[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu chadema hawashiriki huu uchaguzi. Bora muwatandike UDP na SAU[emoji23][emoji23][emoji23]
Si mlisema mwenda zake aliondoka na malipo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa kavurugwa na Chadema mpaka basi, msamehe bure, by the way unajua malipo yao yanatokana na wao kuitusi Chadema? Ikifa na wao malipo no... Haahhahaha
Mlikuwa mnawaibia Kura Mkuu..walipokuja na mkakati wa kuwa wanaolinda kura zao,shughuli ikaanzia hapo,CCM mkaanza kuwacharanga Mapanga na kuwaua kabisa ...siyo poa lakini CCM nyie..[emoji116]Kwani tqngu chadema inaanzishwa kulikuwa na tune huru?
Uvccm ni kusima cha majungu , fitna ,uzushi na matusi.Katambi dogo yuko humble sana kweli Chadema ilipoteza kiongozi,Vijana kama Malisa, Yericko, Pambalu, Heche wanahitaji sana CCM waje tujenge nchi yetu,
Nyie maccm mmechacha nchi imezeeka mikononi mwenu,na hamkuijenga mjenge nini tena labda mjenge kichanjaKatambi dogo yuko humble sana kweli Chadema ilipoteza kiongozi,Vijana kama Malisa, Yericko, Pambalu, Heche wanahitaji sana CCM waje tujenge nchi yetu,
Wanajua ccm inashinda kwasababu imeleta ndege mbili jana. SawasawaKwanini hawajasimamisha mgombea?
Kwani chadema inajenga nini? Kama ofosi ya makao makuu ya chama imewashinda unategemea watajenga nini cha maana?Kwamba nchi inajengwa na CCM... old school sana yani
Mkuu mimi ni Chadema ila hili la kukimbia kila Chaguzi tunaua Chama, ACT-WAZALENDO wameshatupiki tayari,
aani maCCM bila kuitaja CHADEMA hayaridhiki na hayana mvuto.
CHADEMA hawashiriki huo uchaguzi, lakini CCM wako busy kuishutumu CHADEMA. Hii inatupa picha kubwa kuwa, CHADEMA ni tishio kubwa la kisiasa hapa Tz, hata kivuli chake kinatosha kuisambaratisha mapema sana CCM.
CCM ni mlezi wa vyama vyote ndio sababu inatamani kila mtoto ashirikishwe,
Ila 2025 mtashiriki kwa tume hii hii?Tuna ufahamu wa kutosha, ndio maana hatushiriki huo upuuzi na uchaguzi umekosa hamasa. Penzi la kulazimisha halinogi hata mfanyeje. Shirikini na ACT lakini hakuna mtu anajitambua tena ataendelea kushiriki huo ushenzi.
WEKENI MIZANI SAWA TUONE UMAHIRI WA CCM. USAIDIZI WA TISS NA POLISI UTASEMAJE UNA UMAHIRI?Huyu dogo Katambi anaushawishi sana tangu akiwa Chadema,
Ndio kiongozi wa kwanza kuachana na Chadema akiwa madarakani na ndio alifungulia watu wote kuhamia CCM kama CCM kunamtu wanapashwa kumshukuru kizazi hata kizazi ni huyu dogo
Ila 2025 mtashiriki kwa tume hii hii?
Angalia tu kwenye jorgging, CCM wanasindikizwa na Polisi, Chadema waki-jorgg, Polisi hawa hapa!Yaani maCCM bila kuitaja CHADEMA hayaridhiki na hayana mvuto.
CHADEMA hawashiriki huo uchaguzi, lakini CCM wako busy kuishutumu CHADEMA. Hii inatupa picha kubwa kuwa, CHADEMA ni tishio kubwa la kisiasa hapa Tz, hata kivuli chake kinatosha kuisambaratisha mapema sana CCM.
Kwahiyo Lisu na chadema wenzio mlioenda kupanga foleni 2020 mlikuwa hamsimamishi?Labda nyie, hakuna mtu anasimamisha vizuri atakwenda kupanga msatari kushiriki huo ukhanithi.
Hoja ya kiijnga kabisaKama mlisema mnaibiwa kura na Hayati Rais Magufuli vipi leo kwa Rais Samia nayeye amewaibia?
Chadema mnajua sana kujifarijiNdo maana CCM watu timamu wanawadharau Sana n kuona ni kama chadema walishawamaliza Ila mnasaidiwa na tume na polisi.
SAsa angalia hii thread yako vyama vinavyoshiriki uchaguzi ni ACT na CCM lakini mbumbu WA CCM hamna habari na mpinzani wenu ACT Ila mko busy na chadema ambao hawako kwenye uchaguzi maana yake ni nini ni kwamba mti wenye matunda mengi ndo hurushiwa mawe. Sisi huku tuko busy na chadema digital, Katiba mpya, tume huru kwahiyo tuacheni aisee.
Mbowe si gaidi.