passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Ni vile tu hafahamu.Niliposema mm ni mafia nadhan hukunielewa.
Hio sheria huwa ina loophole mahala, najua ninachokisema. Lakini akishakua na copy ya cheti cha ndoa ndipo huchomoki
Unachosema ww ni kigumu kufanyika, lkn sheria ina tabia ya kujifix yenyewe, almost matatizo yote yanayoletwa na sheria basi yanatatuliwa na sheria, ndio maana kuna attorneys.Mambo mengine yanahitaji kufanyiwa ''update'' kila baada ya muda ili kuenda na wakati, sheria za ndoa ni mojawapo. Imefika muda, sheria za ndoa za Tanzania zifanyiwe maboresho haraka sana, ili kuwe na uwezekano wa kufunga ndoa zenye makubaliano maalum kulingana na wanandoa wanavyokubaliana. Kwa mfano wanaweza kukubaliana kuwa wakiwa kwenye ndoa kila mtu atachuma na atamiliki mali zake na ikitokea kuna kutengana, kila mmoja anaondoka na ''mbao zake''.
hebu iandikie UZI hii mada, mkuu...ni jambo jema sana hili umeandika ndugu, moja ya sababu pia kwa watu waliotoboa kimaisha kuogopa ndoa ni pamoja na hizi sheria za ndoa zilizopo....ππMambo mengine yanahitaji kufanyiwa ''update'' kila baada ya muda ili kuenda na wakati, sheria za ndoa ni mojawapo. Imefika muda, sheria za ndoa za Tanzania zifanyiwe maboresho haraka sana, ili kuwe na uwezekano wa kufunga ndoa zenye makubaliano maalum kulingana na wanandoa wanavyokubaliana. Kwa mfano wanaweza kukubaliana kuwa wakiwa kwenye ndoa kila mtu atachuma na atamiliki mali zake na ikitokea kuna kutengana, kila mmoja anaondoka na ''mbao zake''.
Mzee huyo mwanamke alishaniacha akaenda hadi mahakamani, ustawivwa jamii kazunguka ila yakamshinda, alipichoka nikamwambia rudi ndani, akarudi. Sabab ni mara mia kukaa na kajini unakokajua na kanakokufaham kwamba ww si wa mchezo mchezo.Ni vile tu hafahamu.
Ila rebuttable resumption akipata wanasheria mnagawana mali mchana kweupe.
Na kingine prenuptial agreement ina weekaness nyingi sana hata kwa bongo sidhani kama ipo applicable.
Kuoa oa ila usifanyie uchaguzi instagram. Trust me. Bado kuna wanawake wenye adabu sana. Nimekumbuka mjomba wangu siku moja alinichekesha kweli kweli. Alimpata mke wake alipokuwa chuo cha ualimu enzi hizo, basi akawa ananimbia kuwa yeye akiwa mwaka wa tatu, walikuja wanachuo wa mwaka wa kwanza. Akasema akafanya uchunguzi na kuchagua mmoja aliyekuwa mshamba mshamba hivi hata kuvaa hajui kupangilia. Fast foward, huyo mke wako naye mpaka sasa hivi na wana wajukuu na maisha yao yamekuwa mazuri sana.Kuna ukweli fln, ndo maana nasema msioe
ipo applicable vizuri kabisa, mf: Majizzo kwa mkewesidhani kama ipo applicable.
Miaka ya zamani hio mkuu.Kuoa oa ila usifanyie uchaguzi instagram. Trust me. Bado kuna wanawake wenye adabu sana. Nimekumbuka mjomba wangu siku moja alinichekesha kweli kweli. Alimpata mke wake alipokuwa chuo cha ualimu enzi hizo, basi akawa ananimbia kuwa yeye akiwa mwaka wa tatu, walikuja wanachuo wa mwaka wa kwanza. Akasema akafanya uchunguzi na kuchagua mmoja aliyekuwa mshamba mshamba hivi hata kuvaa hajui kupangilia. Fast foward, huyo mke wako naye mpaka sasa hivi na wana wajukuu na maisha yao yamekuwa mazuri sana.
Na ndicho nilichomaanisha mimi ila nimeelezea ki layman zaidi. Hali ya sasa hivi ambayo wanaume wanaoa kwa sababu ya kumtamani mwanamke na mwanamke anaolewa kwa sababu ya kutamani mali, waki-introduce prenup itasaidia sana.Unachosema ww ni kigumu kufanyika, lkn sheria ina tabia ya kujifix yenyewe, almost matatizo yote yanayoletwa na sheria basi yanatatuliwa na sheria, ndio maana kuna attorneys.
Solution ni prenup tu, lkn kama niluvyosema sina uhakika kama zinafanyavkazi hapa TZ, lkn nchi za nje watu wanatumia prenup kulock mali zao.
bro tz kuna prenup?mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
kuna tamaduni ukivunja hupatwi na madhara yeyote zaidi ya kusemwaπππ kaa kwenu, nikae kwetu. Ila sio kama hivyo ulivyosema. Utamaduni wa kitanzania hauruhusu,,
Dunia imekua ya tofauti sana.Nina mwanamke mwaka wa saba huu nakaa nae na sijamuoa, kila mtu anaenijua physically anajua ni mke wangu. Kuna kipindi alileta kelele lkn akaja kugundua mimi ni mafia, ametulia anakula ugali na samaki.
Sheria haisemi miezi sita.Mzee huyo mwanamke alishaniacha akaenda hadi mahakamani, ustawivwa jamii kazunguka ila yakamshinda, alipichoka nikamwambia rudi ndani, akarudi. Sabab ni mara mia kukaa na kajini unakokajua na kanakokufaham kwamba ww si wa mchezo mchezo.
I'm faced with legal issues on daily basis, nikikwambia hio sheria ya kukaa na dem eti miezi sita ndo nimemuoa ina loopholes naelewa ninachokisema.
Majizzo alimsainisha Lulu, assets kadhaa hazipo kwenye ugawo pindi wakiachanaUnamaanisha lulu? Sijawahi sikia mfano mzr wa prenup hapa tz