nje ndo mama
 
Back
Top Bottom