Kataa ndoa. Leo wamepata point 3 ugenini, ilikuwa hivi...

Kataa ndoa. Leo wamepata point 3 ugenini, ilikuwa hivi...

Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.

Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikua ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi akamwomba amfungulie biashara huku yeye anatafuta kazi. Jamaa akauza nyumba moja akampa huyo mwanamke mtaji, mwanamke akaanza kwenda china kununua mizigo na kuuza hapa dsm na mikoani.

Biashara baada ya kuiva, mwanamke akaanza kutembea na vijana wake wa kazini hapo. Jamaa alipojua mwanamke akawa mkali, biashara kila kitu kimeandikwa kwa mwanamke. Mwanamke mwishowe akaondoka jumla nyumbani akaenda kupanga kivyake bila kuachana rasmi. Huko inasemekana akawa anakaa kinyumba na dogo mmoja wa kazini kwake. Kizuri hawakua na mtoto bado.

Biashara ikafeli, inasemekana alidhurumiwa na huyo dogo alokua nae, mwanamke akaanza kutanga tanga tu.

Jamaa si kajitafuta kajipata leo hii anapokea barua eti mke kamfungulia kesi kwamba waliachana ila jamaa hakumpa talaka na gawio lake la mali. uthibitisho wa ndoa anao sababu walifunga ndoa ya kanisani.


Msioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
Usipooa kisa kuibiwa UTAIBIWA NA MAJAMBAZI
 
Niliposema mm ni mafia nadhan hukunielewa.

Hio sheria huwa ina loophole mahala, najua ninachokisema. Lakini akishakua na copy ya cheti cha ndoa ndipo huchomoki
Najua loophole, ni kuwa mtengeneze hadhi ya kuwa mke na mume. Ukikaa nae na ukawa unampeleka kibandidu kama vipigo, kuwa na michepuko waziwazi nk, hawezi kutumia hicho kifungu kujiponya.
 
Mkuu mgeni.

Mimi nimemwbia hivi aendele kuomba kapata Mke ambaye hafahamu, Nina muhakikishia hawezi kuchukua raundi akikutana na wanasheria wanaojua hasa wale wamama wanaoshusha miwani kwenye pua.

Halafu kuhusu prenuptial hili ni janga.
Sababu kama kila mtu ana mali zake hapo hakuna ndoa. Mke ataamka alfajiri awahi kazini atasema tutafute mfanyakazi tuchangie kumlipa sababu hapa kila mtu anatafuta maisha yake.

Inapunguza upendo wote, yaani unamwambia mwanamke wewe chako ni chako changu ni changu.

Hiyo sheria inatumiwa na matajiri sana sana.
Ndo maana kuna wauaji wanashida kesi zao na waliosingiziwa kuua wanahukumiwa kunyongwa.

I rest my case.
 
Pia hata huko zamani unakosema, breakups zilikuwepo ingawa ni chache sababu ya mazingatio waliyokua nayo.

Kuna wanawake wa kuttomba tu na wakuoa, tatizo wengi wanadata na kutangaza ndoa. Mfano yule Zaylissa hata appearance tu, hamna mke pale.
 
Hahahaha

Sijui niseme mara ngapi.

Kuna siku nitafungulia uzi kesi yangu na yy iliomuamsha.

Hv ushajiuliza kwa nn vicky kamata alinyimwa hata mia? Kimada ni kimada tu mzee, hio sheria inawala maboya.

Leo ukienda kulala jua kwamba almost kila by-laws zina counter-part yake.

Ndoa ni law, hio ya kukaa na mwanamke ndani ni by-law
Mkuu una uelewa mdogo sana wa sheria ya ndoa, na nikuhakikishie hauijui sheria ya ndoa.

Hakuna kitu kinaitwa by -law ya sheria ya ndoa. Hivi kwanza unafahamu by law ni nini?.

Mimi ni taaluma yangu na ninakuambia kwa base ya uwakili sio stori za vijiweni Mkuu.
 
Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.

Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikua ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi akamwomba amfungulie biashara huku yeye anatafuta kazi. Jamaa akauza nyumba moja akampa huyo mwanamke mtaji, mwanamke akaanza kwenda china kununua mizigo na kuuza hapa dsm na mikoani.

Biashara baada ya kuiva, mwanamke akaanza kutembea na vijana wake wa kazini hapo. Jamaa alipojua mwanamke akawa mkali, biashara kila kitu kimeandikwa kwa mwanamke. Mwanamke mwishowe akaondoka jumla nyumbani akaenda kupanga kivyake bila kuachana rasmi. Huko inasemekana akawa anakaa kinyumba na dogo mmoja wa kazini kwake. Kizuri hawakua na mtoto bado.

Biashara ikafeli, inasemekana alidhurumiwa na huyo dogo alokua nae, mwanamke akaanza kutanga tanga tu.

Jamaa si kajitafuta kajipata leo hii anapokea barua eti mke kamfungulia kesi kwamba waliachana ila jamaa hakumpa talaka na gawio lake la mali. uthibitisho wa ndoa anao sababu walifunga ndoa ya kanisani.


Msioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
Hzo Mali utazikwa nazo acheni upumbavu wa mawazo ya kiafrica eti hbr ya kugawana Mali ,Mali gani kinyumba kiwanja ndio Mali Sasa

Unakuta mtu eti anasema Ana Mali wakt Hana hata kiwanda Cha kufetulia tofali hata heka tano la shamba Hana alfu anajita ana mali

Kwa hyo uantaka kuishi pekea ako I'll usigawnae Mali na mwanamke SAS ukifa nakumbiaa wanakuja watu wa baki Kbsa kutawla hzo vimalizako na huna la kufanya

Kibkubwa muombe sna mungu akupe mwisho mwema urudi kwake salmaa bila kuacha migogodo duniani

Nina babu yangu alikua tra hajawi kuoa wala kuwa na mke na watoto. Leo hii kisukari kimempata hata kuona haoni maskini na ni mtu mwenye Mali nyingi ikiwemo magorofa Sasa hzo Mali ziasadia n.anatafuta watu wakushinda nao hkn
 
Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.

Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikua ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi akamwomba amfungulie biashara huku yeye anatafuta kazi. Jamaa akauza nyumba moja akampa huyo mwanamke mtaji, mwanamke akaanza kwenda china kununua mizigo na kuuza hapa dsm na mikoani.

Biashara baada ya kuiva, mwanamke akaanza kutembea na vijana wake wa kazini hapo. Jamaa alipojua mwanamke akawa mkali, biashara kila kitu kimeandikwa kwa mwanamke. Mwanamke mwishowe akaondoka jumla nyumbani akaenda kupanga kivyake bila kuachana rasmi. Huko inasemekana akawa anakaa kinyumba na dogo mmoja wa kazini kwake. Kizuri hawakua na mtoto bado.

Biashara ikafeli, inasemekana alidhurumiwa na huyo dogo alokua nae, mwanamke akaanza kutanga tanga tu.

Jamaa si kajitafuta kajipata leo hii anapokea barua eti mke kamfungulia kesi kwamba waliachana ila jamaa hakumpa talaka na gawio lake la mali. uthibitisho wa ndoa anao sababu walifunga ndoa ya kanisani.


Msioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
acha ujinga
wanaume ni majukumu, na siyo mateso
majukumu yetu huwezi kuyaita mateso
acha umama, vinginevyo leave the men's group
 
Mkuu kwanza kabisa hakuna sheria inayosema kukaa na mwanamke miezi 6 anakuwa ni mkeo, hiyo sheria haipo.

Ila kuna sheria inayosema ukiishi na mwanamke kwa miaka miwili kunakuwa na dhana kuwa ni mkeo.

Huyo mwanamke ni vile hajakutana na wakili amsetie mambo sawa chomoka yako itakuwa ni nyembamba sana Mkuu na pengine isiwepo kabisa.

kama haufahamu sheria na yeye hafahamu sheria basi usijigambe Mkuu, jipe muda tu uanze kutenga mali zako, zake na zenu ili uwe salama ila vinginevyo hautoboi.
Nimesema miezi sita kama mfank sababu ndivo inavojulikana mtaanj.

Hii debate tukiendelea haina mwisho.

Lakini kama nilivyosema, kafuatilie kwa nn vicky kamata hakupewa mali alizosema na zi mme wake sababu mahakama ilimtambua kama kimada.

Ukiweza kuprove kwamba huyo mwanamke ni kimada basi hio bylaw haina nguvu kwako tena hata kama mmekaa miaka 100,

Lakini kama nilivosema, kuna wauaji wanashinda kesi na kuna waliosingiziwa kuua wananyongwa. Huu mjadala hauna mwisho kama umenielewa hio sentensi. Tukubali kutokukubaliana
 
Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.

Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikua ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi akamwomba amfungulie biashara huku yeye anatafuta kazi. Jamaa akauza nyumba moja akampa huyo mwanamke mtaji, mwanamke akaanza kwenda china kununua mizigo na kuuza hapa dsm na mikoani.

Biashara baada ya kuiva, mwanamke akaanza kutembea na vijana wake wa kazini hapo. Jamaa alipojua mwanamke akawa mkali, biashara kila kitu kimeandikwa kwa mwanamke. Mwanamke mwishowe akaondoka jumla nyumbani akaenda kupanga kivyake bila kuachana rasmi. Huko inasemekana akawa anakaa kinyumba na dogo mmoja wa kazini kwake. Kizuri hawakua na mtoto bado.

Biashara ikafeli, inasemekana alidhurumiwa na huyo dogo alokua nae, mwanamke akaanza kutanga tanga tu.

Jamaa si kajitafuta kajipata leo hii anapokea barua eti mke kamfungulia kesi kwamba waliachana ila jamaa hakumpa talaka na gawio lake la mali. uthibitisho wa ndoa anao sababu walifunga ndoa ya kanisani.


Msioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
Waoe wenye akili tu, Kama huna akili achana na ndoa fanya mambo mengine.

Jamaa yako anaonekana hana akili.
 
Najua loophole, ni kuwa mtengeneze hadhi ya kuwa mke na mume. Ukikaa nae na ukawa unampeleka kibandidu kama vipigo, kuwa na michepuko waziwazi nk, hawezi kutumia hicho kifungu kujiponya.
Ukiweza kuprove tu kama ni kimada basi game over.

La sivyo kila mchepuko angekua na haki ya kudai mali za mwanaume wake.

Legal literacy!
 
Still naamini huko mahamani mienendo ya kesi huwa inasikilizwa. Hapo ni muda tu na hela sa mwanasheria. Ni rahisi kuithibitishia mahakama kwamba huyu alinikimbia. Hakua kwenye uzalishaji wa hizi mali.
Hii kesi jamaa ndo kapata barua hivi majuzi lakini atashinda, na hatoshinda sababu ya mke kumkimbia, atashinda kwa kuthaminisha mali kisha kuweka vithibitisho vya kuuza nyumba na kumfungulia biashara.

Kama kushinda tu atashinda, lkn lengo ni kuona ushetani waliouficha wanawake
 
Back
Top Bottom