Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake usiwachukulie poa utaumia mkuuAkianza shule na cheti chake zakuzaliwa taweka jina langu jipya, huyu mama kabeba tu mtoto kama kabati, mbegu ilikua yangu......kwahiyo ndani ni mimi nje ndo mama
Hakunaga Mwanaume wa kumpa bint yake jina la demu wake. Wanaume wa hivyo walibaki Mwanza na Arusha mjini.Siku kuna wasagaji pia. Unaweza kuta binti yako anapewa jina la mtu wake anaemsaga. Mwanaume toa majina wewe mwenyewe tu.
Japo na sisi huwa tunatoa majina ya mademu zetu. Binti yangu wa pekee nimempa jina la demu wangu wa kwanza wa primary japo mama yake hajui chimbuko la jina.
Acha uoga wewe, kwani ukiacha shemeji amwite dogo Shomari kuna shida gani? Si jina tu🤣Watoto wote majina natoa mimi😀
Wala ustafute ushauri wa mke wako kwenye kutafuta jina la mtoto wa kiumeSio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.
Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.
Chukua tahadhari.
Kwani kubeba mimba ni mahangaiko? Mimi nilidhani ni pride na ni Neema za Allah? Sikuwahi kujua kuwa kubeba mimba ni mahangaiko na 'laana'.Mwisho wa siku watoto wanaishia kuimba nani kama Mama. Mna upuuzi kiwango cha SGR ,mtu ahangaike mimba miezi tisa uchungu juu kunyonyesha miaka miwili kisha unamnyima haki ya kutoa jina kisa your own inferiority
Kwani kubeba mimba ni mahangaiko? Mimi nilidhani ni pride na ni Neema za Allah? Sikuwahi kujua kuwa kubeba mimba ni mahangaiko na laana.
Wala si uongo.Mmhh waja mna mambo
kwani wa kwako peke yako? hiyo mimba ulibeba wewe? watu wengine munakera kwa kweliMimi majina ya watoto natoa mwenyewe ,sishauriani na Mama yao hata kidogo,, nakutunza natunza mwenyewe. .
Wewe muite hata Billgates lakini kama huna Mipango haisadii chochote.Hayo nimakubaliano yenu wawili ugomvi unatoka wapi binafsi sipendi kuwa rithisha watoto wangu majina ya ukoo maana majina mengine yana ambatana na laana sisi tume tafta jina zuri lenye maana zuri tuka mpa mtoto wetu ..... je? Kuna mjadala hapo
Mahangaiko vinaendana na 'laana'.Kuna sehemu nimeandika ni laana?
Kama hivyo sawa ila kuna familia hazipo ivo ........ mmi hadi mama mzazi aliwahi nambia usije ukampa mwanao jina la flani kwenye ukoo ina maana kuna majina siyo mazuriWewe muite hata Billgates lakini kama huna Mipango haisadii chochote.
Babu yangu alikuwa tajiri sana wa enzi zao, na utajiri wake mkubwa ni mifugo, ilikuwa kila mwanaukoo anayetaka kuowa basi mahari anakwenda kuchukuwa kwa babu yangu yani Ng'ombe.
Sasa basi kwa imani utajiri ujirudia unakuta familia moja baba anawapa majina mpaka Watoto watatu jina moja la yule Babu yangu kwa imani yao kwamba kwenye ukoo lazima kutatokea mtu mwenye jina lake na atakuwa tajiri mkubwa kama Babu.
Basi ukija kijijini kwetu utacheka ukiuliza unamtafuta Fulani ni lazima useme mtoto wa Fulani na bado ndani ya familia hilo jina wanatumia Watoto watatu, imebidi vijana wenyewe wa kisasa lile jina wakalichakachuwa sasa hivi kila mtu ana utambulisho wake kwa jina hilohilo kama vile Mohammed, Muddy na Mo.
ok. siwezi kukubishia inawezekana ikawa una ujuzi zaidi juu ya wanaume kuliko mimi. Sina sababu ya kuwajua wanaume wenzangu zaidi.Hakunaga Mwanaume wa kumpa bint yake jina la demu wake. Wanaume wa hivyo walibaki Mwanza na Arusha mjini.
Unafikiri kutowajua ni sifa? Au unafikiri ndiyo ugangwe?ok. siwezi kukubishia inawezekana ikawa una ujuzi zaidi juu ya wanaume kuliko mimi. Sina sababu ya kuwajua wanaume wenzangu zaidi.
maisha mafupi mno kuwa na ghadhabu mapema yote hii. Hebu kunywa maji upumue kidogo chief.Unafikiri kutawajua ni sifa? Au unafikiri ndiyo ugangwe?
Watoto wote majina natoa mimi😀