Kumbe nani anataka seke seke ndani ya nyumba,watu wanataka amani siyo hayo yanayosemwa ndani ya ndoa wakati hamna kitu. Mambo yote yaliyopo kwenye ndoa yanapatikana pia bila ndoa,na hakuna Cha ajabu.Ndoa ni kwa wale wenye akili timamu,Sasa wewe mtu atena ya kichwa haiko sawa ndoa utaiwezea wapi[emoji205]
Sent using Jamii Forums mobile app