Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yan unaoa mwanamke alioachika kwa mcheza singeli?Pia hata huko zamani unakosema, breakups zilikuwepo ingawa ni chache sababu ya mazingatio waliyokua nayo.
Kuna wanawake wa kuttomba tu na wakuoa, tatizo wengi wanadata na kutangaza ndoa. Mfano yule Zaylissa hata appearance tu, hamna mke pale.
Na ndio hapa linapokuja Kwanini prenuptial ina matatizo mengi.hakuna KE atayekubali hata siku moja, labda umtoe Pluto
Hakuna watu wa kushinda nao kivipi wakati hela anayo?? Si wanakuja hata kwa malipoHzo Mali utazikwa nazo acheni upumbavu wa mawazo ya kiafrica eti hbr ya kugawana Mali ,Mali gani kinyumba kiwanja ndio Mali Sas...
Hahahahaaj kbsaaakataa ndoa wamebaki mtandaoni ni kama chadema tuh mtaani hawakubaliki kabisa
Hahahahaha wewe Ni mpuuz tu SAS mtu aache Kaz zake akshinde na mtu haoni na hatoi pesa za kuelleweka [emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna watu wa kushinda nao kivipi wakati hela anayo?? Si wanakuja hata kwa malipo
hapa ndipo pana udambwidambwi sasa nafikiri kina Liverpool Vpn na Drone drake wakuoneMsioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako.
KE hakupendi, she won't give a rat's ass kuhusu wewe zaidi ya assets zakoNa ndio hapa linapokuja Kwanini prenuptial ina matatizo mengi.
Yaani tayari ulishamwambia kwamba kila mtu na mali zake. Hiyo ndoa haimalizi miaka 3 ina survive.
Sababu mamlaka kama mwanaume inakupunguzia huwezi kumpgia simu umwambia wahi kupika wakati kila mtu anapambana kutafuta maisha yake.
Mtatafuta mfanyakazi mtamlipa atafanya kazi zote, inshort UPENDO hakuna hapo.
Mkuu drone,KE hakupendi, she won't give a rat's ass kuhusu wewe zaidi ya assets zako
Na Ndoa ni nafasi ya KE kupunguzia ukali wake wa maisha
kosa pesa au fulia ndiyo utajua hujui
Na kwanini upende kusemwa 😂kuna tamaduni ukivunja hupatwi na madhara yeyote zaidi ya kusemwa
shida watu wanaogopa kusemwa
Sikio la kufa halisikii dawa [emoji3]Kuoa tutaoa tuu Ila tahadhari kipaumbele
hawa ni wale KE wa gen-A,wametoka nao chini na wanaishi nao mpaka sasa
prenups ninini?Na sina uhakika kama hapa bongo prenups zinafanya kazi, sabab prenup ndio tahadhari pekee dhidi ya mali zako
Ngumu mkuu akiwa na wanasheria wazuri,mwanamke atatakiwa kuthibitisha mchango wake kwenye utafutaji wa hizo mali.Kisheria namuona huyu punda akienda kugawa pasu Kwa huyo Malaya mmoja.Utelezi ni gharama.