Kataa ndoa. Leo wamepata point 3 ugenini, ilikuwa hivi...

Kataa ndoa. Leo wamepata point 3 ugenini, ilikuwa hivi...

Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.

Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikuwa ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi akamwomba amfungulie biashara huku yeye anatafuta kazi. Jamaa akauza nyumba moja akampa huyo mwanamke mtaji, mwanamke akaanza kwenda china kununua mizigo na kuuza hapa DSM na mikoani.

Biashara baada ya kuiva, mwanamke akaanza kutembea na vijana wake wa kazini hapo. Jamaa alipojua mwanamke akawa mkali, biashara kila kitu kimeandikwa kwa mwanamke. Mwanamke mwishowe akaondoka jumla nyumbani akaenda kupanga kivyake bila kuachana rasmi. Huko inasemekana akawa anakaa kinyumba na dogo mmoja wa kazini kwake. Kizuri hawakua na mtoto bado.

Biashara ikafeli, inasemekana alidhurumiwa na huyo dogo alokua naye, mwanamke akaanza kutanga tanga tu.

Jamaa si kajitafuta kajipata leo hii anapokea barua eti mke kamfungulia kesi kwamba waliachana ila jamaa hakumpa talaka na gawio lake la mali uthibitisho wa ndoa anao sababu walifunga ndoa ya kanisani.

Msioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
Mwambie huyo jamaa kama ana watoto na huyo malayer . Akomae aseme mali ni urithi wa watoto na ikiwezekana aanze kuwarithisha sasa hivi, aitishe ukoo uweke muhutasari na huku msimamizi akiwa yeye ingali yupo hai
 
Matatizo mnajitakia wenyewe. Unatumia fedha kumshawishi mwanamke akupende ili umuoe! Hii inaonyesha kabisa jamaa yako alitumia ''misuli'' ya fedha ili kumvuta huyo demu.

Na mara nyingi unakuta ni hawa ''wenzangu'' na mimi wenye elimu ndogo na pengine washamba na ulimbukeni hapo hapo, wanapofanya biashara na kupata fedha za ghafla wanakimbilia kuoa wanawake ''wavaa vimini'' ili nao waonekane ni wajanja.
pwenti anayebisha atabisha akikaa peke yake atalia kwa uchungu
 
Mzee huyo mwanamke alishaniacha akaenda hadi mahakamani, ustawivwa jamii kazunguka ila yakamshinda, alipichoka nikamwambia rudi ndani, akarudi. Sabab ni mara mia kukaa na kajini unakokajua na kanakokufaham kwamba ww si wa mchezo mchezo.

I'm faced with legal issues on daily basis, nikikwambia hio sheria ya kukaa na dem eti miezi sita ndo nimemuoa ina loopholes naelewa ninachokisema.
we ni ntu nbad 👍😆
 
Mwanamke wa kibongo akiwa kwenye zone ya uhawara au uchumba huwa anakuwa on her best behaviours akitarajia ndoa. Its time to make the most of it ukiwa nae. Siku ukishamuidhinisha kwa makaratasi tu ndio mambo ya ajabu ajabu yanaanza kuchipukia. Utapangiwa muda wa kurudi home, ratiba za kugonga zinaanza na migogoro kibao.
Mabroo wanasema mwanamke ni mzuri akiwa sio mkeo.
 
Na ndio hapa linapokuja Kwanini prenuptial ina matatizo mengi.

Yaani tayari ulishamwambia kwamba kila mtu na mali zake. Hiyo ndoa haimalizi miaka 3 ina survive.

Sababu mamlaka kama mwanaume inakupunguzia huwezi kumpgia simu umwambia wahi kupika wakati kila mtu anapambana kutafuta maisha yake.

Mtatafuta mfanyakazi mtamlipa atafanya kazi zote, inshort UPENDO hakuna hapo.
Prenup unalinda mali ulizochuma kabla ya ndoa tu. Baada ya ndoa kila mtu atathibitisha mchango wake kwenye mali kama wanandoa. Na hakuna cha 50/50 kwenye kugawana mali, kila mmoja atapata kulingana na mchango wake.
 
