JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Dosari hizo zimebainika wakati Kikosi hicho kikifanya ukaguzi wa mabasi hayo kabla muhula mpya wa masomo kuanza ambapo Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Katavi, Leopord Fungu amewataka madereva kutojaza Wanafunzi kinyume na idadi inayotakiwa huku akisisitiza kuzingatia nguzo tano za udereva wa kujihami.
Nao, baadhi ya madereva wa mabasi hayo wamefurahishwa na kitendo cha ukaguzi huo sambamba na kukumbusha taratibu mbalimbali za uendeshaji wa vyombo vya moto.