Katarama kapiga tena kwenye mshono!

Katarama kapiga tena kwenye mshono!

Katarama huyu mwamba pesa anayo

Alimuwekea Allys kwanza chuma mbili za kumtoa jasho hapo Mwanza-Dar ally's akang'ata meno kushindana nae mwamba akaanza kuongeza chuma moja moja kwa fujo sahivi Ally's kanyanyua mikono, maana mwamba ananunua gari za gharama siyo mchezo, hiyo pesa angenunulia yutong au Golden dragon angekua nazo zaidi ya 15
 
Nakubali sana Happy nation
Nikifika stend laZima muulize hii kampuni
Ally's katoa YUTONG super luxury lakini huko chini mavyuma yanatetema! Kwa ujio huu wa Iriza.. Ally's akajipange upya
Katarama huyu mwamba pesa anayo

Alimuwekea Allys kwanza chuma mbili za kumtoa jasho hapo Mwanza-Dar ally's akang'ata meno kushindana nae mwamba akaanza kuongeza chuma moja moja kwa fujo sahivi Ally's kanyanyua mikono
Katoa YUTONG super luxury.. Lakini KWA Katarama sijui kama atauweza huo Mziki
 
Nakubali sana Happy nation
Nikifika stend laZima muulize hii kampuni
Ally's katoa YUTONG super luxury lakini huko chini mavyuma yanatetema! Kwa ujio huu wa Iriza.. Ally's akajipange upya
Katarama huyu mwamba pesa anayo

Alimuwekea Allys kwanza chuma mbili za kumtoa jasho hapo Mwanza-Dar ally's akang'ata meno kushindana nae mwamba akaanza kuongeza chuma moja moja kwa fujo sahivi Ally's kanyanyua mikono
Katoa YUTONG super luxury.. Lakini KWA Katarana
Kwamba jamaa kashusha chuma kama hiki
Sasa hiyo ground clearence na haya matuta si balaa
Ziko hivyo ila zimenyanyuliwa kidogo. Special order
 
Nakubali sana Happy nation
Nikifika stend laZima muulize hii kampuni
Ally's katoa YUTONG super luxury lakini huko chini mavyuma yanatetema! Kwa ujio huu wa Iriza.. Ally's akajipange upya
Katarama huyu mwamba pesa anayo

Alimuwekea Allys kwanza chuma mbili za kumtoa jasho hapo Mwanza-Dar ally's akang'ata meno kushindana nae mwamba akaanza kuongeza chuma moja moja kwa fujo sahivi Ally's kanyanyua mikono
Katoa YUTONG super luxury.. Lakini KWA Katarana
Mbeya washamba
Hawawezi kuacha miyutong ya achimwene
😂😂😂😂
 
Hongera zake.
Ila zama hizi mabasi hayakimbii. Enzi zile unatoka Dar asubuhi unafika Mbeya mchana saa nane unakutana na ugali mezani licha ya barabara kuwa mbovu. Zile Scania zilikuwa balaa
Kuna Moja ya kuitwa SCANLINK nilipanda Mafinga mwaka 2002 kona za Iyovi chuma nadhani ilikuwa inapita na 150 inalala mnamuona Yizraili na mkuki yuuleee ,nilipofika Dar salama niliapa asilani sipandi tena ule mkebe, Ile scania ilikuwa inamwaga moto utadhani imeibwa. Nadhani ilikuwa inabeba abiria 70 maana ilikuwa na bodi reefuuu
 
Kuna Moja ya kuitwa SCANLINK nilipanda Mafinga mwaka 2002 kona za Iyovi chuma nadhani ilikuwa inapita na 150 inalala mnamuona Yizraili na mkuki yuuleee ,nilipofika Dar salama niliapa asilani sipandi tena ule mkebe, Ile scania ilikuwa inamwaga moto utadhani imeibwa. Nadhani ilikuwa inabeba abiria 70 maana ilikuwa na bodi reefuuu
Hahahaa
 
Back
Top Bottom