Prenup unalinda mali ulizochuma kabla ya ndoa tu. Baada ya ndoa kila mtu atathibitisha mchango wake kwenye mali kama wanandoa. Na hakuna cha 50/50 kwenye kugawana mali, kila mmoja atapata kulingana na mchango wake.
Tuletee kesi za prenuptial hapa bongo tuzisome?
 
Nami naomba nichangie jinsi ndoa ilivyomtoa kwenye reli rafiki yangu wa karibu nimuite bro.
Ni wa kitaa, nazionq hustle zake from scratch. Akapata kazi ya maana. Akaoa. Shem mpole tu kwakweli tena mama wa nyumbani.
Myaka ikakatika wakapata one kid maisha yakasonga akajitafuta akamalizia mjengo wake wakahamia na ndio balaa lilipoanzia.
Mume akitoka shem anampigia mpenzi wake wanakuja kufanya yao ndani ya nyumba, majirani wakamtonya bro. Akaweka mtego haukunasa koz alichelewa kurudi akakosa ushahidi eye witness koz jamaa alikua ashasepa.
Akaamua amrudishe shem kwao akajisikilizie (mistake).
Mwanamke akaenda ustawi kuwa katekelezwa na bro na mtoto .
Bro alikamatwa aliwekwa lockup sababu shem alistate mambo mengi ikiwamo kutishiwa uhai.
Kesi ilifunguliwa wakati bro yuko busy na kufollow up mambo ya kesi na upatanisho kazini walimtema!
Nyumba iliamriwa iuzwe wagawane.
Bro alirudi tena to scratch.
Maisha yamemnyoosha. Mentali hayuko sawa tena! Kazi imekua ngumu kupata. Anaishi kwa kujihifadhi kwa pagale.
Shem yupo town anaishi na ile njemba gawio lilimpush akaanza na biashara.
Ndo maana sipendagi wanawake wanaojidai wapole, bora kawe kambea mbea, kamechangamka, kawe kanaongea ongea sana sabab kwa huyo ni rahisi kujua kama anakupenda kweli au la. Hawa wapole wakimya wengi huwa makatili sana.

My first love alikua mpole na mkimya, one week kabla ya ndoa yake alinipa tunda lkn akaja kuolewa, siku namuuliza kumbe alikua na kisirani na mm kwa kisa cha zamani sana ambacho nilidhan kimeisha, sasa ninheoaga pale aisee angenifurahisha mbeleni
 
I'm faced with legal issues on daily basis, nikikwambia hio sheria ya kukaa na dem eti miezi sita ndo nimemuoa ina loopholes naelewa ninachokisema.
Hiyo ya kuishi na mwanamke miezi 6+ kuwa kisheria ni ndoa yalimtokea puani hata Vicky Kamata.
 
Uanaume ni mateso, yaani mababu zetu ndo walifurahia uanaume ila siku hizi ni mateso mara mia.

Nina jamaa yangu aliyumba kdg kiuchumi baada ya kuachishwa kazi miaka minne imepita, jamaa alikuwa ana hela kinoma, mke aliomuoa kwa ndoa ya mapepe mengi akamwomba amfungulie biashara huku yeye anatafuta kazi. Jamaa akauza nyumba moja akampa huyo mwanamke mtaji, mwanamke akaanza kwenda china kununua mizigo na kuuza hapa DSM na mikoani.

Biashara baada ya kuiva, mwanamke akaanza kutembea na vijana wake wa kazini hapo. Jamaa alipojua mwanamke akawa mkali, biashara kila kitu kimeandikwa kwa mwanamke. Mwanamke mwishowe akaondoka jumla nyumbani akaenda kupanga kivyake bila kuachana rasmi. Huko inasemekana akawa anakaa kinyumba na dogo mmoja wa kazini kwake. Kizuri hawakua na mtoto bado.

Biashara ikafeli, inasemekana alidhurumiwa na huyo dogo alokua naye, mwanamke akaanza kutanga tanga tu.

Jamaa si kajitafuta kajipata leo hii anapokea barua eti mke kamfungulia kesi kwamba waliachana ila jamaa hakumpa talaka na gawio lake la mali uthibitisho wa ndoa anao sababu walifunga ndoa ya kanisani.

Msioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
Hiyo prenup ni nini? Au tumuulize Ashraf Hakim?
 
Back
Top Bottom