Kataa ndoa. Leo wamepata point 3 ugenini, ilikuwa hivi...

Kataa ndoa. Leo wamepata point 3 ugenini, ilikuwa hivi...

Mkuu mgeni.

Mimi nimemwbia hivi aendele kuomba kapata Mke ambaye hafahamu, Nina muhakikishia hawezi kuchukua raundi akikutana na wanasheria wanaojua hasa wale wamama wanaoshusha miwani kwenye pua...
Kabisa Mkuu.

Nimesoma mawazo yake ni mtu mwenye stori za kijiweni. Hazina uhalisia wa mambo.

Ndoa na sheria ya ndoa kwa sasa ni janga kubwa sana. Na likifika mahakamani ndio kabisaa linakuwa tatizo lakudumu.

Sheria yetu ya ndoa imemlinda mwanamke visivyo kawaida ya desturi zetu.

Mtu kuingia kwenye ndoa inabidi ufikirie sana.
 
Nimesema miezi sita kama mfank sababu ndivo inavojulikana mtaanj.

Hii debate tukiendelea haina mwisho...
Wewe Mkuu kwanza jua kutofautisha mambo.

Ishu ya Vicky yeye ni kimada sababu mhusika alikuwa na ndoa ya mke mmoja ambazo nyingi ni za kikristu. Sasa jua kutofautisha hayo mazingira na mazingira ya wewe kuishi na mwanamke miaka 2+ ukiwa huna ndoa yoyote ya mke mmoja.

Alafu narudia kukwambia kuwa hatuna hicho unachokiita by law kwenye sheria ya ndoa. Kwanza unatakiwa kujua maana ya by law na ni kanuni za namna gani.

Jambo la mwisho usisikilize stori za vijiweni kuhusu sheria nyingi ni uongo na ujuaji wa bush lawyers.

Tulia upewe shule Mkuu.
 
Wewe Mkuu kwanza jua kutofautisha mambo.

Ishu ya Vicky yeye ni kimada sababu mhusika alikuwa na ndoa ya mke mmoja ambazo nyingi ni za kikristu. Sasa jua kutofautisha hayo mazingira na mazingira ya wewe kuishi na mwanamke ...
Huenda amejaribu ku justify stori yake kwa namna hii.

Nimeamua tukubaliane kutokukubaliana.

ILA kama ana uhakika na anachongea ni suala la muda ngoja mwanamke aendelee kukusanya ushahidi.
 
Huenda amejaribu ku justify stori yake kwa namna hii.

Nimeamua tukubaliane kutokukubaliana.

ILA kama ana uhakika na anachongea ni suala la muda ngoja mwanamke aendelee kukusanya ushahidi.
Sure.

Akimkosa kote ataenda kumkamatia kwenye ahadi ya ndoa. Hapo ndio ataona dunia haina huruma.

Tunajitahidi sana kutaka kuzuia mali zetu zisiwe mali za ndoa ila ni swala gumu sana.

Mnaweza mkaandikishiana kutenga mali za ndoa na mali binafsi ila baadae Mahakama ikasema hoyo makubaliano hayakuwa na nia njema. Ikayafutilia mbali, mkagawana mali zote zilizopo.

Ni swala tu la mtu kuwa na wakili smart atakayeisaidia Mahakama kuona namna gani wanandoa hao waliingia makubaliano wakiwa na ajenda za siri. So hakukuwa na taarifa sahihi kwa pande zote.

Ni bora tu mtu ukaamua kukaa kimya na kustawisha ndoa yenu bila kuibua ghasia hadi kifo kiwatenganishe.
 
Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.

Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikuwa ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi...
Hii haijasomeka bado chief wataka kusemaje tuoe ama tusogeze tu 🤣🤣
 
Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.

Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikuwa ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi akamwomba amfungulie biashara huku yeye anatafuta kazi. Jamaa akauza nyumba moja akampa huyo mwanamke mtaji, mwanamke akaanza kwenda china kununua mizigo na kuuza hapa DSM na mikoani.

Biashara baada ya kuiva, mwanamke akaanza kutembea na vijana wake wa kazini hapo. Jamaa alipojua mwanamke akawa mkali, biashara kila kitu kimeandikwa kwa mwanamke. Mwanamke mwishowe akaondoka jumla nyumbani akaenda kupanga kivyake bila kuachana rasmi. Huko inasemekana akawa anakaa kinyumba na dogo mmoja wa kazini kwake. Kizuri hawakua na mtoto bado.

Biashara ikafeli, inasemekana alidhurumiwa na huyo dogo alokua naye, mwanamke akaanza kutanga tanga tu.

Jamaa si kajitafuta kajipata leo hii anapokea barua eti mke kamfungulia kesi kwamba waliachana ila jamaa hakumpa talaka na gawio lake la mali uthibitisho wa ndoa anao sababu walifunga ndoa ya kanisani.

Msioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
Aisee.

Inasikitisha sana .
 
Hzo Mali utazikwa nazo acheni upumbavu wa mawazo ya kiafrica eti hbr ya kugawana Mali ,Mali gani kinyumba kiwanja ndio Mali Sasa

Unakuta mtu eti anasema Ana Mali wakt Hana hata kiwanda Cha kufetulia tofali hata heka tano la shamba Hana alfu anajita ana mali

Kwa hyo uantaka kuishi pekea ako I'll usigawnae Mali na mwanamke SAS ukifa nakumbiaa wanakuja watu wa baki Kbsa kutawla hzo vimalizako na huna la kufanya

Kibkubwa muombe sna mungu akupe mwisho mwema urudi kwake salmaa bila kuacha migogodo duniani

Nina babu yangu alikua tra hajawi kuoa wala kuwa na mke na watoto. Leo hii kisukari kimempata hata kuona haoni maskini na ni mtu mwenye Mali nyingi ikiwemo magorofa Sasa hzo Mali ziasadia n.anatafuta watu wakushinda nao hkn
Ndio maana wazungu wapo radhi mali zao kuwarithisha hata paka au mbwa lakini sio wake zao.

Jackie Chan amekataa kabisa mali zake kuwarithisha watoto zake, amewaambia watafute kwa jasho lao kama yeye.
 
Na ndio hapa linapokuja Kwanini prenuptial ina matatizo mengi.

Yaani tayari ulishamwambia kwamba kila mtu na mali zake. Hiyo ndoa haimalizi miaka 3 ina survive.

Sababu mamlaka kama mwanaume inakupunguzia huwezi kumpgia simu umwambia wahi kupika wakati kila mtu anapambana kutafuta maisha yake.

Mtatafuta mfanyakazi mtamlipa atafanya kazi zote, inshort UPENDO hakuna hapo.
Kwa hiyo upendo ni mwanaume kutoa pesa na kumpa mwanamke?

Kwani lengo la mwanaume na mwanamke kuoana ni nini?
 
Back
Top Bottom