Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu uzi ulihitaji videoKwa heshima uliyonayo humu jamvini nimeshangaa unaleta Uzi bila picha.
Kwamba jamaa kashusha chuma kama hikiView attachment 3088017mchina ameenda kulia chooni
Ally's katoa YUTONG super luxury lakini huko chini mavyuma yanatetema! Kwa ujio huu wa Iriza.. Ally's akajipange upyaNakubali sana Happy nation
Nikifika stend laZima muulize hii kampuni
Katoa YUTONG super luxury.. Lakini KWA Katarama sijui kama atauweza huo MzikiKatarama huyu mwamba pesa anayo
Alimuwekea Allys kwanza chuma mbili za kumtoa jasho hapo Mwanza-Dar ally's akang'ata meno kushindana nae mwamba akaanza kuongeza chuma moja moja kwa fujo sahivi Ally's kanyanyua mikono
Ila chuma za wavimba macho ni bei kitongaView attachment 3088017mchina ameenda kulia chooni
Mbeya washambaApeleke na route ya Mbeya eti nkamu Saint Anne
Watu wanakula kwa urefu wa kamba zao.Uki maanisha kwamba 😄
Gari za mchina zinawahi sana kuchoka, namba unakuta DZ lakini bodi imetepeta na engine inaenda kama kondoo, tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!
Ally's katoa YUTONG super luxury lakini huko chini mavyuma yanatetema! Kwa ujio huu wa Iriza.. Ally's akajipange upyaNakubali sana Happy nation
Nikifika stend laZima muulize hii kampuni
Katoa YUTONG super luxury.. Lakini KWA KataranaKatarama huyu mwamba pesa anayo
Alimuwekea Allys kwanza chuma mbili za kumtoa jasho hapo Mwanza-Dar ally's akang'ata meno kushindana nae mwamba akaanza kuongeza chuma moja moja kwa fujo sahivi Ally's kanyanyua mikono
Ziko hivyo ila zimenyanyuliwa kidogo. Special orderKwamba jamaa kashusha chuma kama hiki
Sasa hiyo ground clearence na haya matuta si balaa
Ally's katoa YUTONG super luxury lakini huko chini mavyuma yanatetema! Kwa ujio huu wa Iriza.. Ally's akajipange upyaNakubali sana Happy nation
Nikifika stend laZima muulize hii kampuni
Katoa YUTONG super luxury.. Lakini KWA KataranaKatarama huyu mwamba pesa anayo
Alimuwekea Allys kwanza chuma mbili za kumtoa jasho hapo Mwanza-Dar ally's akang'ata meno kushindana nae mwamba akaanza kuongeza chuma moja moja kwa fujo sahivi Ally's kanyanyua mikono
😂😂😂😂Mbeya washamba
Hawawezi kuacha miyutong ya achimwene
igesa lineInjini nyuma
Tunarejea enzi za Kiswele na special coach
Naomi wangu aisee😐😐😄
Ova
Kuna Moja ya kuitwa SCANLINK nilipanda Mafinga mwaka 2002 kona za Iyovi chuma nadhani ilikuwa inapita na 150 inalala mnamuona Yizraili na mkuki yuuleee ,nilipofika Dar salama niliapa asilani sipandi tena ule mkebe, Ile scania ilikuwa inamwaga moto utadhani imeibwa. Nadhani ilikuwa inabeba abiria 70 maana ilikuwa na bodi reefuuuHongera zake.
Ila zama hizi mabasi hayakimbii. Enzi zile unatoka Dar asubuhi unafika Mbeya mchana saa nane unakutana na ugali mezani licha ya barabara kuwa mbovu. Zile Scania zilikuwa balaa
Ila Nkamu umefanya nicheke 😂😂😂Mbeya washamba
Hawawezi kuacha miyutong ya achimwene
HahahaaKuna Moja ya kuitwa SCANLINK nilipanda Mafinga mwaka 2002 kona za Iyovi chuma nadhani ilikuwa inapita na 150 inalala mnamuona Yizraili na mkuki yuuleee ,nilipofika Dar salama niliapa asilani sipandi tena ule mkebe, Ile scania ilikuwa inamwaga moto utadhani imeibwa. Nadhani ilikuwa inabeba abiria 70 maana ilikuwa na bodi reefuuu
Juzi nilikuwa ChunyaIla Nkamu umefanya nicheke 😂😂😂