oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Nawasalimu nyote.
Umasikini ni laana, tafiti tofauti zinaonyesha umasikini unarithishwa kwa hiyo unatakiwa kukaa ki machale kijana mwenzangu uliezaliwa kwenye familia masikini ili uondokane na hiyo laana isikukute wewe na vizazi vyako vinavyokuja vunja kabisa hilo daraja unatakiwa upambane sana katika uatafutaji wako ukifeli tu unakua daraja la laana. Fanya yafuatayo kuondoa hiyo laana.
1. Fanya kazi kwa bidii/ ufanisi
2.Uaminifu katika kazi.
3.Acha chuki na roho mbaya
4.Amini katika mungu
5.Acha ngono zembe/ Uasharati
6.Usishindane na mtu katika utafutaji wako( Kua na malengo yako).
Ongeza zingine ili wote tuzijue.
Umasikini ni laana, tafiti tofauti zinaonyesha umasikini unarithishwa kwa hiyo unatakiwa kukaa ki machale kijana mwenzangu uliezaliwa kwenye familia masikini ili uondokane na hiyo laana isikukute wewe na vizazi vyako vinavyokuja vunja kabisa hilo daraja unatakiwa upambane sana katika uatafutaji wako ukifeli tu unakua daraja la laana. Fanya yafuatayo kuondoa hiyo laana.
1. Fanya kazi kwa bidii/ ufanisi
2.Uaminifu katika kazi.
3.Acha chuki na roho mbaya
4.Amini katika mungu
5.Acha ngono zembe/ Uasharati
6.Usishindane na mtu katika utafutaji wako( Kua na malengo yako).
Ongeza zingine ili wote tuzijue.