Katarama kapiga tena kwenye mshono!

Katarama kapiga tena kwenye mshono!

Attachments

  • Screenshot_20240906-204328.jpg
    Screenshot_20240906-204328.jpg
    421.8 KB · Views: 6
Gari za mchina zinawahi sana kuchoka, namba unakuta DZ lakini bodi imetepeta na engine inaenda kama kondoo, tulitoka Mwanza na katarama na mwenzangu kapanda yutong sisi tulifika Dar saa nne asubuhi, wazee wa Yutong wakafika saa kumi jioni, halafu nauli ni ileile we kuwahi tu booking!
Lakin hela inakua ishaludisha na faida juu, sasa huo msacania had hela ikalud ni lini? Huo msania watter pump tu million 4, hiyo ya mchina laki na nunusu sasa nani hapo mwenye akili?
 
Lakin hela inakua ishaludisha na faida juu, sasa huo msacania had hela ikalud ni lini? Huo msania watter pump tu million 4, hiyo ya mchina laki na nunusu sasa nani hapo mwenye akili?
Chaguo ni lako Scania inadumu sana, na reselling value yake bado ni kubwa sana. kama una mtaji wa Yutong we bebesha abiria wako kwenye Yutong, Katarama ameaamua kustick kwenye quality na Brand na ndio kitu kilichomfanya awe tofauti na hao wa Yutong. na kikubwa tuzidi kumwombea sio wote tunataka kupanda michina ni basi tu ndio mingi iliyopo !!
 
Aisee hawa katarama wasikieni tu ila hawa jamaa wanamwaga moto gari ndogo tulipitwa na speed 137 maeneo ya dodoma na akapotea kabisa machoni hatukumwona tena.
 
Kufuru nyingine leo katoa Iriza new model ine ukitaka tamko nne au 4 ambazo kwa bei ya sokoni billion tatu na milion mia sita sawa na YUTONG 20

Leo Morogoro road ilikuwa ni kelele za mahoni wakati chuma zikiliacha jiji la Dar kuelekea Mbeya kwa msafara wa kuvutia zikiwa full headlight, full double hazard

Last week inasemekana pia alipeleka chuma kama hizo pia.. Nia yake kubwa ni kumkanyagisha miwaya mvimba macho anayeekea kukata pumzi kwenye njia zote za masafa marefu

Dar Bukoba

Dar Tunduma

Dar Mbeya

Dar Mwanza

Dar Kahama

Nilichokiona leo ni kile kitaa tunaita funika bovu! chuma zingine zote modeli ya mvimba macho zilikuwa zinapiga salute kubwq mbele ya mbabe IRIZA

Kwa kifupi alichofanya KATARAMA ni kutafuta heshima na kuonesha ubabe💪🏿💪🏿💪🏿
Picha kwa hisani ya joseph_mbeya 🙏🏿
View attachment 3088266
Biashara ni sayansi, Aboud kazitema Scania.
 
Japo anatumia marcopolo, ila kwa yutong atachemsha tu. Mswahili usimpe kitu cha gharama akifanyie kazi, utafilisika.

Abood
Shabiby
Ratco
Allys

Hawa jamaa acha kabisa
 
Sema hapo kwenye yutong 20 sawa na iriza 4 ni bora muchina 20 ntakusanya hela ya kutosha japokuwa ni mnazi wa scania,mfano mdogo ni Ally's wanavyokimbizana na Katarama....upande wa sifa sawa ila kimaokoto bora muchina nyingi.
 
Katarama mwisho wake utakuwa mbaya sana, sijajua hiyo Return On Investment (ROI) anairudishaje?
nyie mtaona kipindi cha afcon atakavyokula izo pesa juzi congo walianza inshalaaah zifike ila ataula sana
 
Back
Top Bottom