beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Malalamiko 57 ya Rushwa yalifikishwa TAKUKURU Mkoani humo kati ya Januari - Machi 2022. Aidha, katika kipindi hicho Malalamiko mengine 4 ambayo hayakuhusisha Rushwa yalipokelewa
Uchunguzi wa Majalada 55 bado unaendelea, na Majalada mengine mawili Uchunguzi wake ulikamilika na Watuhumiwa kufikishwa Mahakamani
Malalamiko mengi zaidi yametolewa kwenye Idara za TAMISEMI, Ardhi na Utawala. Unadhani ni kwasababu gani?
Uchunguzi wa Majalada 55 bado unaendelea, na Majalada mengine mawili Uchunguzi wake ulikamilika na Watuhumiwa kufikishwa Mahakamani
Malalamiko mengi zaidi yametolewa kwenye Idara za TAMISEMI, Ardhi na Utawala. Unadhani ni kwasababu gani?