Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Mliolawitiwa mnajulikana tu, mnawatetea sana wanaume zenu.Umetoa povu, kiasi cha mtu kufikiri umeshawahi kulawitiwa vile na hao Mapadri, makatekista na Maaskofu wa Katoliki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliolawitiwa mnajulikana tu, mnawatetea sana wanaume zenu.Umetoa povu, kiasi cha mtu kufikiri umeshawahi kulawitiwa vile na hao Mapadri, makatekista na Maaskofu wa Katoliki.
Mimi ni Katekista. Na bahati nzuri umenitaja kwenye hilo kundi. Hivyo nina haki ya kukuuliza ili ulisaidie kanisa kwenye ushahidi wa hizo shutuma zako.Mliolawitiwa mnajulikana tu, mnawatetea sana wanaume zenu.
Asante Mungu haya mambo hajayafanya muislam tungrshambuliwa hadi tukome. Na angekuwa kafanya ustaadh kesi ingechukua wiki tu angefungwa lakini kwa huyo itamiliza miaka na kuachiwa huru kama tule padri aliyetia mimba kident kule moshi
Dah! Kwenye huu uzi, Wakatoliki tutakoma! Na wakati huyo mhalifu amefanya huo upuuzi kwa utashi wake.
Hasa mwalimu wa madrasa 😁😁😁[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Angekuwa muislamu sasa leo dini ingetukanwa hapa.
Huyu nae katuabisha wakristo daaah, Katavi kuna machangu wengi alishindwa kuhonga kwani au domo zege khaaa
Siku zote kila mtu hula kwa urefu wa kamba yake. Hata baadhi ya wale walimu wenu wenye hizo tabia, na wenyewe huwa hawachezi mbali.Na lingine la kushukuru ni kwamba kalawiti waumini wenzie.Alhamdulillah
Shetani amekuja juu sana kipindi hiki, hadi makanisani na misikitini
KWANZA NIKUWEKE WAZI MIMI NI MKRISTO DAMU DAMUKwani kanisa ndo limemtuma kufanya hivyo?
NI MUDA SASA KANISA LINASIFA HIYO., NI KOTE DUNIANSasa nani atamnyooshea mwingine kidole ikiwa wote ndio michezo yao?
Kanisa watakuja kukanusha hawamfahamu mtu kama huyo na hawajawahi kuwa nayeJeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki Mpanda Mjini, Joseph John (27) akituhumiwa kuwalawiti watoto wanne.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Februari 10, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi ACP, Ally Makame amesema mtuhumiwa ametenda kosa hilo maeneo tofauti.
Amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa Februari 03, 2022 akiwalaghai watoto hao wamsindikize kwenda kufanya shughuli za biashara sehemu tofauti.
"Alikuwa anawabeba kwenye pikipiki yake baada ya kumaliza vipindi vyao vya masomo ya kidini kisha kuwafanyia ukatili huo," amesema Makame.
"Baada ya kumkamata tulimhoji akakiri kufanya hivyo, lakini baadhi ya watoto tuliowahoji wamekubali kufanyiwa," amesema.
Kamanda Makame amesema upelelezi wa shauri lake umekamilika na kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani.
Halafu unakuta Mwaafrika anashangaa Wazungu wanaacha kwenda Kanisani. Ukijua kwa undani historia za hizi taasisi za dini utapata taabu kwenda kanisani na Msikitini.
Aione FaizaFoxy mahabuba wa Pascal Mayalla
Ulawiti unaofanywa na waalimu wa huko Kanisani na Msikitini ni ulawiti tofauti na kule mtaani? Au wewe ni mjinga tu.Mada inahusu "ulawiti" mwalimu wa mafundisho ya dini katika Kanisa la Katoliki, sasa hapa uisilamu umeingiaje??? Halaf watu kama ninyi Mods wanawaangalia tuu.
Ulawiti unaofanywa na waalimu wa huko Kanisani na Msikitini ni ulawiti tofauti na kule mtaani? Au wewe ni mjinga tu.
Kwa kua nimewasema waume zako na wewe hutaki ndio maana unawaka kama jiko la gesi. Jamaa wamekuharibu kiasi kwmaba hutaki wasemwe, unataka waendelee kukutafuna tu shoga mkubwa.Katika comment yakikoouma hii ndo namba Moja Hapa jf n Wew ndo lipoumbavou kuliko mtu yyte Hapa
Baba yako pia tulimlawiti, Bado wewe!Wakatoliki kama kawaida yao kulawiti watoto.
Ulawiti wa watoto ndio signature ya wakatoliki.
Vijana wengi sana wanaofanya kazi kwenye altare na wengine kufikia upadri hua wengi wamelawitiwa na mapadri, katekista, waalimu wa komunio na hata Askofu.
Ukatoliki na ulawiti watoto ni sawa na samaki na maji.
Angalau angalau ukisema Wakatoliki ingawaje pia sio sahihi, lakini ukisema Ukatoliki ndo SIO SAHIHI KABISA!!Hizi cases zimekua common sana kwenye ukatoliki, huku Afrika bado mambo yanawekwa chini ya kapeti ila ukweli siku ukijulikana hali ni mbaya zaidi ya ulaya.
If you don't mind, lemme ignore you, please!!Mababu,zenu wa kanisa waliwaza nini kuchora hivi kwenye nyumba ya ibadaView attachment 2115435View attachment 2115436View attachment 2115437