Katavi: Mwalimu wa Mafundisho akamatwa kwa kulawiti Watoto wanne

Katavi: Mwalimu wa Mafundisho akamatwa kwa kulawiti Watoto wanne

Tatizo akifanya muislam inahusishwa dini ila mkatoliki hamtaki ukatoliki wake uhusishwe, mbona mapadri hawaoi na hakuna sehemu biblia imeandika wasioe?
Quran, 6:108--
Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliyo kuwa wakiyatenda
 
Wakatoliki kama kawaida yao kulawiti watoto.

Ulawiti wa watoto ndio signature ya wakatoliki.

Vijana wengi sana wanaofanya kazi kwenye altare na wengine kufikia upadri hua wengi wamelawitiwa na mapadri, katekista, waalimu wa komunio na hata Askofu.

Ukatoliki na ulawiti watoto ni sawa na samaki na maji.
Ulawiti hauna dini upo kila mahali mashuleni, Mitaani, Jela, Madrasa, Misikitini na hata Kanisani . Ni hulka mbovu tu ya baadhi ya wanajamiii...!
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.
Labda aliona makasisi wanaolalamikiwa kwingineko duniani hawashughulikiwi naye akafichamia humo
 
Hivi wazazi wamekubali kumwacha hadi anakamatwa bila kufanywa mishikaki!
Huyu gurudumu na mafuta ya taa yalimhusu
 
Hadi Sasa Nimepokea Sakramenti Zote Kama Mlei katika Kanisala Kristo Moja Takatifu Katoliki la Mitume La Kimisionari, sijawahi kufundishwa kulawiti Wala kuzini.
Nimezijua Amri za Mungu ningali mdogo.
Nitendapo Dhambi isihusianishwe na Mafundisho ya Imani Katoliki.

Huu ni ushahidi wangu. Nakushukuru Mungu wangu Kunijalia Imani Hii, Milele Siikani.

Naunga mkono maneno yako. Hoja yangu ni moja tu. Kosa kama hili lingekua limefanywa na Ustaadh wa Madrasa au Shehe au pengine mtu mwenye jina tu la kiustaadh basi huu ukumbi ungechafuka

Ingetukanwa dini nzima mpaka na mtume wao kwa kosa ambalo kimsingi dini zote zinalikemea na kulikataza.

Ni vizuri kua fair kwenye maoni juu ya makosa ya wengine bila kuwahusisha wasiohusika
 
Roman Catholic,Roman Catholic 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom