Kataa Ndoa vs Kubali Ndoa

Kataa Ndoa vs Kubali Ndoa

Marriage is nature. You can't go against nature.

Hao mnaowaita kataa ndoa mda wao wa kuoa haujafika. Ukifika wataoa tena kwa sherehe kubwa.

Mambo mengine watu wanasema tu kujiliwaza.
Hata nami naamini uaminivyo, kwakuwa wewe upo huko mkuu, tuandalie external motivation bc [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Sorry,mawazo yako yana walakini sana. So,wewe umekaa ukatafakari kwa kina na kuja na hoja hii? Eti "Ndoa ni kitu pekee kinacholeta furaha".

Kataa ndoa,ndoa ni utapeli.
Kwanini tukatae NDOA mkuu, na kwanini unataka kutuaminisha NDOA ni UTAPELI??
 
Habarini wakuu,

Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.

Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au kukataa NDOA. Wenye uzoefu wa NDOA tunaomba msaada wenu wa kwanini mliweza kuikimbilia NDOA. Na wale pia KATAA NDOA, mtueleze pia sababu zipi zinapelekea MKATAE NDOA.

Lengo tushare EXPERIENCE kwa sisi ambao hatujaoa tujue ambayo tusiyoyajua juu ya FAIDA/HASARA za KATAA na KUBALI NDOA. View attachment 2760726View attachment 2760727
Cc: Vintage1q

Welcome new member of Kataa Ndoa
 
Marriage is nature. You can't go against nature.

Hao mnaowaita kataa ndoa mda wao wa kuoa haujafika. Ukifika wataoa tena kwa sherehe kubwa.

Mambo mengine watu wanasema tu kujiliwaza.
Marriage sio nature ila ni legal custom machoni pa watu.

Reproduction ndo nature. Unaweza reproduce bila hata ndoa. Lengo kuu la nature ni kwamba the strongest anaacha copy na the weakest haachi copy.
 
Mwanaume unakataaje kuoa.
Ndo kitu pekee kinacholeta furaha maishani mwetu.
Unadhani ukifanya kazi sana ndo utakuwa na furaha??
Unadhani ukiwa na wanawake ishirini ndo utakuwa na furaha??
Mwanamke ndo kitu pekee kinachotupa furaha maishani, sio mwanamke tuu bali ni yule mwanamke unayeishi naye kihalali kwa ndoa, ukisema "Hela" inakupa furaha nitakuona mwongo sana kwa sababu hata hao matajiri wa dunia wameoa.
Kukataa kuoa ni weakness kwa sababu unakwepa ku-deal na mapungufu yako na mapungufu ya huyo utakae muoa.
Avoiding marriage is going against nature.
Huyo mwanamke wa kuishi naye akupe furaha ni wa kile kizazi cha enzi zile ila sio hawa wa 50 kwa 50
Sa hivi ukioa tu jiandae na presha, kisukari, na magonjwa mengine sugu(sio Mr 2)
 
Wanaume wasio oa mapema wanaishia kuwa wapweke wakizi kukua na kuanza kutafuta vitoto vidogo.. wanajaza tamaa.. nduguzo hawatakutunza uzeeni
Wanaoishi maisha ya upweke ni wasiomjua Mungu. Ukimjua huishi mpweke, usidanganye umma.

Mtume Paulo na Mtume Yohana hawakuishi wapweke na hawakuoa.
 
Hapo kataa ndoa wana hoja nzuri.

Nauliza swali Je wanawake matajiri huwa wanakubali kuolewa na wanaume maskini ?

Maskini wengi wana akili ndogo, washirikina na wachawi wachawi

Bilnass kumuoa Nandy ni bonge ya akili kwenye career yake .
Hapana mkuu nakataa na ni ubaguzi wa hali ya juu kuwaita masikini wengi n wachawi na hawana akili, mafanikio ni kibali ambacho hutoa MUNGU. Kuwa tajiri sio ujanja na wala kuwa masikini sio ujinga.

Nikija kwa mifano: wangapi walikuwa masikini na now days ni matajiri wakubwa na hawajafirisika kama ulivyonena yakuwa masikini wengi hawana akili i.e hopler, Diamond platinum,Carter-lil wayne, Barack Obama, The late Abraham Lincoln etc.

Linapokuja suala la kuoa ni bora kuangalia hitaji la moyo wako, na sio kuagalia KIPATO cha mwanamke.

Wapendao kuoa mwanamke tajiri kwa utashi wangu ni wavvu, hupenda sana mseleleko. Pesa ni after ila upendo hutangulia kwanza.
 
Back
Top Bottom