True Believer
JF-Expert Member
- Mar 6, 2019
- 586
- 886
- Thread starter
-
- #141
Hata nami naamini uaminivyo, kwakuwa wewe upo huko mkuu, tuandalie external motivation bc [emoji39][emoji39][emoji39]Marriage is nature. You can't go against nature.
Hao mnaowaita kataa ndoa mda wao wa kuoa haujafika. Ukifika wataoa tena kwa sherehe kubwa.
Mambo mengine watu wanasema tu kujiliwaza.
Kwanini tukatae NDOA mkuu, na kwanini unataka kutuaminisha NDOA ni UTAPELI??Sorry,mawazo yako yana walakini sana. So,wewe umekaa ukatafakari kwa kina na kuja na hoja hii? Eti "Ndoa ni kitu pekee kinacholeta furaha".
Kataa ndoa,ndoa ni utapeli.
Hakika mkuu[emoji28][emoji28][emoji28]Uzi ni picha uzi umekamilika.
Cc: Vintage1qHabarini wakuu,
Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.
Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au kukataa NDOA. Wenye uzoefu wa NDOA tunaomba msaada wenu wa kwanini mliweza kuikimbilia NDOA. Na wale pia KATAA NDOA, mtueleze pia sababu zipi zinapelekea MKATAE NDOA.
Lengo tushare EXPERIENCE kwa sisi ambao hatujaoa tujue ambayo tusiyoyajua juu ya FAIDA/HASARA za KATAA na KUBALI NDOA. View attachment 2760726View attachment 2760727
Marriage sio nature ila ni legal custom machoni pa watu.Marriage is nature. You can't go against nature.
Hao mnaowaita kataa ndoa mda wao wa kuoa haujafika. Ukifika wataoa tena kwa sherehe kubwa.
Mambo mengine watu wanasema tu kujiliwaza.
Well, but ulijiulza kwanini hawaoi mapema??Wanaume wasio oa mapema wanaishia kuwa wapweke wakizi kukua na kuanza kutafuta vitoto vidogo.. wanajaza tamaa.. nduguzo hawatakutunza uzeeni
Huyo mwanamke wa kuishi naye akupe furaha ni wa kile kizazi cha enzi zile ila sio hawa wa 50 kwa 50Mwanaume unakataaje kuoa.
Ndo kitu pekee kinacholeta furaha maishani mwetu.
Unadhani ukifanya kazi sana ndo utakuwa na furaha??
Unadhani ukiwa na wanawake ishirini ndo utakuwa na furaha??
Mwanamke ndo kitu pekee kinachotupa furaha maishani, sio mwanamke tuu bali ni yule mwanamke unayeishi naye kihalali kwa ndoa, ukisema "Hela" inakupa furaha nitakuona mwongo sana kwa sababu hata hao matajiri wa dunia wameoa.
Kukataa kuoa ni weakness kwa sababu unakwepa ku-deal na mapungufu yako na mapungufu ya huyo utakae muoa.
Avoiding marriage is going against nature.
Tunazaa na kuzaanaMarriage sio nature ila ni legal custom machoni pa watu.
Reproduction ndo nature. Unaweza reproduce bila hata ndoa. Lengo kuu la nature ni kwamba the strongest anaacha copy na the weakest haachi copy.
Kabisa na hii haihitaji ndoa.Tunazaa na kuzaana
Wanaoishi maisha ya upweke ni wasiomjua Mungu. Ukimjua huishi mpweke, usidanganye umma.Wanaume wasio oa mapema wanaishia kuwa wapweke wakizi kukua na kuanza kutafuta vitoto vidogo.. wanajaza tamaa.. nduguzo hawatakutunza uzeeni
🤣🤣🤣🤣🤣Mtanange n mkali
MKUU MIMI NIMENUKUU KIPANDE CHA WIMBO WA DIAMOND. NA UKINIULIZWA KWA NINI SINA JIBU LA KUELEWEKAWazo zuri, sabuni sio tba mkuu ila ni kitulizo chenye madhara.
Kwanini una tushawishi nasi tuamini katika sabuni?
Hapana mkuu nakataa na ni ubaguzi wa hali ya juu kuwaita masikini wengi n wachawi na hawana akili, mafanikio ni kibali ambacho hutoa MUNGU. Kuwa tajiri sio ujanja na wala kuwa masikini sio ujinga.Hapo kataa ndoa wana hoja nzuri.
Nauliza swali Je wanawake matajiri huwa wanakubali kuolewa na wanaume maskini ?
Maskini wengi wana akili ndogo, washirikina na wachawi wachawi
Bilnass kumuoa Nandy ni bonge ya akili kwenye career yake .
Naona na picha wameweka za vyuku utadhan hao vyuku wanafungaga ndoa 😂 ila akili za kataa ndoa bhana🤣🤣🤣🤣🤣
Hapana mkuu, mimi sijaoa na wala sijapinga ndoa. Ni kama exploration tu, why watu wanakataa ndoa and why watu wanakimblia NDOA??
Ndoa sio mbaya inahitaji wote wawili muwe na akili ila mwanaume ndo awe na akili kumzidi mwanamke kinyume na hapo ni maumivu.Naona na picha wameweka za vyuku utadhan hao vyuku wanafungaga ndoa 😂 ila akili za kataa ndoa bhana
Sasa awe nazo zanini na ushasema mwanaume ndio anapaswa awe na akili?Ndoa sio mbaya inahitaji wote wawili muwe na akili ila mwanaume ndo awe na akili kumzidi mwanamke kinyume na hapo ni maumivu.
Tatizo wanawake wengi akili hawana,ni wachache wenye nazo.
Mi sio member wa KATAA ndoa ila ni member wa KATAA ndoa za kijinga zinazotaka Equality au Democracy.Shout out to the new 'Kataa Ndoa' members wakiongozwa na Vintage1q