Kataa katakata mkeo kutoa jina la mtoto wenu wa kiume

Kataa katakata mkeo kutoa jina la mtoto wenu wa kiume

Hahahah hio safi ila kwa akili ya mke wangu naona huko ni kumpa mazoezi mi natafta jina litalonipendeza[emoji3] ila liwe zuri, mfano dogo mmoja anaitwa "Candice" hilo jina nilitafta mimi nikampa. Au Jachobed jr yote yake.
Majina ambayo sio common kama hivyo mimi ndio nayapenda. Perfect [emoji3059]
 
Kwetu sote tumepewa majina na baba.

Kasoro ka last born nilipewa chance ya kutoa jina mie first born.
 
Wewe muite hata Billgates lakini kama huna Mipango haisadii chochote.

Babu yangu alikuwa tajiri sana wa enzi zao, na utajiri wake mkubwa ni mifugo, ilikuwa kila mwanaukoo anayetaka kuowa basi mahari anakwenda kuchukuwa kwa babu yangu yani Ng'ombe.

Sasa basi kwa imani utajiri ujirudia unakuta familia moja baba anawapa majina mpaka Watoto watatu jina moja la yule Babu yangu kwa imani yao kwamba kwenye ukoo lazima kutatokea mtu mwenye jina lake na atakuwa tajiri mkubwa kama Babu.

Basi ukija kijijini kwetu utacheka ukiuliza unamtafuta Fulani ni lazima useme mtoto wa Fulani na bado ndani ya familia hilo jina wanatumia Watoto watatu, imebidi vijana wenyewe wa kisasa lile jina wakalichakachuwa sasa hivi kila mtu ana utambulisho wake kwa jina hilohilo kama vile Mohammed, Muddy na Mo.
Kuna rafiki yangu kwao wamezaliwa wa tano na Baba yao kawapa majina ya maraisi wa zamani wa Afrika, wa kwanza kamuita Samora
wapili kamuita Castro,
watatu Biko
Wanne Bokasa
Watano kamuita Mugabe, na wote kwasaasa wanamaisha magumu tu.
 
Kuna rafiki yangu kwao wamezaliwa wa tano na Baba yao kawapa majina ya maraisi wa zamani wa Afrika, wa kwanza kamuita Samora
wapili kamuita Castro,
watatu Biko
Wanne Bokasa
Watano kamuita Mugabe, na wote kwasaasa wanamaisha magumu tu.
Hahahah balaa zito
 
Hapana mkuu, huyo binti ni wale vivuruge...anapita mtaani anawambia watu namtafuna, huku sina mpango naye.
Alimsumbua sana gf wangu...na ukweli sikuwahi kumgusa kabisa
Aaaah wapi..... from nowhere aanze tu kukusumbua ?.... Kuna namna hapo..😂😂😂
 
Back
Top Bottom