Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
WATASHINDANA LAKN HAWATASHNDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera zake.
Ila zama hizi mabasi hayakimbii. Enzi zile unatoka Dar asubuhi unafika Mbeya mchana saa nane unakutana na ugali mezani licha ya barabara kuwa mbovu. Zile Scania zilikuwa balaa
😄Siku hizi hakuna kesi za mahakamani ni mwendo wa kutupwa msituni tu.
Swali ni kuwa nimezindikwa vya kutosha kuamini siwezi kamatwa kihuni, jibu ni ndio. Nina zindiko la Mwalufyale, wakija wanakuta kisiki kitandani😂
Una wakili?🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿JWTZ wameenda kuchukua Yutong za kutosha nina hakika kwenye vitabu imeekwa bei ya scania.
tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!Gari za mchina zinawahi sana kuchoka, namba unakuta DZ lakini bodi imetepeta na engine inaenda kama kondoo, tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!
Za kupewa zile 🙌🏿🏃🏿🏃🏿Ankoli mama kawanunulia jewii Yutong, aibu tunaona ss
Umewahi kufanya biashara hata ya kuuza karanga? Umekaa kwa shemeji yako unamkosoa mfanyabiashara aliyewekeza zaidi ya bil 8.Gari bilioni tatu!!..kurudisha tu hela siyo leo, akili mbovu ya biashara
Mabasi yao yako comfortable sana,hivi ile kampuni ya mazhandu bus zipoNilikua nikifika lusaka kwenda zim au Kwa mandela unaona wale ndio wanasafiri bongo ni safari inakua kama kifo bana unafika umechoka mwili wote
Hapa uongosokoni billion tatu na milion mia sita sawa na YUTONG 20
Una wakili?🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿JWTZ wameenda kuchukua Yutong za kutosha nina hakika kwenye vitabu imeekwa bei ya scania.
tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!Gari za mchina zinawahi sana kuchoka, namba unakuta DZ lakini bodi imetepeta na engine inaenda kama kondoo, tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!
Za kupewa zile 🙌🏿🏃🏿🏃🏿Ankoli mama kawanunulia jewii Yutong, aibu tunaona ss
Engine warranty ni miaka 10, Yutong ni miaka miwiliGari bilioni tatu!!..kurudisha tu hela siyo leo, akili mbovu ya biashara
Lazima nifanye biashara Ili kuijua biashara, siwezi kusoma nikawa mtaalam wa biashara!?..huyo atafeli tu,labda ziwe cheap irizari za sauziUmewahi kufanya biashara hata ya kuuza karanga? Umekaa kwa shemeji yako unamkosoa mfanyabiashara aliyewekeza zaidi ya bil 8.
Siyo kwa 3b kwa bus mzee,tena sgr ikitrotiUna wakili?🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!
Za kupewa zile 🙌🏿🏃🏿🏃🏿
Engine warranty ni miaka 10, Yutong ni miaka miwili
Hiyo sekta ukiwekeza vizuri inalipa sana maana husafirishi abiria tuu
tulikuwa mbali sanaMdogo mdogo watu wanarudi kwenye Scania,mchina gari zake
Washaona miyeyusho
Ova
Injini nyumaView attachment 3088017mchina ameenda kulia chooni
Uki maanisha kwamba 😄Jeshi wameenda kuchukua Yutong za kutosha nina hakika kwenye vitabu imeekwa bei ya scania.
Kusema ukweli mchina ni disposableGari za mchina zinawahi sana kuchoka, namba unakuta DZ lakini bodi imetepeta na engine inaenda kama kondoo, tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!
Una wakili?🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿JWTZ wameenda kuchukua Yutong za kutosha nina hakika kwenye vitabu imeekwa bei ya scania.
tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!Gari za mchina zinawahi sana kuchoka, namba unakuta DZ lakini bodi imetepeta na engine inaenda kama kondoo, tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!
Za kupewa zile 🙌🏿🏃🏿🏃🏿Ankoli mama kawanunulia jewii Yutong, aibu tunaona ss
Engine warranty ni miaka 10, Yutong ni miaka miwiliGari bilioni tatu!!..kurudisha tu hela siyo leo, akili mbovu ya biashara
Keshapiga hesabu zake vizuri tuuSiyo kwa 3b kwa bus mzee,tena sgr ikitroti