Kwa uelewa Gani ulionao? Wewe ni kitu Gani unaelewa kwenye magari kama hata kujieleza TU wewe mwenyewe huwezi. Anyways "Nguruwe kuchezea matope ni kutafuta faraja ya kadhia ya joto, ila binafamu kucheza kwenye tope ni ukichaa". Naomba nisiwe sehemu ya kuchezea tope.Mimi na wewe nani mpumbavu? Unajua kinachozungumziwa au umedandia tu mada? Acha ujinga kwenye mada usizozielewa mwehu wewe
Tangu umeanza kucommet kwenye huu uzi hauna hoja yoyote ya maana uliyotoaKwa uelewa Gani ulionao? Wewe ni kitu Gani unaelewa kwenye magari kama hata kujieleza TU wewe mwenyewe huwezi. Anyways "Nguruwe kuchezea matope ni kutafuta faraja ya kadhia ya joto, ila binafamu kucheza kwenye tope ni ukichaa". Naomba nisiwe sehemu ya kuchezea tope.
LATRA wakiwaachia wa nini hao watu?KATARAMA KATARAMA KATARAMA!!!
Nilichoshudia Jana saa 11 jioni ktk hii BUS JIPYA lililokua linaeleka Mwanza kama walifika salama wamshukuru Mungu na wasali sana maana alikuwa ana overtake magari zaidi 3 sehemu yenye mlima alikuwa anaua abiria wake na kusababishia ajali BUS LA ADVENTURE.
Naombeni kama raia mwema fuatilieni hii taarifa LATRA, USALAMA BARABARANI
mkuu katarama kama kampuni inaajiri madereva wengi wenye tabia tofauti mfano tuseme madereva 10 lakini madereva 4 kati yao ndio hao wazee wa mbio na ligi barabarani ila ww umepata bahati umechengana nao mara zote ulipanda basi la hao madereva wastaarabu lakini wenzio wenye bahati mbaya ndoivo tena wanakata tiketi basi ndoi hilo la dereva kizibo kama vp kariri plate number ya basi la dereva mshenzi wakati wa kukata tiketi hakikisha hupangiwi basi hiloNinewahi kupanda bus lao mara mbili. Kuna wakati nadhani ni washindani wao wanapiga vita. Mara zote nilizopanda sikuona mwendo wa hatari Wala blind spot overtake. Badala yake sehemu zenye mwinuko hayo mabus mengine yakuwa yanapitwa kwa Kasi sana kutokana na uwezo wa bus husika(scania), Sasa kwa maoni yangu, huu ni ugomvi wa brand za magari na sio bus operators.
Hahaaha eti wanapewa semina, nani anawapa semina? Hii nchii unaamini hizo semina zinazotolewa na wala rushwa??Kwanza walipewa semina na pili mabasi yanafunguliwa kwa awamu
Mambo yote yaliyotendeka yako wazi. Hakuna hiyo kinyemela uliyosema
Mimi sina mabasi kama wewe unayo fuata sheria
Kasome comment #48Hahaaha eti wanapewa semina, nani anawapa semina? Hii nchii unaamini hizo semina zinazotolewa na wala rushwa??
Utakuwa kibaraka wa Ally's au ni Ally's MwenyeweKATARAMA KATARAMA KATARAMA!!!
Nilichoshudia Jana saa 11 jioni katika hii BUS JIPYA lililokua linaelekea Mwanza kama walifika salama wamshukuru Mungu na wasali sana maana alikuwa ana overtake magari zaidi 3 sehemu yenye mlima alikuwa anaua abiria wake na kusababishia ajali BUS LA ADVENTURE.
Naombeni kama raia mwema fuatilieni hii taarifa LATRA, USALAMA BARABARANI
Nyie vijana Masarange wa Ally's mnatukana hadi Baba zenu rudini Twitter mkabishane upuuzi wenuAcha kuandika usenge hujasikia hivi karibuni walifungiwa kwa sababu ya kuchezea mfumo wa VTS?
Na kudhihirisha hilo gari zake hujaa wiki Moja kabla ni kama ndege tu , ukichelewa booking hupati nafasi, jamaa anachukiwa sababu ya biashara tuKwani hizo gari zinakuaga tupu???
Wanaopanda humo wanaenjoy tena wanawamwagia sifa kedekede.
Sarange ni nani? Tuko hapa kuongea fact hatuko kishabiki. Kuna wazee bora wangetia nyeto tu wamwage mbegu chini au wangevaa ndom kuliko wamewatia mimba mabinti za watu kuja kuzaa vituko dunianiNyie vijana Masarange wa Ally's mnatukana hadi Baba zenu rudini Twitter mkabishane upuuzi wenu
Wote tunajua na tulioko LATRA tunajua hizo fitna zenu na mnayemtegemea atatumbuliwa soonWatanzania ni watu wa hovyo sana
Mtu katoa taarifa muhimu, wengine wanakimbilia kusema jamaa ni mnazi wa Ally's
Hivi vitu ni vya kukemea haijalishi ni mabasi ya Ally's au Katarama au kampuni nyingine yoyote
Kunapokuwa na suala kama hili tusiwakingie vifua mabosi wa hizo kampuni, bwana Laurian (Katarama) na Amran (Ally's) wao biashara zao zitabaki palepale ila wewe utakayempoteza mpendwa wako ndio mazima ujue
Chuma zikianguka zinapelekwa gereji zinakuwa mpya. Ikifa mazima wanaagiza zingine
Uhai hauna spare abiria akifa amekufa akipata ulemavu wa kudumu imekula kwake
Acheni ujinga mbwa nyie
Moderator angalieni huyu mtu , kauli zake na matusi anavunja Kanuni za JFSarange ni nani? Tuko hapa kuongea fact hatuko kishabiki. Kuna wazee bora wangetia nyeto tu wamwage mbegu chini au wangevaa ndom kuliko wamewatia mimba mabinti za watu kuja kuzaa vituko duniani
Nani amekuuliza kama uko LATRA?Wote tunajua na tulioko LATRA tunajua hizo fitna zenu na mnayemtegemea atatumbuliwa soon
Mbona hasiraKwani wewe usingependa Latra kuwa na mabasi yao ya mfano ndugu?
Kwamba wewe usingependa leading by examples ila tu management by walking around?
Mbona hasira
Ww ni mnazi, salange au chawa wa bosi
Anyways,sisi tutaendelea kuandika pm reports
Wewe konda wa yutong acha wivu wa kisenge,Acha kuandika usenge hujasikia hivi karibuni walifungiwa kwa sababu ya kuchezea mfumo wa VTS?
Acha kuwachafua..katalama wana usafiri bora na wenye hadhi ya juu sana.KATARAMA KATARAMA KATARAMA!!!
Nilichoshudia Jana saa 11 jioni katika hii BUS JIPYA lililokua linaelekea Mwanza kama walifika salama wamshukuru Mungu na wasali sana maana alikuwa ana overtake magari zaidi 3 sehemu yenye mlima alikuwa anaua abiria wake na kusababishia ajali BUS LA ADVENTURE.
Naombeni kama raia mwema fuatilieni hii taarifa LATRA, USALAMA BARABARANI
Acha ujinga hatuzungumzii brands za mabasi hapa, kinachozungumziwa ni usalama wa abiria. Mpuuzi mkubwa weweWewe konda wa yutong acha wivu wa kisenge,
Huwezi fananisha SCANIA BUS na hizo basi zenye majina ya ajabu zikashindane na passo