Jiwe alikuwa mchamungu? Kama una admit jiwe alikuwa mchamungu basi ccm wachamungu wote.Unazijua vizuri tabia za kiongozi wenu mkuu?
CCM inawachamungu sana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe alikuwa mchamungu? Kama una admit jiwe alikuwa mchamungu basi ccm wachamungu wote.Unazijua vizuri tabia za kiongozi wenu mkuu?
CCM inawachamungu sana tu
Ushamfukuza jukwaani maana hana majibuWhere is 1.5tr? Hata ukipewa jibu la 20bl usifute uzi mpaka na wewe useme ziliko hizo pesa.
Mkuu jaribu kufuatilia ndio utagundua kuwa bila cdm kutajwa mahali basi mambo ya siasa yanadoda.Wanawashwa sana.ukiona hivyo jua wamekosa mvuto ndo maana wanaangaika na visivyowahusu.Nchi imepooza kila mahali ndo maana wanaangaika na cdm.
Mkuu nauliza tena uchamungu wenu ndiyo kama ule wa jiwe au wenu ni tofauti? Ni hilo tu,Compared to whom?
Chadema uchafu ni mwingi nakubaliana
Ningumu Mungu kuishi huko ndio maana mabalaa hayaishi Chadema
Wacha Mungu wanafiki tu.Unazijua vizuri tabia za kiongozi wenu mkuu?
CCM inawachamungu sana tu
Ndiyo hao hao like brother like sisterMkuu you are not serious, kwamba nyie ni wacha Mungu? Unless nasema tena unless unamaanisha ule uchamungu kama wa Jiwe.
Mbaya sana kiongoziUnaona raha kukaa na makolokolo yasiyo na faida, wafaransa walijenga mnara ambao mapato yake nchi nzima inafaidika, sisi mapato yanakwenda kuijenga CCM! Uza.
Anaye msifia huyo mtu sijui anatumia vigezo ganiKatambi pale Malangali High School alikuwa mkimya na siyo muongeaji kabisa,kweli kila mtu na njia yake
Ni kweli mkuu, huwezi furahia ushindi bila kumshinda mpinzani mwenye nguvu.Kwa hiyo wewe huoni ni afadhali Chadema ife? Kwani unapenda isife? Mimi nafikiri ungefurahi Chadema ife ili uendelee mbele kwa mbele kwa ushidi. Siku hizi hata anayeshinda uchaguzi ndani ya CCM hafurahii ushindi wake na hana uhakika kama anapendwa au hapendwi. Ushindi siku zote ni mtamu pale panapokuwa na mwenye nguvu mnayeshindana naye ukamshinda. Hadi leo Yanga wanashangilia ushindi dhidi ya Simba kana kwamba hawakucheza na Geita Gold vile.
Bila cdm kutajwa na wana ccm wanakosa mvuutoYes, hujanielewa mkuu, namaanisha kuwa Chadema haishiriki huo uchaguzi kwanini mnakuja kulia humu jukwaani kuhusu Chadema wakati mnapambana na Act? Kama Chadema haishiriki just go on na uchaguzi kati yenu na Act, that's it.
Ujinga wako huwa haufichiki. CHADEMA imo kwenye huo uchaguzi?Tandika hayo machadema hadi yatafutane.
Mabalaa kama yapi labda twambie!Compared to whom?
Chadema uchafu ni mwingi nakubaliana
Ningumu Mungu kuishi huko ndio maana mabalaa hayaishi Chadema
Ndiyo maana wana cdm hawataki kushiriki kama mhuri wa kuhalalisha ujambazi wa kura.Kwa tume hii ya ujinga bora tu waache kushiriki ili hao wanaotaka kubaki madarakani wabaki. Tume, Wakurugenzi wanateuliwa na Mwenyekiti wa Chama mpinzani wako. Tanzania hakuna uchaguzi. Kuna huruma ya kupewa nafasi tu. Tume huru ndio Muarobaini wa CCM.
Majizi tu nyieCAG kasema hakuona matuzi hakusema zimeibwa kuwa makini
TrueeeeeeKwa hiyo wewe huoni ni afadhali Chadema ife? Kwani unapenda isife? Mimi nafikiri ungefurahi Chadema ife ili uendelee mbele kwa mbele kwa ushidi. Siku hizi hata anayeshinda uchaguzi ndani ya CCM hafurahii ushindi wake na hana uhakika kama anapendwa au hapendwi. Ushindi siku zote ni mtamu pale panapokuwa na mwenye nguvu mnayeshindana naye ukamshinda. Hadi leo Yanga wanashangilia ushindi dhidi ya Simba kana kwamba hawakucheza na Geita Gold vile.
Wataingiaje wakakati wanagopa moto mkali?... CHADEMA imo kwenye huo uchaguzi?
Kunatakiwa kuwa na uthibitisho ulio wazi unapofanya conclusion.Ushawishi unaweza kuwa nje au ndani ya chama mkuu, Sijambo baya kama mtu anakuwa na ushawishi
Mkuu nyie bila chadema hamuwezi kufanya uchaguzi? Si mnashindana na Act sasa Chadema mnawatakia nini?
Kwani lengo lenu ni nini?Kwani hamuwezi kufanya uchaguzi bila Chadema?
Mimi ni chadema ila:Mkuu mimi ni Chadema ila hili la kukimbia kila Chaguzi tunaua Chama, ACT-WAZALENDO wameshatupiki tayari,