Kataa Ndoa School of Thought, ni upi mtazamo wenu juu ya Masuala haya?

Kataa Ndoa School of Thought, ni upi mtazamo wenu juu ya Masuala haya?

Hii vita siku mkiimaliza mtuambie. Kuna jamaa yangu ka umri kalienda kidogo, maneno yakawa mengi sana. Mwaka jana akapata kazi TRA, hivi ninavyoandika nafuatilia mbuzi kwa ajili ya ka sherehe ka engagement yake na soon ni ndoa.

Msichokijua wengi ni kwamba maisha yamebadirika sana, kama ulibahatika kuzaliwa kwenye chochote kuna wenzio wanajitafuta ili wapate chochote ndio waoe lengo ni kutoitesa familia.

Kijana mwenye akili timamu hawezi kuoa eti mke huja na riziki zake huo ni ukuda sana. Acha nifuatilie mbuzi kijana afanye yake, mnawasema watu hadi wanakosa raha. Kwenye vifua vya vijana wengi kuna maumivu ya kusemwa juu ya haya mambo na chanzo ni uchumi mbovu wa vijana wengi
Tukio lake la kuli na kusaga meno lipo njian linakuja.
 
Familia sio Ndoa
Ndoa n muungano wa hiari kati ya mtu Me na mtu Ke walio amua kwa mapenz yao kwa hiari yao kuishi pamoja

Familia n muungano wa ki-damu au sio ki-damu kati ya Mamq,Baba na Watoto au Mama na Watoto au Baba na Watoto au Baba na Mama pasipo Watoto

Kujamiana/Kutiana sio Ndoa mzee tendo lipo tu unaweza pata popote

hayo mengne ya jamii itakuonaje n ziada tu kama utaamua kuisha kwa ajir ya watu hewala yako
 
ajenda hii kataa ndoa iko nyuma ya makundi ya wanaume wafuatao.

wavulana chini ya miaka 20.
wavulana miaka 30 kuendelea ambao hawana ramani yoyote.
walioumizwa na mapenzi kupitiliza wamejikatia tamaa.
ambao wana matatizo ya kutopata uzao,wanatumia kete hiyo kuficha madhaifu yao.
Pia ongezea hapo wale team LGBTQ
 
Namba 5, kuhusu suala la uchumi, wanawake wengi wamefilisi biashara za Waume zao na hivyo mwanaume kurudi kwenye ziro ground. Wanawake huwa hawajali kwenye matumizi ya hovyo ya pesa, hawajali! Hivyo, nahitimisha, mwanamke SI sehemu ya mafanikio kiuchumi ya mwanaume.
Sio wanawake, mwanamke wako.
 
Mkuu bandiko lako limezungumzia sana kuhusu familia na si Ndoa. Nikukumbushe tu inawezekana kabisa kuwa na familia bila ndoa, kulea watoto vizuri kwa maadili safi kabisa bila ndoa. Tunachokikataa ni hiki kifungo NDOA ambacho kwa asilia kubwa kipo kwaajili ya kumfaidisha mwanamke
NDOA NI UTAPELI
Lakini hata ukikataa ndoa pindi utakapoishi na mwanamke nyumba moja kwa muda wa miaka miwili na kuendelea sheria itamtambua kama mkeo halali wa ndoa na bado atakuwa na hali zote, hapo unakwepa nini?
 
Back
Top Bottom