Katarina Karatu, mchekeshaji wa kike namba 1 Tanzania

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani mm nampenda Sana na nikisikiliza clip zake lazima nicheke
 
Baada ya kutokea Katharina Na akakukataa sasa unakuja kumponda..Sio lazima wote tumkubari ila piga UA kama Mungu kamtunuku kipaji Hata uwange vipi Atatoboa tu..Watu kama ninyi wambeya wachawi wenye wivu 'HATA KWETU WAPO'
Hahaaa umemaliza yote mkuu kuna mijitu Ina wivu hadi inaboa
 
Ha ha ha ha Prof Hamo ananiachaga hoi sana aiseh, na kuna jamaa mwingine nae ckuizi anakuja kasi sana kwenye ile show anaitwa MCA Tricky huyu wamuangalie sana, ila Katarina anajitahidi pia sema inabidi aje na vitu vipya atafika mbali zaidi, si nilisikia yupo chini ya management ya MC Pilipili siku hizi au ni rumors.
 
Umeona eee? Huwa ananishangaza kwa kweli
 
Binafs nampenda jaman huyu mdada cjui hata nisemeje, yaani nikiona clip yake kabla cjafungua naanza kucheka
 
Kama unamjua mwambie awe na I'd ya ssuti take ya kimbulu asijaribu kuiga sauti zingine kama kikurya, kichagga n.k akomae na sauti yake ya kimbulu kama kansiime alivyokuwa maarufu kwa kingereza chake cha kiganda /kihaya
Lakini ni mchaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…