Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Afisa Ardhi Msaidizi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda, Japhet Noberth MweziMpya, amehukumiwa kwenda jela miaka 2 au kulipa faini ya TSH.200,000 kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya TSH. 70,000
Katika Hukumu hiyo ya shauri la jinai Na. CC. 90/2022 iliyotolewa Agosti 30, 2022 na Hakimu Mkazi, Gasper Luoga, Mshtakiwa amekiri makosa yake na kulipa faini ili kuepuka kifungo
Katika Hukumu hiyo ya shauri la jinai Na. CC. 90/2022 iliyotolewa Agosti 30, 2022 na Hakimu Mkazi, Gasper Luoga, Mshtakiwa amekiri makosa yake na kulipa faini ili kuepuka kifungo